Kuvaa jezi ofisini kupigwe marufuku

Dress Code kwa Watumishi wa Umma imeelekeza aina tatu za viwango vya mavazi:
1. Kiwango cha kawaida (Casual)
2. Kiwango cha kati (Casual Smart)
3. Kiwango cha juu (Smart)
Na katika hizo, nguo za michezo, fulana zisizo na kola na suruali za jinzi (jeans) katu haziruhusiwi. Watu huvaa kwa mazoea na pengine hakuna ufuatiliaji. Lakini baadhi ya taasisi wapo serious; mfano nenda pale Makao Makuu ya Jeshi (Ngome) na jeans yako kama utaingia, utakuja kusimulia...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…