Kuuliza si ujinga; Silaha mpya ya Russia aina ya Oreshnik, imeleta madhara gani Ukraine?

Kuuliza si ujinga; Silaha mpya ya Russia aina ya Oreshnik, imeleta madhara gani Ukraine?

Mwenye tarifa na video za madhara yaliyosababishwa na silaha hatari zaidi duniani aina ya Oreshnik iliyotengenezwa kwa technology ya juu kabisa huku ikishuhudiwa na warusi wa Chanika, gongolamboto na ushetu

Karibuni mtujuze

Imekuwa kila anayeandika kuihusu aina hii ya silaha, anaisifia sana ila anajisahau kusema madhara iliyosababisha huko kwa Zele baada ya kufyatuliwa jana na vijana wa Putin

Halafu, vijana wengi wa kwa Mtogole, kila mnapozisifia silaha za Mrusi, mnahitimisha kusema, eti aina hizo hazipo tena kwa nchi nyingine yoyote Duniani.

Mnataka hizo nchi ambazo hazipigani vita, vitoe hizo silaha kwa kumpiga nani?

Nimalizie kusema hivi, tambo za Putin zina mwisho wake, wenye dunia yao wanamcheki tu.

Wameruhusu Zele atumie silaha za masafa marefu kwa Putin, Putin badala aipige Washington, anaanza kulia lia!
washirika wa NATO na USA wakipigwa kipigo cha mbwa koko chenye madhara makubwa cha kutia aibu usitarajie kuona picha au video za madhara hayo...AIBU HUFICHWA
 
Nimeona clip za ile bomu, kwa kweli mrusi yupo vizuri. ile bomu ilikuwa na vichwa 6 halafu yalikuwa yanadondoka kwa speed ya mwanga. Ni sababu viongozi wengi wa nchi za ulaya naona wamepata aina fulani ya homa.

Maana zile vichwa vikifungwa nuclear, halafu wakatandika missile 10 yenye vichwa 6 vya nyuklia, hapo nchi nzimq lazima ushenyentwe hahahaha
hawa ni BBC nakumegea kipande tu
1732438966580.png
 
washirika wa NATO na USA wakipigwa kipigo cha mbwa koko chenye madhara makubwa cha kutia aibu usitarajie kuona picha au video za madhara hayo...AIBU HUFICHWA
Je aliyepiga hana hizo video?

Mkuu, kwani hiyo teknorojia hiyo iko kwa hao NATO na USA pekee
 
Ile silaha hata haikuwa na bomu... Ni ujumbe umetumwa, next time inaweza kufungwa bomu
 
Mwenye tarifa na video za madhara yaliyosababishwa na silaha hatari zaidi duniani aina ya Oreshnik iliyotengenezwa kwa technology ya juu kabisa huku ikishuhudiwa na warusi wa Chanika, gongolamboto na ushetu

Karibuni mtujuze

Imekuwa kila anayeandika kuihusu aina hii ya silaha, anaisifia sana ila anajisahau kusema madhara iliyosababisha huko kwa Zele baada ya kufyatuliwa jana na vijana wa Putin

Halafu, vijana wengi wa kwa Mtogole, kila mnapozisifia silaha za Mrusi, mnahitimisha kusema, eti aina hizo hazipo tena kwa nchi nyingine yoyote Duniani.

Mnataka hizo nchi ambazo hazipigani vita, vitoe hizo silaha kwa kumpiga nani?

Nimalizie kusema hivi, tambo za Putin zina mwisho wake, wenye dunia yao wanamcheki tu.

Wameruhusu Zele atumie silaha za masafa marefu kwa Putin, Putin badala aipige Washington, anaanza kulia lia!
Kwa uandishi wako tu tayari umeshachagua upande ...hamuwezi kukubali maelezo yeyote ya upande wa pili ..we Baki hivyohivyo...vilio ndio vitakujuza nani anapigika. Over
 
Kwa uandishi wako tu tayari umeshachagua upande ...hamuwezi kukubali maelezo yeyote ya upande wa pili ..we Baki hivyohivyo...vilio ndio vitakujuza nani anapigika. Over
Mkuu, usipaniki, mtu kuwa upande wa pili hakukufanyi wewe ukose la kujibu hoja uishie kulaumu eti hayuko upande wako
 
Sawa mkuu, ni silaha! Haya lete video ya uharibifu wa Oreshnik
Mkuu walikua wanatuma tu message ila haikuwekwa warheads ndio maana zilitua bila mlipuko mkubwa ila zingekua na warheads mji mzima ungekua kuzimu.
 
Mkuu walikua wanatuma tu message ila haikuwekwa warheads ndio maana zilitua bila mlipuko mkubwa ila zingekua na warheads mji mzima ungekua kuzimu.
Kuna vitu vingi sana mkuu huwa nakukubali sana, na kwenye hili pia nimekubali, maana huoepesi macho kusema kweli

Kuna wale wamesema imeaangamiza vijiiji na vijiji! Kumbe ni mashabiki wa Putin
 
Hiyo pointi ya pili, unaiandika si kwa moyo mweupe mkuu, kunjua roho, andika kile kinaulizwa na kimetokea kwa Zele
Hakuna swali hapo wewe unauliza kama Kuna madhara kwenye eneo lililodondoshewa bomu unataka tukujibu Nini?
 
Mwenye tarifa na video za madhara yaliyosababishwa na silaha hatari zaidi duniani aina ya Oreshnik iliyotengenezwa kwa technology ya juu kabisa huku ikishuhudiwa na warusi wa Chanika, gongolamboto na ushetu

Karibuni mtujuze

Imekuwa kila anayeandika kuihusu aina hii ya silaha, anaisifia sana ila anajisahau kusema madhara iliyosababisha huko kwa Zele baada ya kufyatuliwa jana na vijana wa Putin

Halafu, vijana wengi wa kwa Mtogole, kila mnapozisifia silaha za Mrusi, mnahitimisha kusema, eti aina hizo hazipo tena kwa nchi nyingine yoyote Duniani.

Mnataka hizo nchi ambazo hazipigani vita, vitoe hizo silaha kwa kumpiga nani?

Nimalizie kusema hivi, tambo za Putin zina mwisho wake, wenye dunia yao wanamcheki tu.

Wameruhusu Zele atumie silaha za masafa marefu kwa Putin, Putin badala aipige Washington, anaanza kulia lia!
Putini amealibiwa na bangi za mkoa MARA
 
Hakuna swali hapo wewe unauliza kama Kuna madhara kwenye eneo lililodondoshewa bomu unataka tukujibu Nini?
Kwa hali hii, bila ya shaka, wewe uuliingia moja kwa moja kuchangia hoja bila kusoma uzi wote

Watu wote wanakubali kwamba, kila silaha ina madhara yake, lakini kuna silaha ambayo ikipigwa mahali, inajitofautisha na silaha zingine, maana yake yenyewe inakuwa ni ya kipekee kama ilivyokuwa Hiroshima mkuu

Tunaiogopa nuclear kwa mfano wa jinsi ilivyopigwa hapo Japan na si vinginevyo

Tunataka tupate upekee wa silaha ya Oreshnik kwa kuangalia madhara iliyosababisha na si vinginevyo na pia tuipe heshima yake

Vinginevyo itakuwa ni silaha kama zingine tu
 
Back
Top Bottom