Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NATO wa buza Kwa mipasho!!Warusi weusi mko vizuri, Putin anawaelewa sana nyie, ila mwaka wa pili hamjamaliza vita vilivyotakiwa kuchukua 24 hours 😂😂😩
Iyo kupenya ni kila mahali mkuu ata Israel si walisema wana mfumo bora duniani wa anga Iron Dome mbona haukuzuia makombora ya Iran? Pale Kyiv ni salama sana uta usikie russia anapiga vip mabom shughuli zao zinaendelea kama kawaida, bunge na mikutano kama kawaidaMifumo gani ya anga waliyo nayo ilhali vitu vimepenya na kutwanga ardhi ya Ukraine!?
Wangekua wako vizuri kianga Ukraine ingekua na magofu mengi?
Jf ipo na watu wanavituko sana , achana na hao mawachawa kokoWanatoa mipasho tu chief
Una uhakika Kyiev hakujapigwa mabomu kaka!?Iyo kupenya ni kila mahali mkuu ata Israel si walisema wana mfumo bora duniani wa anga Iron Dome mbona haukuzuia makombora ya Iran? Pale Kyiv ni salama sana uta usikie russia anapiga vip mabom shughuli zao zinaendelea kama kawaida, bunge na mikutano kama kawaida
Kyiv ni salama mkuu tunaona kwenye media na TV shughuli za serikali zinaenda kwenye majengo salama kabisa, viongozi wa kigeni wanapokelewa kwenye majengo safi kabisa full AC, bunge lao lipo salamaUna uhakika Kyiev hakujapigwa mabomu kaka!?
Bora hata Israel inajitahidi kuliko Ukraine ambayo kila mkoa lazima uone kuna magofu ikiwemo hiyo Kyiev.
24 hours sasa miaka 2 bado mko mpakani 😂, nyie vipi na askari wa kiduku Korea mliowanunua ila nasikia wanafyekwa mbayaNATO wa buza Kwa mipasho!!
Muambieni ndugu yenu Ukraine asimame peke yake bila NATO tuone kama atachukua round.
Hivi una habari kama Russia imeimega 20% + ya ardhi ya Ukraine!?24 hours sasa miaka 2 bado mko mpakani 😂, nyie vipi na askari wa kiduku Korea mliowanunua ila nasikia wanafyekwa mbaya
Fake news za kujitia moyo tuu, acheni ujinga kuvamia nchi nyingine kama bado mko 1800sHivi una habari kama Russia imeimega 20% + ya ardhi ya Ukraine!?
Au unataka tukuletee ripoti!?
Usimkabe sana shujaa....funga kwa maombi ili Ukraine warushe stomshadow tena....kwanza nasikia wanazo 50...asa siwazitumie tu pale KuskKusubiri ndio nini mkuu!
Leta tarifa za madhara chief achana a,e,i,o,u
Kwahiyo BBC na Washington post wanatoa Fake news!??Fake news za kujitia moyo tuu, acheni ujinga kuvamia nchi nyingine kama bado mko 1800s
Mvamizi Putin na utemi wake wa dunia ya 1800s lazima apigwe tuuKwahiyo BBC na Washington post wanatoa Fake news!??
Hivi unajielewa hata nini unazungumzia wewe!?
Hoja huna kijana.Mvamizi Putin na utemi wake wa dunia ya 1800s lazima apigwe tuu
Kwa maoni yako wewe madhara mapya ni yapi!? Ulitaka mbingu zishuke chini ardhi ipande juu!? Maana hilo ndio tukio linaloweza kuwa jipya duniani,mengine yote ni yaleyale ya zamani yanajirudia tu kwa namna tofauti.Mkuu, ni madhara sana kufa kwa watu, shida ni kwamba, zile sifa za Oreshnik zimepita kiasi, nilidhani yenyewe ingesababisha Zele aseme vita basi tena
Mkuu, na wewe umeshindwa kuelezea upya na madhara makubwa yenye kutisha yalosababishwa na Oreshink, unaanza kulalamika tu sasa!Kwa maoni yako wewe madhara mapya ni yapi!? Ulitaka mbingu zishuke chini ardhi ipande juu!? Maana hilo ndio tukio linaloweza kuwa jipya duniani,mengine yote ni yaleyale ya zamani yanajirudia tu kwa namna tofauti.
Sawa!Mkuu, na wewe umeshindwa kuelezea upya na madhara makubwa yenye kutisha yalosababishwa na Oreshink, unaanza kulalamika tu sasa!
Huna jibu kaa kimya mkuu
Wewe jibu tu hata kwa kizigua kama ukipenda.Ulivyoandika kiinglishi unaweza kusema umeongea cha maaaaaana 😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
Russia hadi wameleta askari wa kukodi kutoka North Korea, vita sio lelemama...😂😂😂NATO wa buza Kwa mipasho!!
Muambieni ndugu yenu Ukraine asimame peke yake bila NATO tuone kama atachukua round.