Kuuzwa kwa meli MV Maendeleo kumefuata sheria

Dah! Jinsi usivyojua hesabu za faida na hasara hata hiyo faida yako ya miaka 40 itakuwa umeikosea bila kujua.
 
Dah! Jinsi usivyojua hesabu za faida na hasara hata hiyo faida yako ya miaka 40 itakuwa umeikosea bila kujua.
Haiwezekani meli ya serikali kutengeneza faida. Ni miaka mingi Shirika la Meli halina meli zifanyazo kazi ilhali gharama za kiofisi zipo kama kawaida.
Ofisi Unguja, Daresalaam, Tanga na Pemba. Wafanyakazi kamili kuanzia meneja mkuu hadi wafagiaji. Wafanyakazi wa melini pia wapo. Waeleze hasara iliyoingia kabla hawajaamua kukomba kila kitu.
 
Unajua trillion 1 au unaropoka tu??
Hakuna meli ya kuingiza faida ya Trillion 1 hata kwa miaka 100.
 
kwa sasa ilikuwa imechakaa ingeanza kuipa Serikali mzigo wa kuifanyia matengenezo ya mara kwa mara na kuisababishia hasara.

Kwa hiyo alienunua kanunua hasara 😂
Porojo tu😏
 
kama raisi anaenda kuzindua redio ya wasafi inatosha kuamini nchi inakwenda kuwa corrupt chini ya sixm
 
Nilichoelewq, ukarabati kwa 3.6bl au uiuze kwa milioni Mia tano. Kipi bora kwa meli iliyochakaa Kama hiyo
 
Ttz hamjafahamu sio ukarabati Kwa ajili ya uuzaji ni ukarabati wote toka meli imeanza kutumika . unafikiria mtu gani au serikali gani ambayo inaweza kutumia fedha nyingi kukarabati Hali iuuze Kwa fedha za chini huyo atakuwa juha
 
Ttz hamjafahamu sio ukarabati Kwa ajili ya uuzaji ni ukarabati wote toka meli imeanza kutumika . unafikiria mtu gani au serikali gani ambayo inaweza kutumia fedha nyingi kukarabati Hali iuuze Kwa fedha za chini huyo atakuwa juha
Spinning
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…