Jane Lowassa
JF-Expert Member
- May 10, 2016
- 4,955
- 9,041
Huu mtindo unapata kasi sana. Upigwe marufuku kwasababu ni aibu kwa taifa.
Ofisini ni sehemu ya heshima
Ofisini ni sehemu ya heshima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni vazi tu, kama kuwe na heshima basi kungekuwa na uwajibikaji, hakuna wizi, utoro, uvivu, kucheza na simu muda wote, kutongozana hovyo hovyo, mavazi yasiyositiri viungo nk nkSehemu ya heshima alafu Wana kula rushwa?
Sehemu ya heshima watu wanatiana humo humo?
Nakazia hapo mfano kama mimi nikiona mtu amevaa jezi za njano zile za uto najuaga kabisa hapa nati kichwani hazipo sawa.Huu mtindo unapata kasi sana. Upigwe marufuku kwasababu ni aibu kwa taifa.
Ofisini ni sehemu ya heshima
Ushawahi kutiana na mleta mada?Sehemu ya heshima watu wanatiana humo humo?
Yaan mtanzania ukimuuliza rangi ya Casual na rangi ya Friday anachagua ipi mawazo yanelekea Simba na Yanga ushaelewa?Huko Tanzania hakuna ‘casual Fridays?
Zipo kwa baadhi ya ofisi ila bongo watu huvaa casually Monday mpaka Friday.Huko Tanzania hakuna ‘casual Fridays?
Ipo lakini unavaa casual' zinaxoendana na sehemu yako ya kazi!Huko Tanzania hakuna ‘casual Fridays?
Wengine wanaroga humohumoSehemu ya heshima alafu Wana kula rushwa?
Sehemu ya heshima watu wanatiana humo humo?
Hata ya Mabingwa Yanga?Huu mtindo unapata kasi sana. Upigwe marufuku kwasababu ni aibu kwa taifa.
Ofisini ni sehemu ya heshima
Na kwenye harusi tunavaaa ....Ni ushamba tu kuvaa vazi ambalo si mahali pake. Jezi huvaliwa michezoni, viwanjani, vijiwe vya kahawa na drafti/bao na mitaani kusikokuwa na shughuli rasmi za kiofisi
Mbona mnasema Madrassa ni sehemu ya heshima lakini Masheikh wanalawiti watoto humo?Sehemu ya heshima alafu Wana kula rushwa?
Sehemu ya heshima watu wanatiana humo humo?
Hatujui hata ni nini hiyoHuko Tanzania hakuna ‘casual Fridays?
