Kuuliza si ujinga, Mamelod Sundowns wa "Snake" yupi anaeongelewa sana kwenye mijadala ya CAF

Kuuliza si ujinga, Mamelod Sundowns wa "Snake" yupi anaeongelewa sana kwenye mijadala ya CAF

Dr Matola PhD

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2010
Posts
60,050
Reaction score
104,466
Nimekuwa mfuatilia kiasi kwenyw mijadala ya page za CAF mtandaoni nimekutana sana na hili neno snake kuwahusu Mamelod.

Na leo kuna mtu amewashauri Orlando waazime snake wa Mamelod wakija kucheza na Simba kwa sababu Simba kwao wanatumia African magic witchcraft iliyosababisha Kaizer Chief ilipocheza na Simba hawakuweza kuliona goli.

Sasa swali snake wa Mamelod ni kitu gani hicho? Maana Mamelod wanapiga mtu nje ndani roga utakavyoweza wakija wao wanamaliza shughuri na snake wao, je snake huyo ni nini?
 
Shughuli ya mpira hata Angekuja Huyo Snake watu wakishaandika shikel za kimaruhani huwezi kutoka hapo tena ogopa wakiongeza na kafala za moto nakambuka mshikaji wangu aliwahi kuniambia na alikuwa anarogea timu mojawapo za kariakoo hapo RIP sheh A
 
Shughuli ya mpira hata Angekuja Huyo Snake watu wakishaandika shikel za kimaruhani huwezi kutoka hapo tena ogopa wakiongeza na kafala za moto nakambuka mshikaji wangu aliwahi kuniambia na alikuwa anarogea timu mojawapo za kariakoo hapo RIP sheh A
Aisee
 
Shughuli ya mpira hata Angekuja Huyo Snake watu wakishaandika shikel za kimaruhani huwezi kutoka hapo tena ogopa wakiongeza na kafala za moto nakambuka mshikaji wangu aliwahi kuniambia na alikuwa anarogea timu mojawapo za kariakoo hapo RIP sheh A

Wangekuwa wameshabeba mataji mfululizo mpaka klabu bingwa ya dunia.
Nimeuliza anayejuwa maana ya snake wa Mamelod, sijui kama tunaelewana.
 
Sina chochote cha kuchangia

Kila la heri timu zangu Wydad Casablanca and Raja Casablanca, mmoja wao akinyakua yote sawa
 
1650109688374.png
 
mie nimemuambia amuone google
Hawana maarifa hayo, yaani utopolo wakiwekewa taarifa kwenye group, basi huwa wanaforward tu bila hata kujiongeza. Wengi wanachojua ni kupost, lakini kusearch hawawezi.
NB: ukiondoa wawili tu, JK na Baba Haji
 
Back
Top Bottom