Kuvaa saa enzi hizi za dijitali ni mbwembwe au usharobaro?

Kuvaa saa enzi hizi za dijitali ni mbwembwe au usharobaro?

U must be an idiot ----n dumb dick sucker kufuatilia maisha ya watu, kila mtu ana preference yake. Wewe unafaa kutangaza vile vipindi vya taarabu, umbea na majungu....

Does having a different opinion make me an idiot? Mkuu, jenga hoja bila kutumia matusi kama nilivyojenga hoja yangu kwenye uzi. Umetokea kwa mama muuza kupata dengerua au una tatizo lingine zaidi? Mbona unakuwa sio mstaarabu?
 
Huyo naona makunyanzi ya uso yanamjia vibaya , yaani hawa ndio wale wanaojua digitali imekuja sasa hivi baada ya kusikia tv hazitaonyesha , while ilishakuja miaka dahali kwa wengine.Siku zikija flyover huko atasema barabara za vumbi hazifai.

mkuu hujanielewa bado. nimetumia neno dijitali kusisitiza usasa...naona umeninukuu vibaya.
 
SIMU ikiisha charge hasa ukiwa katika safari au kijijini utatumia mwanga wa jua kupima muda?

pia kuna sehemu nyeti ambazo hautapaswa kubonyeza hovyo simu yako utaomba uambiwe muda?
 
Hivi, kwani kutoa mada ni lazima?? Kuna mada zingine bhana hazina kichwa wala miguu, mi nadhani ungeweka mada ya kuuliza umhm wa saa wkt mtu unatumia cm ni upi ungekuwa sahihi zaidi!

yeah! hata mimi nimeuliza hivyo though i did so in a different style. ukisoma vzr huu uzi utagundua kwamba sijacheza mbali sana na wazo lako.
 
Kumbe bado wa kusoma wewe, utakapohitimu utajua kwa nini bado tunavaa saa


Tukichepuka huwa tunazima simu sasa tutajuaje muda?

mkuu, kwani wanafunzi wa masters au phD hawafanyi mitihani? na hawa unawaita 'wa kusoma' au unawapa jina gani?
 
KUVAA SAA kuna faida nyingi, moja ikiwa ni hadhi katika jamii kwa aina ya saa ulio nayo, pia elewa ni rahisi kuangalia muda kwa kugeuza tu mkono wako, kuliko kubonyeza simu itoe mwanga ndio uone muda, ukikutana na mtoto wa kawaida kavaa saa kama yako utafedheheka na hakika utaona hakuna haja ya kuvaa saa, lakini mimi nikisahau kuvaa my seiko 5 siku hiyo naona shida kubwa.
 
Kama ndoivo redio na calculators pia hazfai maana cku hizi almost kila cmu ina redio na calculator.
 
kama huo ndo uwezo wako kufikiri, anza kula vyakula vyenye protein na vitamin C, we unafikiri simu zinabebwa kila wakati, na watu wanavaa saa kwa maana ya muda tu, kama kuvaa kiatu kuusiri unyayo baso ungekuwa uwe unavaa ndala kila mahali.

besides, saa haivaliwi kiganjani bro, nimeshangazwa umeweza kupost khs saa but hujui kiganja ni nini, duh
 
tpaul, kuna watu tuna hobbie ya kuvaa saa, hata iweje siwezi kutoka ndani bila kuvaa saa,nisipovaa saa nahisi kuna kitu kimepungua mwilini mwangu, tena saa zangu ni water proof hata kufua au kuosha vyombo sivui, siku nikifa tpaul usisahau kunivisha saa best niende nayo huko ninakoenda

Well noted my dear sisy... Amenifanya niangalie boyfriend watch yangu... Kitu cha Rolex hiki ila sitaku aulize bei....

#TeamWatchAddicted lolest!!!!

discount-rolex-watches-141360.jpg
 
Last edited by a moderator:
Kwa mazingira yetu ya kiafrika hasa Tanzania waweza sema ni utovu wa nidhamu!nenda Nje hasa Marekani ,Ingia church na hard copy yako ya Bible ndo utajua ni utovu wa nidhamu au ndo digital life.
 
Back
Top Bottom