Kuuzwa kwa meli MV Maendeleo kumefuata sheria

Kuuzwa kwa meli MV Maendeleo kumefuata sheria

NASIRIYA

Member
Joined
Dec 11, 2022
Posts
12
Reaction score
24
Hivi mlitaka Serikali ya Zanzibar ifanye nini kwenye hili? Mnatakiwa kutambua kuwa Mv. Maendeleo imeanza kufanya kazi tangu mwaka 1980 ikiwa na uwezo wa kubeba abiria 600 na mizigo takribani tan 1001 kwa siku.

MV. Maendeleo imefanya kazi kwa muda wa miaka 40 imeipatia faida ya trilion 1.44 Serikali ya Zanzibar. Hivyo, ukarabati wa bil 3.6 na uuzwaji wa Mil 536.8 siyo hasara kwa serikali kwa sababu serikali ilishapata faida ya kutosha.

Tunapaswa kushukuru imeuzika mapema, maana kwa sasa ilikuwa imechakaa ingeanza kuipa Serikali mzigo wa kuifanyia matengenezo ya mara kwa mara na kuisababishia hasara.

Maendeleo_Zanzibar.jpg
 
Hivi mlitaka Serikali ya Zanzibar ifanye nini kwenye hili? Mnatakiwa kutambua kuwa Mv. Maendeleo imeanza kufanya kazi tangu mwaka 1980 ikiwa na uwezo wa kubeba abiria 600 na mizigo takribani tan 1001 kwa siku.

MV. Maendeleo imefanya kazi kwa muda wa miaka 40 imeipatia faida ya trilion 1.44 Serikali ya Zanzibar. Hivyo, ukarabati wa bil 3.6 na uuzwaji wa Mil 536.8 siyo hasara kwa serikali kwa sababu serikali ilishapata faida ya kutosha.

Tunapaswa kushukuru imeuzika mapema, maana kwa sasa ilikuwa imechakaa ingeanza kuipa Serikali mzigo wa kuifanyia matengenezo ya mara kwa mara na kuisababishia hasara.

View attachment 2446869
Kwa nini waliikarabati?
 
Nchi gani...? au nani kanunua? isije kuwa bado ni ya hapahapa bongo yakaja kuwa ni yale yale... ya kuruka majivu ukakanyaga moto..
 
Hawanag hasara wala uchungu na nchi zao alimrad maisha yanaenda posho zao wanapata tena kwa mujibu wa sheria sisi wengineo kama wasindikizajitu lengo lao ni kutimiza agenda za western countries na wanatimiza done.
Waseme sheria gani ilifatwa kwenye uzwaji ,walitangaza gazeti gani wagapi walijitokeza kununu na kila mtu alikuwa na dao gani?
Alfu mnasema twende naye hadi 2030,ndo huku tunapoenda.?
 
Hivi mlitaka Serikali ya Zanzibar ifanye nini kwenye hili? Mnatakiwa kutambua kuwa Mv. Maendeleo imeanza kufanya kazi tangu mwaka 1980 ikiwa na uwezo wa kubeba abiria 600 na mizigo takribani tan 1001 kwa siku.

MV. Maendeleo imefanya kazi kwa muda wa miaka 40 imeipatia faida ya trilion 1.44 Serikali ya Zanzibar. Hivyo, ukarabati wa bil 3.6 na uuzwaji wa Mil 536.8 siyo hasara kwa serikali kwa sababu serikali ilishapata faida ya kutosha.

Tunapaswa kushukuru imeuzika mapema, maana kwa sasa ilikuwa imechakaa ingeanza kuipa Serikali mzigo wa kuifanyia matengenezo ya mara kwa mara na kuisababishia hasara.

View attachment 2446869
Kwahiyo MV Liemba ambayo inafanya kazi tangu mwaka 1927 itatolewa bure kwa anayeitaka!
 
Hivi mlitaka Serikali ya Zanzibar ifanye nini kwenye hili? Mnatakiwa kutambua kuwa Mv. Maendeleo imeanza kufanya kazi tangu mwaka 1980 ikiwa na uwezo wa kubeba abiria 600 na mizigo takribani tan 1001 kwa siku.

MV. Maendeleo imefanya kazi kwa muda wa miaka 40 imeipatia faida ya trilion 1.44 Serikali ya Zanzibar. Hivyo, ukarabati wa bil 3.6 na uuzwaji wa Mil 536.8 siyo hasara kwa serikali kwa sababu serikali ilishapata faida ya kutosha.

Tunapaswa kushukuru imeuzika mapema, maana kwa sasa ilikuwa imechakaa ingeanza kuipa Serikali mzigo wa kuifanyia matengenezo ya mara kwa mara na kuisababishia hasara.

View attachment 2446869
Unaikarabati kwa hela nyingi wakati unataka kuiuza maana yake nini? Rubbish, unadhani watu wote majuha? Logical conclusion hapo ni kuwa hela imeibiwa/imepigwa (msemo wa wizi) na wahusika wakati basically hakuna ukarabati wowote! Muuzie as is condition, then yeye atumie billion tatu kukarabati!
 
Hii habari ni sawa tanzia ya kiongozi mkubwa kafa, bara na zanzibar ilitakiwa bendera nusu mlingoti
 
Unaikarabati kwa hela nyingi wakati unataka kuiuza maana yake nini? Rubbish, unadhani watu wote majuha? Logical conclusion hapo ni kuwa hela imeibiwa/imepigwa (msemo wa wizi) na wahusika wakati basically hakuna ukarabati wowote! Muuzie as is condition, then yeye atumie billion tatu kukarabati!
Exactly. Ati umetumia gari miaka 30 hadi imechakaa. Unaikarabati kwa milioni 12. Kisha unaiuza kwa milioni 2. Mantiki ya kibiashara ya ajabu.
Ila watawala wetu wanatudharau kiasi hiki.
 
Back
Top Bottom