Kuvaa saa enzi hizi za dijitali ni mbwembwe au usharobaro?

Kuvaa saa enzi hizi za dijitali ni mbwembwe au usharobaro?

View attachment 189231
Mimi nashindwa kuelewa kabisa watu (hasa wanaume) wanaovaa saa enzi hizi za dijitali kama wanafanya hivyo kwa makusudi au ni mbwembwe tu. Kwanini nasema hivyo? Siku hizi yapata 98% ya watanzania wote wanamiliki simu na kwenye simu kuna saa.

Utamkuta mwanamume sharobaro anamiliki simu 3 kwa mpigo na wakati huo huo katupia bonge ya saa kiganjani mwake. Kuvaa saa kwa wanawake inaleta maana kidogo kwa kuwa inachukua nafsi ya bangili – ni pambo la kike.

Sikumbuki mara ya mwisho kuvaa saa na sitegemei kuivaa tena labda nikiwa kwenye chumba cha mtihani nitaibeba na kwenda nayo na baada ya kumaliza kupiga paper nitampa demu wangu avae kama bangili. Uvaaji wa saa enzi hizi unawafaa zaidi wanafunzi wa shule za msingi kwa kuwa wengi wao hawamiliki simu. Tujifunze kuishi kulingana na wakati.

:israel:

U must be an idiot ----n dumb dick sucker kufuatilia maisha ya watu, kila mtu ana preference yake. Wewe unafaa kutangaza vile vipindi vya taarabu, umbea na majungu....
 
LoL!!!! Hahahaha Kumbe tuko wengi ambao tukisahau saa nyumbani basi lazima tuirudie. Sipendi kabisa kuuliza uliza kwa watu wengine saa ngapi?

Mkuu saa inavaliwa kwa malengo mawili, kuonyesha majira, vilevile kupendeza, kama ilivyo nguo, kusitiri mwili na kupendeza vilevile.
Mimi ni addict wa kuvaa saa, nikiisahau nitaomba ruhusa kazini niirudie.
 
Wewe mleta mada unanishangaza sana, inawezekana wewe ni mmoja wa wale wanaopinga ujenzi wa vyoo kwa kuona havina haja ya kuwepo kwakuwa vinahifadhi kinyesi!

Kama saa ni usharobaro! Tai si utasema isivaliwe kwakuwa haifuniki chochote, na kuvaa koti ya suti juu ya shati hapa dar es salaam utapinga kwakuwa kuna joto. NA UTURI (PERFUME) UTASEMAJE?

UTANASHATI NI TAALUMA KAMA TAALUMA NYINGINE!
 
View attachment 189231
Mimi nashindwa kuelewa kabisa watu (hasa wanaume) wanaovaa saa enzi hizi za dijitali kama wanafanya hivyo kwa makusudi au ni mbwembwe tu. Kwanini nasema hivyo? Siku hizi yapata 98% ya watanzania wote wanamiliki simu na kwenye simu kuna saa.

Utamkuta mwanamume sharobaro anamiliki simu 3 kwa mpigo na wakati huo huo katupia bonge ya saa kiganjani mwake. Kuvaa saa kwa wanawake inaleta maana kidogo kwa kuwa inachukua nafsi ya bangili – ni pambo la kike.

Sikumbuki mara ya mwisho kuvaa saa na sitegemei kuivaa tena labda nikiwa kwenye chumba cha mtihani nitaibeba na kwenda nayo na baada ya kumaliza kupiga paper nitampa demu wangu avae kama bangili. Uvaaji wa saa enzi hizi unawafaa zaidi wanafunzi wa shule za msingi kwa kuwa wengi wao hawamiliki simu. Tujifunze kuishi kulingana na wakati.

:israel:

Mkuu unajua unavyosema % 98 wanamiliki simu unakuwa una maanisha nini?
Je unamaanisha 98 % ya waishio mjini? Au wote kwa ujumla kuwa wazi.. Na by the way kuvaa saa ni swala binafsi na mazoea ya mtu unataka kusema hawa wazee wanaovaa saa pia ni usharobaro au nini????
 
View attachment 189231
Mimi nashindwa kuelewa kabisa watu (hasa wanaume) wanaovaa saa enzi hizi za dijitali kama wanafanya hivyo kwa makusudi au ni mbwembwe tu. Kwanini nasema hivyo? Siku hizi yapata 98% ya watanzania wote wanamiliki simu na kwenye simu kuna saa.

Utamkuta mwanamume sharobaro anamiliki simu 3 kwa mpigo na wakati huo huo katupia bonge ya saa kiganjani mwake. Kuvaa saa kwa wanawake inaleta maana kidogo kwa kuwa inachukua nafsi ya bangili – ni pambo la kike.

Sikumbuki mara ya mwisho kuvaa saa na sitegemei kuivaa tena labda nikiwa kwenye chumba cha mtihani nitaibeba na kwenda nayo na baada ya kumaliza kupiga paper nitampa demu wangu avae kama bangili. Uvaaji wa saa enzi hizi unawafaa zaidi wanafunzi wa shule za msingi kwa kuwa wengi wao hawamiliki simu. Tujifunze kuishi kulingana na wakati.

