#COVID19 Kuuliza si ujinga: Hivi pesa za kupambana na Covid-19 zinahusikaje na ujenzi wa madarasa?

#COVID19 Kuuliza si ujinga: Hivi pesa za kupambana na Covid-19 zinahusikaje na ujenzi wa madarasa?

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Habari!

Sina maneno mengi nakwenda kwenye mada. Hivi pesa za msaada sijui mkopo zilizotolewa na wazungu kupambana na UVIKO 19 zinatumikaje kujengea madarasa?

Tumeshindwa kujenga madarasa kwa fefha zetu wenyewe huku tukithubutu kununua ndege ambazo ni gharama kuliko hayo madarasa?

Je, elimu sio kipaumbele kwetu?

Je, vihongozi wetu wanafanya kusudi kwakuwa watoto wao hawasomi katika shule hizi?
 
Habari!
Sina maneno mengi nakwenda kwenye mada. Hivi pesa za msaada sijui mkopo zilizotolewa na wazungu kupambana na UVIKO 19 zinatumikaje kujengea madarasa?
Tumeshindwa kujenga madarasa kwa fefha zetu wenyewe huku tukithubutu kununua ndege ambazo ni gharama kuliko hayo madarasa?
Je, elimu sio kipaumbele kwetu?
Je, vihongozi wetu wanafanya kusudi kwakuwa watoto wao hawasomi katika shule hizi?
Hawa "vihongozi" wetu hawataki kupangiwa/kushauriwa tena ukifanya hivyo ndiyo umeharibu kabisaaaa
 
Kuna mambo mengi huyafahamu Ila tukianza kukuelewesha utaanza kutukana labda.

Anyway hiyo pesa ni msaada unaolenga kusaidia huduma fulani zilizoathirika kutokana na madhara ya Covid 19 .

Madhara yanatokana na kufungwa mipaka, kuzuia shughuli kadhaa za uchumi nk hivyo kupekelekea nchi kukosa mapato ambayo huelekezwa kwenye kutoa huduma za kijamii sasa hii pesa ndio kama msaada wa kuturudisha sehemu ambayo tungeweza kuwepo.

Hivyo serikali hutoa kipaumbele chake na ndio maana umeona pesa imeelekezwa huko na ndio haswa Rais alisema anatafuta pesa ajenge madarasa alikuwa anaumizwa na watoto kujazwa kwenye madarasa na shule kukataa watoto kisa uhaba wa madarasa.

Problem ilijitokeza baada ya kuhimiza wazazi wapeleke watoto shule na asiyepeleka mtoto anafunguliwa mashtaka then madarasa yakajaa sasa inaanza kampeni ya madarasa then madawati then nyumba za walimu na vitabu nk.

I hope umeelewa.
 
nimejiuliza swali kama wewe...

Mkopo wa kunjengea madarasa?

Huyu mama wanadanganya na yeye hajali
 
Kuna mambo mengi huyafahamu Ila tukianza kukuelewesha utaanza kutukana labda.

Anyway hiyo pesa ni msaada unaolenga kusaidia huduma fulani zilizoathirika kutokana na madhara ya Covid 19...
Kwa kumsaidia ni kwamba wawe wanasikiliza maelezo za serikali shida majitu yamekalia kupinga kila kitu hadi ufahamu hayana.

Masharti ya hizi pesa ni kama ulivyosema kwamba yaende kwenye sekta zinazohusika na covid au kuathiriwa na covid.

Sasa kwenye elimu ni kwamba kwa kuwa kuna upungufu wa vyumba vya madarasa watoto wanarundikana hivyo ile space ya angalau mita 1 haiwezi kufikiwa basi ikalazimu.kuingiza pesa kukabiliana na msongamano Ili space ipatikane na kuzuia kuambukizana.

Pili wamejenga na miradi ya maji hususani kwenye masoko,vituo vya afya,mashule,stand na maeneo mengine yenye msongamano wa watu..

Hiyo ndio logic na Serikali ndio ukiamua hivyo,ingekuwa na hoja wangeweza hata kujenga lami huko Kigoma
 
Hela ya msaada ni pesa huwa inakuja na masharti...mabeberu ndio wanasema fungu hili fanya hiki na kile...
 
😁😁😁
cOfo.jpg
 
Back
Top Bottom