nyasangaboy
Senior Member
- Jul 14, 2020
- 127
- 58
Tofauti na tanesco mafundi mtaani hawawezi hyo?Inawezekana sana, pesa tu fika tanesco waeleze tatizo lako
Bila kupita tanescoInawezekana sana, pesa tu fika tanesco waeleze tatizo lako
Haiwezekani kufanya bila kupita tanesco??Yess hyo inaitwa separation
Unachukua form ofsin kwao
Ikiwa nyumba ni yako unaenda na kitambulisho na passport...ikiwa nyumba sio yako unaenda na vya mwenyenyumba
Easy like that
Ila lazima uweke mainswitch cct breaker na earthrod yako kisha terry yakupokelea umeme
Kama sio miter separatory ( ile ya kuhesabu luku anazotumia yeye kama yeye)haliwezekani.Mbona inawezekana tu
Ila mita lazima afungiwe moya ya tanescoYess hyo inaitwa separation
Unachukua form ofsin kwao
Ikiwa nyumba ni yako unaenda na kitambulisho na passport...ikiwa nyumba sio yako unaenda na vya mwenyenyumba
Easy like that
Ila lazima uweke mainswitch cct breaker na earthrod yako kisha terry yakupokelea umeme
Inatumika kuhesabu tu na sio kuweka umeme.Kama sio miter separatory ( ile ya kuhesabu luku anazotumia yeye kama yeye)haliwezekani.
NdioInatumika kuhesabu tu na sio kuweka umeme.
Hiyo haihitaji kwenda Tanesco. Nunua mita mtafute fundi umeme yeyote anakuwekea.Inatumika kuhesabu tu na sio kuweka umeme.
Haiwezekani kufanya bila kupita tanesco??
YesUtapata wap meter sasa...au unasemea vile vi meter vya kusoma units?
Havina msaada wwte hivyo na kama nyie wapangaji ni wasumbufu
Zipo submeter zina function kama mita za Tanesco umeme wako ukiisha zinazima bei 180k hauna haja kuweka mita ya Tanesco tena.