:israel:
Hapa mtabishana milele na hakutapatikana mshindi. Kuvaa au kutovaa saa vipo kimtazamo zaidi. Mimi sivai saa ila pia simshangai anayevaa. Na ndio maana kuna brands nyingine za saa bei yake itakuchosha, inakimbizana na ya gari kabisa. Kuvaa saa ni utamaduni tuliochukua kutoka kwa wenzetu wa nchi za nje na biashara yao nzuri tu kama ilivyo mitindo mingine. Uungwana wa mtu haupimwi kwa kuvaa ama kutovaa saa!
 
Mkuu hapo kwa John Komba tu ndipo umenifurahisha huko kwingine umemuonea jamaa
tpaul ngafu Tpaul ni mtani hana shida hata ye anajua umuhimu wa Saa sema kaamua kuzingua jukwaa tu... alishanisamehe
 
Last edited by a moderator:
saa ya kiganjani?????? Nilidhani ya mkononi
View attachment 189231
Mimi nashindwa kuelewa kabisa watu (hasa wanaume) wanaovaa saa enzi hizi za dijitali kama wanafanya hivyo kwa makusudi au ni mbwembwe tu. Kwanini nasema hivyo? Siku hizi yapata 98% ya watanzania wote wanamiliki simu na kwenye simu kuna saa.

Utamkuta mwanamume sharobaro anamiliki simu 3 kwa mpigo na wakati huo huo katupia bonge ya saa kiganjani mwake. Kuvaa saa kwa wanawake inaleta maana kidogo kwa kuwa inachukua nafsi ya bangili – ni pambo la kike.

Sikumbuki mara ya mwisho kuvaa saa na sitegemei kuivaa tena labda nikiwa kwenye chumba cha mtihani nitaibeba na kwenda nayo na baada ya kumaliza kupiga paper nitampa demu wangu avae kama bangili. Uvaaji wa saa enzi hizi unawafaa zaidi wanafunzi wa shule za msingi kwa kuwa wengi wao hawamiliki simu. Tujifunze kuishi kulingana na wakati.

:israel:
 
View attachment 189231
Mimi nashindwa kuelewa kabisa watu (hasa wanaume) wanaovaa saa enzi hizi za dijitali kama wanafanya hivyo kwa makusudi au ni mbwembwe tu. Kwanini nasema hivyo? Siku hizi yapata 98% ya watanzania wote wanamiliki simu na kwenye simu kuna saa.

Utamkuta mwanamume sharobaro anamiliki simu 3 kwa mpigo na wakati huo huo katupia bonge ya saa kiganjani mwake. Kuvaa saa kwa wanawake inaleta maana kidogo kwa kuwa inachukua nafsi ya bangili – ni pambo la kike.

Sikumbuki mara ya mwisho kuvaa saa na sitegemei kuivaa tena labda nikiwa kwenye chumba cha mtihani nitaibeba na kwenda nayo na baada ya kumaliza kupiga paper nitampa demu wangu avae kama bangili. Uvaaji wa saa enzi hizi unawafaa zaidi wanafunzi wa shule za msingi kwa kuwa wengi wao hawamiliki simu. Tujifunze kuishi kulingana na wakati.

:israel:
Mkuu mleta mada uko nyuma ya muda sana,
Kwa taarifa yako hizo simu unazosema ni digital sasa zimekuja ki digital zaidi,kwa muundo wa saa za mkononi,sasa sijui utasema nini tena?Kama ushamba mzigo ulio nao wa kutokuvaa saa makamu yako yote,huku tunakoelekea itakubidi uvae sasa,otherwise kama hutataka hata kutumia sim kabisa.
 
tpaul, kuna watu tuna hobbie ya kuvaa saa, hata iweje siwezi kutoka ndani bila kuvaa saa,nisipovaa saa nahisi kuna kitu kimepungua mwilini mwangu, tena saa zangu ni water proof hata kufua au kuosha vyombo sivui, siku nikifa tpaul usisahau kunivisha saa best niende nayo huko ninakoenda

View attachment 189231
Mimi nashindwa kuelewa kabisa watu (hasa wanaume) wanaovaa saa enzi hizi za dijitali kama wanafanya hivyo kwa makusudi au ni mbwembwe tu. Kwanini nasema hivyo? Siku hizi yapata 98% ya watanzania wote wanamiliki simu na kwenye simu kuna saa.

Utamkuta mwanamume sharobaro anamiliki simu 3 kwa mpigo na wakati huo huo katupia bonge ya saa kiganjani mwake. Kuvaa saa kwa wanawake inaleta maana kidogo kwa kuwa inachukua nafsi ya bangili – ni pambo la kike.

Sikumbuki mara ya mwisho kuvaa saa na sitegemei kuivaa tena labda nikiwa kwenye chumba cha mtihani nitaibeba na kwenda nayo na baada ya kumaliza kupiga paper nitampa demu wangu avae kama bangili. Uvaaji wa saa enzi hizi unawafaa zaidi wanafunzi wa shule za msingi kwa kuwa wengi wao hawamiliki simu. Tujifunze kuishi kulingana na wakati.

