Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
AiseeShughuli ya mpira hata Angekuja Huyo Snake watu wakishaandika shikel za kimaruhani huwezi kutoka hapo tena ogopa wakiongeza na kafala za moto nakambuka mshikaji wangu aliwahi kuniambia na alikuwa anarogea timu mojawapo za kariakoo hapo RIP sheh A
Shughuli ya mpira hata Angekuja Huyo Snake watu wakishaandika shikel za kimaruhani huwezi kutoka hapo tena ogopa wakiongeza na kafala za moto nakambuka mshikaji wangu aliwahi kuniambia na alikuwa anarogea timu mojawapo za kariakoo hapo RIP sheh A
Nimeuliza anayejuwa maana ya snake wa Mamelod, sijui kama tunaelewana.Wangekuwa wameshabeba mataji mfululizo mpaka klabu bingwa ya dunia.
Yesu tena?Teknolojia yetu iko juu zaidi.. kwa jina la Yesu.
Nami nimejiuliza kama huyu sneki kweli yupo basi wangefanikiwa kuchukua mpaka klabu bingwa dunia, kwani kuna ubaya hapo kaka?Wangekuwa wameshabeba mataji mfululizo mpaka klabu bingwa ya dunia.
Ndiyo hapo sasaWangekuwa wameshabeba mataji mfululizo mpaka klabu bingwa ya dunia.
NdioYesu tena?
snake tena?Yesu tena?
Muone google kwanzaNimeuliza anayejuwa maana ya snake wa Mamelod, sijui kama tunaelewana.
mie nimemuambia amuone google
Hawana maarifa hayo, yaani utopolo wakiwekewa taarifa kwenye group, basi huwa wanaforward tu bila hata kujiongeza. Wengi wanachojua ni kupost, lakini kusearch hawawezi.mie nimemuambia amuone google
Kwahiyo na wewe ni kichaa?Gang Chomba njoo uone jukwaa lako pendwa limejaa vichaa tu sasa hivi hakuna tena ile radha yake halisi.