21 February
JF-Expert Member
- May 19, 2017
- 3,280
- 2,814
Unazungumzia separqte mita kwa kila mpangaji
Kama ni hivyo embu wasiliana na hawa jamaa
0777901467/0623600211
Kama ni hivyo embu wasiliana na hawa jamaa
0777901467/0623600211
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio ukae kwa kutulia sasaUingize umeme kwenye mita ambayo sio ya TANESCO, na hawa jamaa wakubali?? Umeme uishe usikate?? Naona maajabu
Nazihitaji kwa sasa, ngoja tuwasubiri wadau wenye uzoefu nazoMita inayofanana na hiyo unayoongelea niliiona uwanja wa nanenane Mbeya mwaka 2017. Nilivutiwa sana aisee. Yaani yenyewe unaifix kwenye nyumba ya wakazi wengi. Kila mtu ananunua umeme wake mwenyewe ingawa mita ya TANESCO ni moja...
Sikumbuki jina lake kama ndio hilo separqte, ngoja nichukue hizo namba kwa mawasiliano zaidi.Unazungumzia separqte mita kwa kila mpangaji
Kama ni hivyo embu wasiliana na hawa jamaa
0777901467/0623600211
Nani amezipata au anazo tupeni mrejesho kwa alie bahatika kuzipataHizo mita ni komesha.
Jamaa yuko sahihi sema wewe ndiyo hujamulewa, kwa mfano unanunua umeme wa elf20 umeme huo wewe utatambuliwa na mita ya Tanesco lakini kupitia ile submeter utaufanya umeme huo wa elf20 utumie wewe pekee yako na mpangaji mwingine naye atanunua labda umeme wa elf5 meter ya tanesco itahesabu jumla umeme wa elf25 lakini submeter zenu zitawagawia umeme, inaamaana huyo wa elf5 akimaliza umeme wake chumba chake kitazima hata kama bado kwenye meter kuu kuna units.Hiyo submeter inakuwa imesajiliwa TANESCO?
Nimegundua watu hawana uelewa kabisa humu kama wewe.
nenda posta kisutu pale kuna duka kubwa la vifaa vya umeme tronic utazipata, 200KNani amezipata au anazo tupeni mrejesho kwa alie bahatika kuzipata
asante sananenda posta kisutu pale kuna duka kubwa la vifaa vya umeme tronic utazipata, 200K
kupitia jina nililoliona hapo kwenye hiyo picha nimepata kitu kidogo kutoka kwa site hii: A list of all the Hexing Yaka Prepaid Meter shortcodes – Techjajahiyo hapo (mfano)View attachment 1744688
Wewe unatafuta kesi sasa.Tofauti na tanesco mafundi mtaani hawawezi hyo??
nunua hiyo meter tunayozungumzia hakuan atakaye mpigia mwenzie kelele meter ndiyo itaamua nani anastahili kuendelea kuwa umemeni na nani awe gizaniNina kakibanda kangu wapangaji walikuwa wanaleta kelele sana kwenye umeme..nikanunua hizo SUBMETER za kusoma UNIT nikazifunga lkn bado kelelè zilikuwa bado zipo kwan kuna baadhi ya wapangaji wagumu kutoa hela ya umeme ukiisha...
Nikaamua kununua UMEME mm mwenyewe nikaujaza kwenye mita....nikawaambia wapangaji watakuwa wanalipa mwisho wa mwezi umeme walioutumia,usipolipa,NAKATA...kelele zote zikaisha..!!
Kwikwikwi....Nina kakibanda kangu wapangaji walikuwa wanaleta kelele sana kwenye umeme..nikanunua hizo SUBMETER za kusoma UNIT nikazifunga lkn bado kelelè zilikuwa bado zipo kwan kuna baadhi ya wapangaji wagumu kutoa hela ya umeme ukiisha...
Nikaamua kununua UMEME mm mwenyewe nikaujaza kwenye mita....nikawaambia wapangaji watakuwa wanalipa mwisho wa mwezi umeme walioutumia,usipolipa,NAKATA...kelele zote zikaisha..!!
Hizi mita wazozisemelea hawa ni zile mita kubwa za kwenye majengo ambazo wale bili zao zinasoma mwezi hadi mwezi kiufupi wenye umeme mkubwa ambao wana transformer zao,ila kwa izimeter ndogo za luku inakuwa ngumuMnajidanganya sana. Sub meter lazima ipate umeme baada ya Meter ya TANESCO. Sasa meter ya TANESCO ikimaliza umeme (meter ya LUKU) hiyo submeter itapata wapi umeme.
Hii nimemfungia mwenyewe jana mpangaji wangu jana ,kazi yake ni kuhesabu unit ila nimekonekt kwny switch ambayo naweza kuzima umeme chumbani kwake nikiwa chumbani kwangu km unit zake zitaisha.Kulia ni switch ipo chumbani kwngu nyumba ya pili inazima vyumba vya wapangaji kimoja kimoja.
Hizi ni separating mita za elfu 25 ,switch elfu 40k.
Zipo automatic ndio 180k