Kuvaa saa enzi hizi za dijitali ni mbwembwe au usharobaro?

Kuvaa saa enzi hizi za dijitali ni mbwembwe au usharobaro?

tunahitaj hija ya msing, hayo ni majungu kwan nini maana ya utanashat
 
Duh haya bhana!
Na hata unapokuwa unafanya "presentation" ofisini kwako au mahali popote ambapo ni "official" mbele za watu, toa simu yako/zako uangalie muda!

mkuu, kwani kwenye laptop unayofanyia presentation hakuna saa? BTW kama ukivaa saa during special occasions kama ndani ya examination room au kama ni mwanafunzi, hilo sina shida nalo. concern yangu ni kwa wale wanaovaa saa 24 hrs wakati kwenye simu na ipad zao kuna saa.
 
Ndugu yangu muanzisha mada.... Ni bora ungeuliza ili uone watu watashauri vipi kuliko kuanza na critical minds zako.... Umechemka sana na every body had proved that... You are not a genleman..

Next time anzisha uzi kwa kuuliza na sio ku critisize.....hii itakusaidia sana kuimprove...kuliko kuanzisha uzi.. Ukaishiwa kuumbuliwa ndio ujifunze.

Saa ina nafasi yake kubwa sana kutambulisha aina ya utu wako..acha mawazo potofu. Na ndio maana mpaka leo bei ya saa (za ukweli) ni kubwa kuliko bei ya simu yoyote unayoijua wewe na thamani ya saa haina hata dalili ya kushuka.

Binafsi sioni hatari hata nikinunua saa kwa milioni kumi.
 
Mkuu saa inavaliwa kwa malengo mawili, kuonyesha majira, vilevile kupendeza, kama ilivyo nguo, kusitiri mwili na kupendeza vilevile.
Mimi ni addict wa kuvaa saa, nikiisahau nitaomba ruhusa kazini niirudie.

mkuu, kwa ke kuvaa saa ni jambo la kawaida kabisa kwa kuwa ke akivaa saa ni kama amevaa bangili-urembo. si unajua siku hz pambo la bangili ni nadra sana kupatikana? tatizo ni kwa wale me wanaovaa bangili hii all day long.
 
Saa Yangu Ni Ya Kimulimuli Na Lazima Nivae Hata Kama Nimelala. Saa Hasa Ya Kimulimuli Kwa Sie Wengine Ina Kazi Maalumu.
 
utakuja kukosa hata kazi hvhv kwenye makampuni ya watu kwa kwa kujifanya unaenda na digitali.kwahiyo unataka kusema wanaume wote wanaovaa saa ni mademu au wazee wa analogue?

wala sijasema hivyo mkuu-nimetoa exceptions. rudia kusoma uzi wangu utanipata vizuri.
 
mwingine unamuuliza saiv saa ngapi anajibu oh saa yangu mbovu! nazani uyo ndo sharobaro.
Otherwise kuvaa saa it shows how smart you are.

huyo kavaa BANGILI mkuu.
 
simu ni kila kitu. stopwoch. rimainda. aram cloku nk tena hata kama umeizima inaweza kukuamsha. mnao sema pambo nawaunga mkono. mimi naona mzigo tu

umeongea jambo la msingi sana mkuu. pokea LIKE zangu za kutosha. kwenye simu kuna karibu kila kitu kinachofanya uvaaji wa saa uonekane mzigo wa misumari!

kwenye simu kuna kila kitu, hakuna umuhimu wa kuvaa mizigo mikononi kwa kuwa hakuna haja ya kufanya hivyo enzi hizi.
 
  • Thanks
Reactions: dtj
Huyo naona makunyanzi ya uso yanamjia vibaya , yaani hawa ndio wale wanaojua digitali imekuja sasa hivi baada ya kusikia tv hazitaonyesha , while ilishakuja miaka dahali kwa wengine.Siku zikija flyover huko atasema barabara za vumbi hazifai.
 
Sio mbwembwe, kuna sehemu haziruhusiki kuwasha simu, vile vile kuna sehemu nyengine ni hatari kutoa simu mfukoni
 
Saa ni kifaa cha kutazama muda hasa kwa watu makini na ni pambo la mkononi. Mimi bila saa yangu mkononi naona maisha hayasogei. Tena yangu ni digital kabisaa ya bei ya kawaida kabisaa
 
View attachment 189231
Mimi nashindwa kuelewa kabisa watu (hasa wanaume) wanaovaa saa enzi hizi za dijitali kama wanafanya hivyo kwa makusudi au ni mbwembwe tu. Kwanini nasema hivyo? Siku hizi yapata 98% ya watanzania wote wanamiliki simu na kwenye simu kuna saa.

Utamkuta mwanamume sharobaro anamiliki simu 3 kwa mpigo na wakati huo huo katupia bonge ya saa kiganjani mwake. Kuvaa saa kwa wanawake inaleta maana kidogo kwa kuwa inachukua nafsi ya bangili – ni pambo la kike.

Sikumbuki mara ya mwisho kuvaa saa na sitegemei kuivaa tena labda nikiwa kwenye chumba cha mtihani nitaibeba na kwenda nayo na baada ya kumaliza kupiga paper nitampa demu wangu avae kama bangili. Uvaaji wa saa enzi hizi unawafaa zaidi wanafunzi wa shule za msingi kwa kuwa wengi wao hawamiliki simu. Tujifunze kuishi kulingana na wakati.

:israel:

kumbe kuna saa za viganjani.
 
Hivi, kwani kutoa mada ni lazima?? Kuna mada zingine bhana hazina kichwa wala miguu, mi nadhani ungeweka mada ya kuuliza umhm wa saa wkt mtu unatumia cm ni upi ungekuwa sahihi zaidi!
 
Napenda kuvaa saa hata kama sio kazini imekuwa tabia yangu inavyoonesha na ww tabia yako sio kuvaa saa live your life man
 
mleta mada hebu jiulize zama hizi za digital.kuna umuhim gani wa padre kubeba mizigo ya bible badala ya kuwa na ipad?
 
Back
Top Bottom