Jane Lowassa
JF-Expert Member
- May 10, 2016
- 4,955
- 9,041
- Thread starter
- #81
Na majezi ya pink đź’— ya inter miamiKuna ile crefisa wadada huwa ambii kitu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na majezi ya pink đź’— ya inter miamiKuna ile crefisa wadada huwa ambii kitu
Magauni?Kuna jirani zangu wanasema wansoma Chuo wanavaa kanzu et wajameni wasomi University wanavaaga kanzu?
Misikitini imebidi waweke tangazo anaeenda na hizo jezi out. Wanatangaza bettingWameamua kuwa mbao za matangazo za SportPesa
Kwani hizo jezi za 51mba na YANGA siyo casual?Yaan mtanzania ukimuuliza rangi ya Casual na rangi ya Friday anachagua ipi mawazo yanelekea Simba na Yanga ushaelewa?
Kuna mambo mengine ya kipuuzi tu.Dress Code kwa Watumishi wa Umma imeelekeza aina tatu za viwango vya mavazi:
1. Kiwango cha kawaida (Casual)
2. Kiwango cha kati (Casual Smart)
3. Kiwango cha juu (Smart)
Na katika hizo, nguo za michezo, fulana zisizo na kola na suruali za jinzi (jeans) katu haziruhusiwi. Watu huvaa kwa mazoea na pengine hakuna ufuatiliaji. Lakini baadhi ya taasisi wapo serious; mfano nenda pale Makao Makuu ya Jeshi (Ngome) na jeans yako kama utaingia, utakuja kusimulia...![]()
Wanakataza jezi huku mfuko wa kanzu wana mkeka wa betting(bet slip). Unafiki tu.Misikitini imebidi waweke tangazo anaeenda na hizo jezi out. Wanatangaza betting
Huo unafik ndio hautakiwi. Anaoufanya hiari yake na Mungu Wake na hisabu yakeWanakataza jezi hukufuko wa kanzu wa mkeka wa betting(bet slip). Unafiki tu.
Kuna imamu mmoja wa msikiti fulani Ubungo alishinda milioni 100 na kitu.
Bangi ni marufuku iliruhusiwa lini?Zipigwe marufuku, kwani lini zimeruhusiwa.
Huu mtindo unapata kasi sana. Upigwe marufuku kwasababu ni aibu kwa taifa.
Ofisini ni sehemu ya heshima
Ofisi ipi ?Huu mtindo unapata kasi sana. Upigwe marufuku kwasababu ni aibu kwa taifa.
Ofisini ni sehemu ya heshima
Hakika aiseeSehemu ya heshima alafu Wana kula rushwa?
Sehemu ya heshima watu wanatiana humo humo?
ni vazi la michezo na kihuni piaJezi ni vazi la aibu?
Kama tayari ni marufuku utasemaje tena ipigwe marufuku?Bangi ni marufuku iliruhusiwa lini?
KanzuMagauni?
o My god whay?siji
Ni huzuni yaaniunakuta chungaji linaongelea ushabiki wa simba na yanga huku lipo madhabahuni, mara unasikia likitamka ubwela ubaya, ni kituko
Kosa moja halihalalishi kosa lingine, yaan kuvunjwa kwa sheria, hakuhalalishi kuvunja sheria nyingineSehemu ya heshima alafu Wana kula rushwa?
Sehemu ya heshima watu wanatiana humo humo?
Adhabu kwa mtumishi avaae mavazi ya ovyo ovyo kazini.Huu mtindo unapata kasi sana. Upigwe marufuku kwasababu ni aibu kwa taifa.
Ofisini ni sehemu ya heshim