ZWAMBATUMA
Member
- Nov 25, 2024
- 91
- 133
Ofisi nyingi hawana sare kwa hiyo mtu anavaa vazi lolote. Mbaya tu kuvaa kimini kwa akiina mama walio pagawa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makolo hayo
Mpaka jana kesi iliyopo mahakamani ni ya askofu kumlawiti mtu!Mbona mnasema Madrassa ni sehemu ya heshima lakini Masheikh wanalawiti watoto humo?
Location doesn't matter, such a stupid behaviour do
Mahakama zipo nyingi, kwa Mahakama ya huku kesi ni ya Sheikh na Muislam mwenzie mwendesha bodaboda kulawiti watoto wawili...wa kiume na wa kikeMpaka jana kesi iliyopo mahakamani ni ya askofu kumlawiti mtu!
Hayo ni magazeti ya jana!Mahakama zipo nyingi, kwa Mahakama ya huku kesi ni ya Sheikh na Muislam mwenzie mwendesha bodaboda kulawiti watoto wawili...wa kiume na wa kike
Na hii si mara yao ya kwanza
Huu ni Uwongo wa Magazetini, Waislam wa Pwani ndio Waasisi wa haya mambo na Ushoga kwa ujumlaHayo ni magazeti ya jana!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Aise tupo wote tena mimi nikiona ni mdada mwenye tako kubwa kavaa jezi ya uto mojakwamoja najua atoa kisamvuNakazia hapo mfano kama mimi nikiona mtu amevaa jezi za njano zile za uto najuaga kabisa hapa nati kichwani hazipo sawa.
Rip classsmate🤣🤣🤣🤣🤣
Hiyo ofisi watakuwa vichaa watupu.Hakuna elimu ya mavazi rasmi ya kiutumishi?Wote waende likizo kwa bibi zao.Huu mtindo unapata kasi sana. Upigwe marufuku kwasababu ni aibu kwa taifa.
Ofisini ni sehemu ya heshima
Mzee wa matunguli assalaàm aleykhum?Wengine wanaroga humohumo
Utaratibu wa mavazi kwa watumishi unasemaje?We are going by the book.Hatuishi kama ngedere.Mavazi hayana uhusino na heshima ya MTU .
Utaratibu wa mavazi kwa watumishi unasemaje?We are going by the book.Hatuishi kama ngedere.
Wenye akili wawili tu kule.Nakazia hapo mfano kama mimi nikiona mtu amevaa jezi za njano zile za uto najuaga kabisa hapa nati kichwani hazipo sawa.