LOTH HEMA
JF-Expert Member
- Dec 6, 2015
- 18,611
- 27,615
dui! PUFF DADDY tena? kwa hiyo una ID mbili, nyingine ni pdiddy!mrembo mamboo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dui! PUFF DADDY tena? kwa hiyo una ID mbili, nyingine ni pdiddy!mrembo mamboo
well com to My party mrdui! PUFF DADDY tena? kwa hiyo una ID mbili, nyingine ni pdiddy!
Kwa mtazamo wako wengine tunachukulia kawaida nyinyi mnataka mtu kila mda avae vitengehilo vazi limekaa kihunihuni, kuna sehemu ukilivaa utaonekana ni muhuni
sijiwell com to My party mr
Heshima?Huu mtindo unapata kasi sana. Upigwe marufuku kwasababu ni aibu kwa taifa.
Ofisini ni sehemu ya heshima
Heshima na hekima haipo kwenye mavazi,engonga alikua anawagonga ofisini kwake akiwa ndani ya vazi la suitHuu mtindo unapata kasi sana. Upigwe marufuku kwasababu ni aibu kwa taifa.
Ofisini ni sehemu ya heshima
Sehemu ya heshima watu wanaenda na maji yakiwa na mchanganyiko wa k-vant/konyagiSehemu ya heshima alafu Wana kula rushwa?
Sehemu ya heshima watu wanatiana humo humo?
Ufanisi wa kazi na matangazo kipi kiondolewe?Hakika.
Ni kukosa heshima na busara kuja kwa muajiri wako ukiwa umevaa mavazi yanatangaza biashara na taasisi zingine.
Unakuta mpaka wanakubatiza jina.Zipo kwa baadhi ya ofisi ila bongo watu huvaa casually Monday mpaka Friday.
J3 - jezi ya home
J4- jezi ya away
J5- Third kit
Alh - Jeans na designer juu
Ijumaa - Jezi ya timu ya ulaya..
Sisi tuna casual SaturdayHuko Tanzania hakuna ‘casual Fridays?