Alikuwa ni member aitwae Buyoya419 na heading ya mada yake ilisomeka "Pata separation Meter uepuke ugomvi wa umeme".KUNA JAMAA NIOIONA KAWEKA TANGAZO LA SUB METER ZA KISASA AMBAZO UNAWEZA KUJAZA UMEME WAKO CHUMBANI KWAKO PEKE YAKO AU KWENYE FRAME YAKO.
NILIONQ TANGAZO HILO HUMU HUMU KAMA SIKOSEI AU FB.BEI YAKE ALISEMA NI 180K
Hizi submeter sio kama zile za kusoma matumizi ila hizi unajaza kabisa umeme wako mwenyewe
Kishimba huyu huyu anayetaka kilimo cha bangi kihslalishwe na pia kuwe na chuo cha wizi??Zipo hizo mita.. mimi nilishawai kuziona buza..kwenye nyumba za mbunge kishimba
Ahaaa kumbe ni wadau na siyo Tanesco. Ningeshangaa sana maana Tanesco hawawezi kuwa na hii akili kubwa kwani wana enjoy monopoly iliyopo kwenye umeme hivyo they don't bother.Mita inayofanana na hiyo unayoongelea niliiona uwanja wa nanenane Mbeya mwaka 2017. Nilivutiwa sana aisee. Yaani yenyewe unaifix kwenye nyumba ya wakazi wengi. Kila mtu ananunua umeme wake mwenyewe ingawa mita ya TANESCO ni moja. Na kila mtu anaangalia salio la units ambazo amebakiwa nazo. Umeme unaweza kuisha chumba kimoja vyumba vingine wanaendelea kuenjoy. Ukisafiri umeme wako unabaki vile vile hadi urudi unaukuta vile vile.
Halafu ile mita inaingizwa namba kulingana na idadi ya vyumba. Kama vipo 8, kwa mfano, inaingizwa namba 1 mpaka 8. Chochote unachofanya kama kuingiza umeme unaingiza kwanza namba ya chumba mfano 3 kisha unaingiza token. Kuangalia salio ni hivyo hivyo unaingiza kwanza namba ya chumba ndio uone salio la units.
Yaani ni safi sana. Wao walisema watawasiliana na TANESCO ili kuangalia uwezekano wa kujumuisha teknolojia hiyo kwenye mfumo wa umeme ila ndio nasubiri hadi leo sijui waliishia wapi.
Vp umefanikiwa kuinunua?Sikumbuki jina lake kama ndio hilo separqte, ngoja nichukue hizo namba kwa mawasiliano zaidi.
So ukitaka kuhama unahama nayo si ndio?hiyo hapo (mfano)View attachment 1744688
Inawezekana mkuu kikubwa wasiliana nao hao TANESCOHeri ya mwaka mpya wapendwa.
Kama kichwa cha habari kinavyoonekana hapo juu, kuna uwezekano wa kuwekewa mita tofauti na ya Tanesco ambayo naweza nikatumia peke angu iwe kwenye frame ya biashara au nyumba ya kupanga?
YapSo ukitaka kuhama unahama nayo si ndio?
Zinapatikana wapi hizo ambazo zinajizima automatically...brand gani...bei zake zikoje?#Zipo boss zinajizima automatically umeme wako ukiisha ,
#zipo zingine umeme wako ukiisha zinajizima ila unaweza kukopa umeme nyumba au chumba cha jirani ambayo mnashare mita kuu
#Pia unaweza konnekt hizi separating mita zikasoma umeme ,mtu akimaliza unit zake unamzimia manually switch ya kuzimia unaweka chumbani kwako
.ππππππ