Ayos
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 981
- 2,454
Baba au mama akikopa pale nyumbani wewe kama mtoto unashirikishwaga?
Ok, utasema mimi ni mwananchi natakiwa kujua kinacho endelea, swali nikwamba kwanzia umezaliwa mpaka sasa kuna maamuzi yoyote uliyotoa wewe kama mwananchi yakasikilizwa ma kufanyiwa kazi?
Hayo maswali nliulizwa jana kwenye banda la mpira, baada ya kuliza swali kwanini tz tunakopa bila taadhari
Ok, utasema mimi ni mwananchi natakiwa kujua kinacho endelea, swali nikwamba kwanzia umezaliwa mpaka sasa kuna maamuzi yoyote uliyotoa wewe kama mwananchi yakasikilizwa ma kufanyiwa kazi?
Hayo maswali nliulizwa jana kwenye banda la mpira, baada ya kuliza swali kwanini tz tunakopa bila taadhari