Kuunganishiwa separate mita ya umeme nyumba za kupanga

Kuunganishiwa separate mita ya umeme nyumba za kupanga

KUNA JAMAA NIOIONA KAWEKA TANGAZO LA SUB METER ZA KISASA AMBAZO UNAWEZA KUJAZA UMEME WAKO CHUMBANI KWAKO PEKE YAKO AU KWENYE FRAME YAKO.
NILIONQ TANGAZO HILO HUMU HUMU KAMA SIKOSEI AU FB.BEI YAKE ALISEMA NI 180K

Hizi submeter sio kama zile za kusoma matumizi ila hizi unajaza kabisa umeme wako mwenyewe
Yes na mm niliona humu.
 
Mkuu umeme wangu ukiisha ki vipi? Na je umene huo unakua umetokea wapi?
Mita inafungwa kwny chumba chako au apartment yako katika nyumba assume ww ni mpangaji mpo na wapangaji wengine ww unafunga submeter yako unajaza token yako ya umeme kwa submeter na kupaste kwny mita kubwa ya nyumba unit zako ulizoweka zikiisha chumba chako au apartment yako umeme unazima wenzako wanadunda au wenzako ukiisha umeme unakata kwao ww unaendelea.
 
Bei zake huwa zipoje
Ninazojua mm ni tsh 180,000/= ndio zipo vizuri na zina simple operation.

Japo nasikia zipo zingine lakini unazioperate manually kwa kufanya callibration umeme ukiisha kwako zinazima ila unaweza kukopeshwa umeme kutoka mita kuu na ukaendelea kutumia hizi zinahitaji mtu msomi a layman hawezi kutumia maana inabidi huwe na app ya kugawanyia umeme na kukopesha umeme .🤔🤔🤔
 
Mita inafungwa kwny chumba chako au apartment yako katika nyumba assume ww ni mpangaji mpo na wapangaji wengine ww unafunga submeter yako unajaza token yako ya umeme kwa submeter na kupaste kwny mita kubwa ya nyumba unit zako ulizoweka zikiisha chumba chako au apartment yako umeme unazima wenzako wanadunda au wenzako ukiisha umeme unakata kwao ww unaendelea.
Yes ipo hvyo hvyi
 
Ninazojua mm ni tsh 180,000/= ndio zipo vizuri na zina simple operation.Japo nasikia zipo zingine lakini unazioperate manually kwa kufanya callibration umeme ukiisha kwako zinazima ila unaweza kukopeshwa umeme kutoka mita kuu na ukaendelea kutumia.🤔🤔🤔
Sawa
 
Yess hyo inaitwa separation
Unachukua form ofsin kwao
Ikiwa nyumba ni yako unaenda na kitambulisho na passport...ikiwa nyumba sio yako unaenda na vya mwenyenyumba
Easy like that
Ila lazima uweke mainswitch cct breaker na earthrod yako kisha terry yakupokelea umeme
Unalipia sh ngapi?
 
Haiwezekani kufanya bila kupita tanesco??
Wewe nae mbona hauelewi. Tanesco ni shirika mama la umeme Tanzania. Wao ndio wanahusika na kuunganisha line za umeme kitoka katika mistimu kuja katika nyumba pamoja na utoaji na ufungaji wa mita kwenye nyumba.

Kinyume na hapo, hakuna watu wengine wanaofanya kazi za tanesco.
 
KUNA JAMAA NIOIONA KAWEKA TANGAZO LA SUB METER ZA KISASA AMBAZO UNAWEZA KUJAZA UMEME WAKO CHUMBANI KWAKO PEKE YAKO AU KWENYE FRAME YAKO.
NILIONQ TANGAZO HILO HUMU HUMU KAMA SIKOSEI AU FB.BEI YAKE ALISEMA NI 180K

Hizi submeter sio kama zile za kusoma matumizi ila hizi unajaza kabisa umeme wako mwenyewe
Mnajidanganya sana. Sub meter lazima ipate umeme baada ya Meter ya TANESCO. Sasa meter ya TANESCO ikimaliza umeme (meter ya LUKU) hiyo submeter itapata wapi umeme.
 
Mita inafungwa kwny chumba chako au apartment yako katika nyumba assume ww ni mpangaji mpo na wapangaji wengine ww unafunga submeter yako unajaza token yako ya umeme kwa submeter na kupaste kwny mita kubwa ya nyumba unit zako ulizoweka zikiisha chumba chako au apartment yako umeme unazima wenzako wanadunda au wenzako ukiisha umeme unakata kwao ww unaendelea.
Hiyo submeter inakuwa imesajiliwa TANESCO?
Nimegundua watu hawana uelewa kabisa humu kama wewe.
 
Mnajidanganya sana. Sub meter lazima ipate umeme baada ya Meter ya TANESCO. Sasa meter ya TANESCO ikimaliza umeme (meter ya LUKU) hiyo submeter itapata wapi umeme.
Ata mimi nilikuwa nawaza apa hyo technology....mimi ninavyojua mita kuu ikiisha umeme na kwako unakatika Ila units zako zinabaki vilevile ktk kifaa chako.

Ila lau kungekuwa na system ya kile kidude kujitegemea umeme,naamini ingekuwa poa sanaa...Mana hizi nyumba za kupanga changamoto Sana,mimi kuna nyumba nimepanga umeme wa 5000 tunatumia sku mbili, sometimes huwa nawaza kuna mtu anakiwanda umu ndani.
 
Mita inafungwa kwny chumba chako au apartment yako katika nyumba assume ww ni mpangaji mpo na wapangaji wengine ww unafunga submeter yako unajaza token yako ya umeme kwa submeter na kupaste kwny mita kubwa ya nyumba unit zako ulizoweka zikiisha chumba chako au apartment yako umeme unazima wenzako wanadunda au wenzako ukiisha umeme unakata kwao ww unaendelea.
Kwani sub meter haitegemei mita kuu ya TANESCO? Kwamba mita kuu ikiishiwa na yenyewe inazima?
 
Back
Top Bottom