Kuunganishiwa separate mita ya umeme nyumba za kupanga

Kuunganishiwa separate mita ya umeme nyumba za kupanga

Kwani sub meter haitegemei mita kuu ya TANESCO? Kwamba mita kuu ikiishiwa na yenyewe inazima?
nimetumia neno "paste" nikimaanisha vitu vinavyowasiliana .Kwa watu wa Programming au computer wanaelewa mtu anaposema una paste code kutoka device moja kwa nyingine maana yake there is mutual communication between two devices.

Baada ya pasting wakati wa kuweka token inamaana Mita kuu inaambiwa kwamba iache amount ya umeme ya submeter fulani let say submeter X incase umeme wa watumiaji wengine ukiisha utakaobaki kwa mita kuu na ukasomwa ni wa submeter X
 
nimetumia neno "paste" nikimaanisha vitu vinavyowasiliana .Kwa watu wa Programming au computer wanaelewa mtu anaposema una paste code kutoka device moja kwa nyingine maana yake there is mutual communication between two devices.

Baada ya pasting wakati wa kuweka token inamaana Mita kuu inaambiwa kwamba iache amount ya umeme ya submeter fulani let say submeter X incase umeme wa watumiaji wengine ukiisha utakaobaki kwa mita kuu na ukasomwa ni wa submeter X
Huduma hii imeanza link kma IPO kweli itakuwa mkombozi maana hta ukinunua hyo mita cku ukihama unahama nayo tu
 
Wewe nae mbona hauelewi. Tanesco ni shirika mama la umeme Tanzania. Wao ndio wanahusika na kuunganisha line za umeme kitoka katika mistimu kuja katika nyumba pamoja na utoaji na ufungaji wa mita kwenye nyumba.

Kinyume na hapo, hakuna watu wengine wanaofanya kazi za tanesco.

Hiyo submeter inakuwa imesajiliwa TANESCO?
Nimegundua watu hawana uelewa kabisa humu kama wewe.
Jana tu nimetoka kumfungia mpangaji wangu ww ndio unahitaji kuelimishwa coz inawezekana unasikia story tu ila mm ni fundi umeme by passion,engineer by proffesion .

Unaongea vitu vya kwny madesa wakati wenzako tuliacha madesa longtime now tupo kwny practical life.Inawezekana swali lako likawa la kijinga .
 
Huduma hii imeanza link kma IPO kweli itakuwa mkombozi maana hta ukinunua hyo mita cku ukihama unahama nayo tu
Hii nimemfungia mwenyewe jana mpangaji wangu jana ,kazi yake ni kuhesabu unit ila nimekonekt kwny switch ambayo naweza kuzima umeme chumbani kwake nikiwa chumbani kwangu km unit zake zitaisha.Kulia ni switch ipo chumbani kwngu nyumba ya pili inazima vyumba vya wapangaji kimoja kimoja.

Hizi ni separating mita za elfu 25 ,switch elfu 40k.

Zipo automatic ndio 180k
 

Attachments

  • 16096588459081834591519.jpg
    16096588459081834591519.jpg
    153.1 KB · Views: 58
  • 16096590607051464699458.jpg
    16096590607051464699458.jpg
    130.5 KB · Views: 57
nimetumia neno "paste" nikimaanisha vitu vinavyowasiliana .Kwa watu wa Programming au computer wanaelewa mtu anaposema una paste code kutoka device moja kwa nyingine maana yake there is mutual communication between two devices.

Baada ya pasting wakati wa kuweka token inamaana Mita kuu inaambiwa kwamba iache amount ya umeme ya submeter fulani let say submeter X incase umeme wa watumiaji wengine ukiisha utakaobaki kwa mita kuu na ukasomwa ni wa submeter X
Hiyo mita kuu ina support vipi 'pasting' kutoka sub- meter hapo pagumu kidogo!
 
Jana tu nimetoka kumfungia mpangaji wangu ww ndio unahitaji kuelimishwa coz inawezekana unasikia story tu ila mm ni fundi umeme by passion,engineer by proffesion .

Unaongea vitu vya kwny madesa wakati wenzako tuliacha madesa longtime now tupo kwny practical life.Inawezekana swali lako likawa la kijinga .
Hivi wewe unatufanya sisi wajinga sio?! Tunazungumzia mita ya tanesco ile yenye network sio hizi submeter za kusoma units tu....
 
Hii nimemfungia mwenyewe jana mpangaji wangu jana ,kazi yake ni kuhesabu unit ila nimekonekt kwny switch ambayo naweza kuzima umeme chumbani kwake nikiwa chumbani kwangu km unit zake zitaisha.Kulia ni switch ipo chumbani kwngu nyumba ya pili inazima vyumba vya wapangaji kimoja kimoja.

Hizi ni separating mita za elfu 25 ,switch elfu 40k.

Zipo automatic ndio 180k
Wewe sasa haujamuelewa mleta uzi. Mwenzako anaongolea ile mita kubwa ambayo unaingizia umeme mwenyewe.

Sio hizi zinazosoma units za matumizi kutoka kwenye mita kubwa. Kwa kifupi zile mita zinasambazwa na tanesco tu, na hata ukipata ya magumashi, utajiunganishaje line kutoka kwenye nguzo za tanesco?!
 
Ata mimi nilikuwa nawaza apa hyo technology....mimi ninavyojua mita kuu ikiisha umeme na kwako unakatika Ila units zako zinabaki vilevile ktk kifaa chako.

Ila lau kungekuwa na system ya kile kidude kujitegemea umeme,naamini ingekuwa poa sanaa...Mana hizi nyumba za kupanga changamoto Sana,mimi kuna nyumba nimepanga umeme wa 5000 tunatumia sku mbili, sometimes huwa nawaza kuna mtu anakiwanda umu ndani.
Umeme wa buku 5 ni kama units 18 hivi, assume mko wapangaji 4 na mna TV, pasi, friji, radio/sub ufa etc kwa nini zisiishe?

Sent from my TECNO L9 Plus using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom