Kuuliza si ujinga; Silaha mpya ya Russia aina ya Oreshnik, imeleta madhara gani Ukraine?

Kuuliza si ujinga; Silaha mpya ya Russia aina ya Oreshnik, imeleta madhara gani Ukraine?

Bulelaa

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2024
Posts
1,342
Reaction score
3,247
Mwenye tarifa na video za madhara yaliyosababishwa na silaha hatari zaidi duniani aina ya Oreshnik iliyotengenezwa kwa technology ya juu kabisa huku ikishuhudiwa na warusi wa Chanika, gongolamboto na ushetu

Karibuni mtujuze

Imekuwa kila anayeandika kuihusu aina hii ya silaha, anaisifia sana ila anajisahau kusema madhara iliyosababisha huko kwa Zele baada ya kufyatuliwa jana na vijana wa Putin

Halafu, vijana wengi wa kwa Mtogole, kila mnapozisifia silaha za Mrusi, mnahitimisha kusema, eti aina hizo hazipo tena kwa nchi nyingine yoyote Duniani.

Mnataka hizo nchi ambazo hazipigani vita, vitoe hizo silaha kwa kumpiga nani?

Nimalizie kusema hivi, tambo za Putin zina mwisho wake, wenye dunia yao wanamcheki tu.

Wameruhusu Zele atumie silaha za masafa marefu kwa Putin, Putin badala aipige Washington, anaanza kulia lia!
 
Mwenye tarifa na video za madhara yaliyosababishwa na siraha hatari zaidi duniani aina ya Oreshnik iliyotengenezwa kwa technology ya juu kabisa huku ikishuhudiwa na warusi wa Chanika, gongolamboto na ushetu


Karibuni mtujuze

Imekuwa kila anayeandika kuihusu aina hii ya siraha, anaisifia sana ila anajisahau kusema madhara iliyosababisha huko kwa Zele baada ya kufyatuliwa jana na vijana wa Putin

Halafu, vijana wengi wa kwa Mtogole, kila mnapozisifia siraha za Mrusi, mnahitimisha kusema, eti aina hizo hazipo tena kwa nchi nyingine yoyote Duniani

Mnataka hizo nchi ambazo hazipigani vita, vitoe hizo siraha kwa kumpiga nani?

Nimalizie kusema hivi, tambo za Putin zina mwisho wake, wenye dunia yao wanamcheki tu

Wameruhusu Zele atumie siraha za masafa marefu kwa Putin, Putin badala aipige Washington, anaanza kulia lia!
Kwanza kabisa sio siraha mkuu,haya ulikuwa unasemaje vileeee
 
Imepiga kiwanda cha Nato kilikuwa kinatengeneza silaha pale Ukraine


View: https://youtu.be/QC_hv242ViI?si=Vi9UKs0FszCUIpi1

Bado ziko aina nyingine hii Owishnaki wanatest tu zipo aina tofauti za Missiles na tutasikia majina mapya karibuni. Zelenskyy analilia lia eti Mrusi hataki amani😄

Yaani jana Putin hakusema wataipiga Ukraine 🇺🇦 ila amesema wanafanya kwanza majaribio Ukraine ambapo ndio uwanja mzuri wa majaribio wa silaha zao.Sasa bwashee hizi si dharau?
 
Mbona hata silaha zingine zinafanya hivyo hivyo mkuu
Sawa hatukatai lakini hio Owshnaki ni first time wanatest ni a medium range missile, moja ya aina ya silaha walizo amua kufanya test, ziko zingine aina mbali mbali watazitest pia. Hio missile hakuna silaha ya Western inaweza kuidaka.

Us na Western wamempa chance Mrusi anze katest aina mbali mbali za Missiles na Ukraine imekuwa uwanja wa majaribio ya silaha za Mrusi.
 
Mwenye tarifa na video za madhara yaliyosababishwa na silaha hatari zaidi duniani aina ya Oreshnik iliyotengenezwa kwa technology ya juu kabisa huku ikishuhudiwa na warusi wa Chanika, gongolamboto na ushetu

Karibuni mtujuze

Imekuwa kila anayeandika kuihusu aina hii ya silaha, anaisifia sana ila anajisahau kusema madhara iliyosababisha huko kwa Zele baada ya kufyatuliwa jana na vijana wa Putin

Halafu, vijana wengi wa kwa Mtogole, kila mnapozisifia silaha za Mrusi, mnahitimisha kusema, eti aina hizo hazipo tena kwa nchi nyingine yoyote Duniani.

Mnataka hizo nchi ambazo hazipigani vita, vitoe hizo silaha kwa kumpiga nani?

Nimalizie kusema hivi, tambo za Putin zina mwisho wake, wenye dunia yao wanamcheki tu.

Wameruhusu Zele atumie silaha za masafa marefu kwa Putin, Putin badala aipige Washington, anaanza kulia lia!
Hivi bado unasema kuna wenye dunia yao?

Maana yake wana uwezo wa kufanya lolote kwa yoyote sio?

Hivi kweli kabisa hapa umefikiria kwa uwezo wote wa akili yako?
 
Back
Top Bottom