Kuuliza si ujinga: Tunapokopa kama Taifa, dhamana yetu huwa ni nini?

Kuuliza si ujinga: Tunapokopa kama Taifa, dhamana yetu huwa ni nini?

Baba au mama akikopa pale nyumbani wewe kama mtoto unashirikishwaga?

Ok, utasema mimi ni mwananchi natakiwa kujua kinacho endelea, swali nikwamba kwanzia umezaliwa mpaka sasa kuna maamuzi yoyote uliyotoa wewe kama mwananchi yakasikilizwa ma kufanyiwa kazi?

Hayo maswali nliulizwa jana kwenye banda la mpira, baada ya kuliza swali kwanini tz tunakopa bila taadhari
 
Hakuna dhamana, Zaidi, mikopo hii inakubana kununua baadhi ya products sehemu flani kama regulations tu ya kawaida, ila mkopo wa taifa haupo kama wa mtu binafsi, usichanganyikiwe na story za vijiweni, maswala yakutoa vitu yalikua enzi za kina chief mkwawa huko au mangi meri, baada ya serikali kujiunda, hamna hizo harakati.
Mfano mdogo ni internal debts za watu binafsi na serikali. Unajenga shule ya kata, unanunua viti unapojua wewe kwa bei chee. Ila pale unaonyesha pesa ya reja reja na unalipwa.
Sasa hivi iko chini ya Chief Hangaya.
 
Hakuna dhamana, Zaidi, mikopo hii inakubana kununua baadhi ya products sehemu flani kama regulations tu ya kawaida, ila mkopo wa taifa haupo kama wa mtu binafsi, usichanganyikiwe na story za vijiweni, maswala yakutoa vitu yalikua enzi za kina chief mkwawa huko au mangi meri, baada ya serikali kujiunda, hamna hizo harakati.
Mfano mdogo ni internal debts za watu binafsi na serikali. Unajenga shule ya kata, unanunua viti unapojua wewe kwa bei chee. Ila pale unaonyesha pesa ya reja reja na unalipwa.
China imechukua bandari ya Hambantota huko Sri Lanka kwa miaka 99 baada ya nchi hiyo kushindwa kulipa deni lake lililokuwa linadaiwa na China.
 
Baba au mama akikopa pale nyumbani wewe kama mtoto unashirikishwaga?

Ok, utasema mimi ni mwananchi natakiwa kujua kinacho endelea, swali nikwamba kwanzia umezaliwa mpaka sasa kuna maamuzi yoyote uliyotoa wewe kama mwananchi yakasikilizwa ma kufanyiwa kazi?

Hayo maswali nliulizwa jana kwenye banda la mpira, baada ya kuliza swali kwanini tz tunakopa bila taadhari
Tulipinga kodi ya Kichwa tukajibiwa positively na Serikali ya awamu ya tatu chini ya Uongozi mahiri wa Mheshimiwa Benjamin Mkapa.Na tulipigania Mfumo wa Vyama Vingi kwa nguvu zote tukajibiwa na Mzee wa viwango Ndugu Ali Hassan Mwinyi Rais wa Awamu ya Pili.
 
Takribani mikopo yote inayotolewa kwa watu binafsi, taasisi au nchi huwa na masharti. Pamoja na kwamba masharti hayo kukubaliwa na pande zote za mkopo husika (Mkopeshaji na Mkopaji), masharti hayo huandaliwa na Mkopeshaji kwa ajili ya kulinda maslahi yake-urejeshwaji wa mkopo pamoja na faida.

Kati ya masharti ya mkopo ambayo yasioepukika ni kuhusiana na dhamana ya mkopo (security/securities). Hapa Mkopaji huweka rehani mali yake fulani kama dhamana au hakikisho la kulipwa kwa mkopo. Pale ambapo Mkopaji anaposhindwa kulipa mkopo huo, Mkopeshwaji hushughulika na dhamana hiyo kwa njia mbalimbali ikiwemo ya kuiuza.

Dhamana za mikopo ni vitu kama ardhi, mishahara, magari, mitambo, hisa na kadhalika. Hizi zimekuwa za kawaida na maarufu kwenye mikopo itolewayo na taasisi za kifedha kwa watu binafsi, taasisi na kadhalika. Kwa ngazi za kinchi (pale ambapo nchi moja inaikopesha nchi nyingine) dhamana ya nchi mkopaji huwa ni nini hasa? Najua masharti mengineyo kama muda wa kulipa huwepo pia.

Mfano, Tanzania inapokopa kutoka mfano Benki ya Dunia au nchi nyingine, dhamana ya mkopo husika huwa ni nini?
Wewe ni mwanasheria nafkiri unapaswa kufanya mapitio na kutupa usahihi au maadirio kuwa huu mkopo tunaweza kuwa tumeweka rehani hiki na hiki. Pia, uko resourceful kupata details ukatusaidia sisi maamuma
 
na kibaya zaidi tunakopa kama serikali lkn hiyo fedha wanachukuwa watu binafsi, rostamu is 8 billion dollars worth jiulize hiyo fedha kaitoa wapi? kujibu swali lako dhamana ni kodi wanazotozwa wananchi mpaka mafao ya uzeeni ndiyo maana ya tozo, usisahau raisi wa tanzagiza halipi kodi hivyo haimuhusu …
 
na kibaya zaidi tunakopa kama serikali lkn hiyo fedha wanachukuwa watu binafsi, rostamu is 8 billion dollars worth jiulize hiyo fedha kaitoa wapi? kujibu swali lako dhamana ni kodi wanazotozwa wananchi mpaka mafao ya uzeeni ndiyo maana ya tozo, usisahau raisi wa tanzagiza halipi kodi hivyo haimuhusu …
CCM ni Chama cha Matapeli.
 