:israel:
 
Last edited by a moderator:
Kwakweli sina hakika kama mtoa mada yuko serious au kaamua tu kufanya watu waongee. Kwa mfano upo kwenye mtihani unafanyaje kujua muda wakati simu huruhusiwi kuingia nayo.?
 
Kwakweli sina hakika kama mtoa mada yuko serious au kaamua tu kufanya watu waongee. Kwa mfano upo kwenye mtihani unafanyaje kujua muda wakati simu huruhusiwi kuingia nayo.?

Yupo serious ndo maana ameamua kuonyesha jinsi alivyo kilaza kwa kujadili majungu yake yaliyo moyoni mwake kwa kutaka watu waishi anavyopenda yeye
 
Duh haya bhana!
Na hata unapokuwa unafanya "presentation" ofisini kwako au mahali popote ambapo ni "official" mbele za watu, toa simu yako/zako uangalie muda!

mkuu ahsante kwa jibu zuri
 
Mkuu kama ulipa shule jitathimin upya.
Uandishi wako na uelewa unainitia mashaka kama ulisome ili uwe mwenye majukum au ulisoma ili umalize tu uingie mtaani.
Maana inaonekana hujitambui.

Nakupa assignment:tafuta watoto kumi wa shule ya chekechekea,waulize suala hili,uone majibu yao.
Hapa ndio suala la time management huwa tatizo.

Ungekuwa ni Mmanyema ningekupa nyimbo moja ya Koffii,kuna kipande atakupa kwamba thamani ya mwanaume ni saa aliyovaa.
 
Kama ndo hivyo basi hakuna umuhimu wa kuvaa chup wakati umevaa trouser juu
 
kwa mwanaume kubwa saa ni heshima na inaonyesha hadhi uliyonayo katika jamii yako....
 
Aliyeanzisha huu uzi saizi anatamani mods waufute huu uzi.
 
Mods, where is the dislike button for posts like these?
 
View attachment 189231
Mimi nashindwa kuelewa kabisa watu (hasa wanaume) wanaovaa saa enzi hizi za dijitali kama wanafanya hivyo kwa makusudi au ni mbwembwe tu. Kwanini nasema hivyo? Siku hizi yapata 98% ya watanzania wote wanamiliki simu na kwenye simu kuna saa.

Utamkuta mwanamume sharobaro anamiliki simu 3 kwa mpigo na wakati huo huo katupia bonge ya saa kiganjani mwake. Kuvaa saa kwa wanawake inaleta maana kidogo kwa kuwa inachukua nafsi ya bangili – ni pambo la kike.

Sikumbuki mara ya mwisho kuvaa saa na sitegemei kuivaa tena labda nikiwa kwenye chumba cha mtihani nitaibeba na kwenda nayo na baada ya kumaliza kupiga paper nitampa demu wangu avae kama bangili. Uvaaji wa saa enzi hizi unawafaa zaidi wanafunzi wa shule za msingi kwa kuwa wengi wao hawamiliki simu. Tujifunze kuishi kulingana na wakati.

:israel:
mfianchi kaka tayari umesha mjibu majibu yangu. Mtoa Mada..hivi unaifaham kampuni inayotengeneza Rolex?hawa wanadhamini mashindano ya Golf, ulishawahi kuona kina nani wanacheza golf? Washarobaro?
 
Last edited by a moderator:
View attachment 189231
Mimi nashindwa kuelewa kabisa watu (hasa wanaume) wanaovaa saa enzi hizi za dijitali kama wanafanya hivyo kwa makusudi au ni mbwembwe tu. Kwanini nasema hivyo? Siku hizi yapata 98% ya watanzania wote wanamiliki simu na kwenye simu kuna saa.

Utamkuta mwanamume sharobaro anamiliki simu 3 kwa mpigo na wakati huo huo katupia bonge ya saa kiganjani mwake. Kuvaa saa kwa wanawake inaleta maana kidogo kwa kuwa inachukua nafsi ya bangili – ni pambo la kike.

Sikumbuki mara ya mwisho kuvaa saa na sitegemei kuivaa tena labda nikiwa kwenye chumba cha mtihani nitaibeba na kwenda nayo na baada ya kumaliza kupiga paper nitampa demu wangu avae kama bangili. Uvaaji wa saa enzi hizi unawafaa zaidi wanafunzi wa shule za msingi kwa kuwa wengi wao hawamiliki simu. Tujifunze kuishi kulingana na wakati.

:israel:
APPLE kampuni kubwa sana duniani ya simu imetoa iphone six pamoja na saa inayoshirikiana na simu katika function fulani fulani hata ukiwa chooni saa inasema iemail received from john kama mtu amekupigia simu unaendesha gari unaweza kupokea tu kwenye saa...kwa kweli saa digital ni nzuri
 
Back
Top Bottom