Kuunganishiwa separate mita ya umeme nyumba za kupanga

Kuunganishiwa separate mita ya umeme nyumba za kupanga

Yess hyo inaitwa separation
Unachukua form ofsin kwao
Ikiwa nyumba ni yako unaenda na kitambulisho na passport...ikiwa nyumba sio yako unaenda na vya mwenyenyumba
Easy like that
Ila lazima uweke mainswitch cct breaker na earthrod yako kisha terry yakupokelea umeme
 
Yess hyo inaitwa separation
Unachukua form ofsin kwao
Ikiwa nyumba ni yako unaenda na kitambulisho na passport...ikiwa nyumba sio yako unaenda na vya mwenyenyumba
Easy like that
Ila lazima uweke mainswitch cct breaker na earthrod yako kisha terry yakupokelea umeme
Haiwezekani kufanya bila kupita tanesco??
 
Yess hyo inaitwa separation
Unachukua form ofsin kwao
Ikiwa nyumba ni yako unaenda na kitambulisho na passport...ikiwa nyumba sio yako unaenda na vya mwenyenyumba
Easy like that
Ila lazima uweke mainswitch cct breaker na earthrod yako kisha terry yakupokelea umeme
Ila mita lazima afungiwe moya ya tanesco
 
KUNA JAMAA NIOIONA KAWEKA TANGAZO LA SUB METER ZA KISASA AMBAZO UNAWEZA KUJAZA UMEME WAKO CHUMBANI KWAKO PEKE YAKO AU KWENYE FRAME YAKO.
NILIONQ TANGAZO HILO HUMU HUMU KAMA SIKOSEI AU FB.BEI YAKE ALISEMA NI 180K

Hizi submeter sio kama zile za kusoma matumizi ila hizi unajaza kabisa umeme wako mwenyewe
 
Back
Top Bottom