Bluray
JF-Expert Member
- Mar 25, 2008
- 3,449
- 137
Huyo niliyemnuu ameongea kwa kutumia lugha ya picha naona hilo hukuliona
Ukosoaji unaenda sambamba na uwajibikaji hao unaowatolea mfano walifanya tafiti ili kuweza kuja na ukosoaji walioutoa huwezi kamwe kulinganisha ukosoaji huo(wa kisayansi) na ukosoaji wa JF ambao watu wanakosoa hata kabla kongamano halijafanyika! Watu wamefanya nini ili kuweza kukosoa kongamano la TPN? Ukosoaji wa namna hii tunauita umende. hiyo ndio hoja yangu
Hilo nalikubali lakini liendane na uwajibikaji, sio ukosoaji mtupu bila hoja
mfano mtu anasema "hao hamna kitu ni waganga njaa!" hiyo ni nini??
Sijui kwa wengine, mimi nimekosoa kutokana na maada zao walivyozitoa, hazi reflect professionals walio serious, zinaonekana ni kama majibu ya mtoto aliyepewa homework aifanye weekend, akacheza weekend nzima, akawa anataka kujibu maswali Monday morning akijiandaa kwenda shule simultaneouly huku akinywa chai na kuchana nywele.
Kama tunaweza kujadili hilo, criticism yako ya criticism itakuwa constructive.