Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
- Thread starter
- #21
Sijauliza nani anaenda wapi, soma upya uone nimeuliza nini?Nakuambiaje amini utakavyoamini Simba anaenda nusu fainali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijauliza nani anaenda wapi, soma upya uone nimeuliza nini?Nakuambiaje amini utakavyoamini Simba anaenda nusu fainali.
..👊👊👊...Nakuambiaje amini utakavyoamini Simba anaenda nusu fainali.
Labda nusu fainali ya baikokoNakuambiaje amini utakavyoamini Simba anaenda nusu fainali.
Busara ni kujibu ulichoulizwa!!, Hujui Kaa Kimya sio kutuonesha upuuzi wako.Hawana maarifa hayo, yaani utopolo wakiwekewa taarifa kwenye group, basi huwa wanaforward tu bila hata kujiongeza. Wengi wanachojua ni kupost, lakini kusearch hawawezi.
NB: ukiondoa wawili tu, JK na Baba Haji
Sawa.Labda nusu fainali ya baikoko
M/load analia hukoNimekuwa mfuatilia kiasi kwenyw mijadala ya page za CAF mtandaoni nimekutana sana na hili neno snake kuwahusu Mamelod.
Na leo kuna mtu amewashauri Orlando waazime snake wa Mamelod wakija kucheza na Simba kwa sababu Simba kwao wanatumia African magic witchcraft iliyosababisha Kaizer Chief ilipocheza na Simba hawakuweza kuliona goli.
Sasa swali snake wa Mamelod ni kitu gani hicho? Maana Mamelod wanapiga mtu nje ndani roga utakavyoweza wakija wao wanamaliza shughuri na snake wao, je snake huyo ni nini?