Takribani mikopo yote inayotolewa kwa watu binafsi, taasisi au nchi huwa na masharti. Pamoja na kwamba masharti hayo kukubaliwa na pande zote za mkopo husika (Mkopeshaji na Mkopaji), masharti hayo huandaliwa na Mkopeshaji kwa ajili ya kulinda maslahi yake-urejeshwaji wa mkopo pamoja na faida.

Kati ya masharti ya mkopo ambayo yasioepukika ni kuhusiana na dhamana ya mkopo (security/securities). Hapa Mkopaji huweka rehani mali yake fulani kama dhamana au hakikisho la kulipwa kwa mkopo. Pale ambapo Mkopaji anaposhindwa kulipa mkopo huo, Mkopeshwaji hushughulika na dhamana hiyo kwa njia mbalimbali ikiwemo ya kuiuza.

Dhamana za mikopo ni vitu kama ardhi, mishahara, magari, mitambo, hisa na kadhalika. Hizi zimekuwa za kawaida na maarufu kwenye mikopo itolewayo na taasisi za kifedha kwa watu binafsi, taasisi na kadhalika. Kwa ngazi za kinchi (pale ambapo nchi moja inaikopesha nchi nyingine) dhamana ya nchi mkopaji huwa ni nini hasa? Najua masharti mengineyo kama muda wa kulipa huwepo pia.

Mfano, Tanzania inapokopa kutoka mfano Benki ya Dunia au nchi nyingine, dhamana ya mkopo husika huwa ni nini?
Kuna nchi ilikopa china alafu ikashindwa kulipa, walichofanya wachina walichukua bandari ya hiyo nchi.

NB: nna wasiwasi hata DP world ikawa tuliweka rehani bandari tukashindwa lipa mkopo ndio ikabidi dp world wapewe bandari.
 
Kuna nchi ilikopa china alafu ikashindwa kulipa, walichofanya wachina walichukua bandari ya hiyo nchi.

NB: nna wasiwasi hata DP world ikawa tuliweka rehani bandari tukashindwa lipa mkopo ndio ikabidi dp world wapewe bandari.
Inaweza kuwa hivyo.
 
Takribani mikopo yote inayotolewa kwa watu binafsi, taasisi au nchi huwa na masharti. Pamoja na kwamba masharti hayo kukubaliwa na pande zote za mkopo husika (Mkopeshaji na Mkopaji), masharti hayo huandaliwa na Mkopeshaji kwa ajili ya kulinda maslahi yake-urejeshwaji wa mkopo pamoja na faida.

Kati ya masharti ya mkopo ambayo yasioepukika ni kuhusiana na dhamana ya mkopo (security/securities). Hapa Mkopaji huweka rehani mali yake fulani kama dhamana au hakikisho la kulipwa kwa mkopo. Pale ambapo Mkopaji anaposhindwa kulipa mkopo huo, Mkopeshwaji hushughulika na dhamana hiyo kwa njia mbalimbali ikiwemo ya kuiuza.

Dhamana za mikopo ni vitu kama ardhi, mishahara, magari, mitambo, hisa na kadhalika. Hizi zimekuwa za kawaida na maarufu kwenye mikopo itolewayo na taasisi za kifedha kwa watu binafsi, taasisi na kadhalika. Kwa ngazi za kinchi (pale ambapo nchi moja inaikopesha nchi nyingine) dhamana ya nchi mkopaji huwa ni nini hasa? Najua masharti mengineyo kama muda wa kulipa huwepo pia.

Mfano, Tanzania inapokopa kutoka mfano Benki ya Dunia au nchi nyingine, dhamana ya mkopo husika huwa ni nin

Baba au mama akikopa pale nyumbani wewe kama mtoto unashirikishwaga?

Ok, utasema mimi ni mwananchi natakiwa kujua kinacho endelea, swali nikwamba kwanzia umezaliwa mpaka sasa kuna maamuzi yoyote uliyotoa wewe kama mwananchi yakasikilizwa ma kufanyiwa kazi?

Hayo maswali nliulizwa jana kwenye banda la mpira, baada ya kuliza swali kwanini tz tunakopa bila taadhari
Mm navyojua hata uweke dhamana pia ukikopa lazima wazingatie kile kifungu cha ability to pay. Sasa hawa wanaotukopesha huwa wanazingatia nini hasa ili hali wanasema sisi ni masikini?
 
Baba au mama akikopa pale nyumbani wewe kama mtoto unashirikishwaga?

Ok, utasema mimi ni mwananchi natakiwa kujua kinacho endelea, swali nikwamba kwanzia umezaliwa mpaka sasa kuna maamuzi yoyote uliyotoa wewe kama mwananchi yakasikilizwa ma kufanyiwa kazi?

Hayo maswali nliulizwa jana kwenye banda la mpira, baada ya kuliza swali kwanini tz tunakopa bila taadhari
Taifa haliendeshwi kwa mfumo wa familia wa baba, mama na watoto wao. Taifa linaendeshwa kwa mfumo wa katiba na social contract. Hao waliouliza hayo maswali kwenye banda la mpira ni vilaza majuha wasiojua chochote kuhusu raia na haki zao kama walipa kodi na wenye nchi.
 
Back
Top Bottom