Kuvaa saa enzi hizi za dijitali ni mbwembwe au usharobaro?

Kuvaa saa enzi hizi za dijitali ni mbwembwe au usharobaro?

Mumsamehe ni mwanafunzi na mawazo yake ni ya shule shule akikua atajifunza
 
Duh haya bhana!
Na hata unapokuwa unafanya "presentation" ofisini kwako au mahali popote ambapo ni "official" mbele za watu, toa simu yako/zako uangalie muda!
hana akili huyu,saa kitu cha msing sanah ndoo maana hatuendelei sisis waafrika
 
Kuvaa saa kwa mwanaume sio usharobaro,mbwembwe au kutaka kujionesha bali ni kujitambua,kudhamini na kujali mda!
Me mwenyewe napenda kuvaa saa!
 
Tangu mobile technology isambae ktk nchi za ulimwengu wa tatu.matumizi ya saa yamebadirika, na kwamba soko lake limepotea kama sio kwisha.kilichobakia ni kununua kwa sababu ya choices na sio basic kama ilivyokuwa hapo mwanzo.
Barua za mkononi kuna watu wanatumia, na huwaambii kitu!ingawa bado njia mbadala ya kufikisha taarifa kwa urahisi zipo.
 
Tangu mobile technology isambae ktk nchi za ulimwengu wa tatu.matumizi ya saa yamebadirika, na kwamba soko lake limepotea kama sio kwisha.kilichobakia ni kununua kwa sababu ya choices na sio basic kama ilivyokuwa hapo mwanzo.
Barua za mkononi kuna watu wanatumia, na huwaambii kitu!ingawa bado njia mbadala ya kufikisha taarifa kwa urahisi zipo.

Ni sawa na wale jamaa ambao bado wanatumiana salam redioni wakati namba za simu za hao wanaowatumia salam wanazo
 
Kuna imani iliyojengeka miongoni mwa jamii kuwa saa inaweka heshima flani hivi, huo ni mtazamo wangu tu.
 
View attachment 189231
Mimi nashindwa kuelewa kabisa watu (hasa wanaume) wanaovaa saa enzi hizi za dijitali kama wanafanya hivyo kwa makusudi au ni mbwembwe tu. Kwanini nasema hivyo? Siku hizi yapata 98% ya watanzania wote wanamiliki simu na kwenye simu kuna saa.

Utamkuta mwanamume sharobaro anamiliki simu 3 kwa mpigo na wakati huo huo katupia bonge ya saa kiganjani mwake. Kuvaa saa kwa wanawake inaleta maana kidogo kwa kuwa inachukua nafsi ya bangili – ni pambo la kike.

Sikumbuki mara ya mwisho kuvaa saa na sitegemei kuivaa tena labda nikiwa kwenye chumba cha mtihani nitaibeba na kwenda nayo na baada ya kumaliza kupiga paper nitampa demu wangu avae kama bangili. Uvaaji wa saa enzi hizi unawafaa zaidi wanafunzi wa shule za msingi kwa kuwa wengi wao hawamiliki simu. Tujifunze kuishi kulingana na wakati.

:israel:
Ni utoto tu. Ukikua utavaa
 
wewe una matatizo ya akili. wengine wakiingia ofsini simu-off, je simu ikiisha chaji, ? kuna sehemu simu binafsi aziruhusiwi. saa nyingine ni compas, ni recorder, etc? alafu tatizo liko wapi mtu kuvaa saa?
 
Kuangalia saa kwenye simu ni kupoteza muda pia. Mimi nina simu na nina saa pia lakini siwezi kupoteza muda kuanza kuchukua simu mfukoni mpaka kubonyeza na kuangalia muda wakati naweza kutumia sekunde tatu tu kwa kutumia saa yangu.
 
Saa ina umuhimu wake jamani tena iwe shaba au zile za rolex penda sana hizo saa, mtoa mada yupo out.
 
Mtoa mada ni kibakuli km atakayemsupport...
Utoto wa mjini umekuharibu...ungekua unafanya kazi zinahohitaji saa ungeelewa umuhimu wa saa sio ututolee kitechno chako wakati kila mtu ana simu yake...!!! Umetokea Bunda nn ww
 
Mtoa mada ni kibakuli km atakayemsupport...
Utoto wa mjini umekuharibu...ungekua unafanya kazi zinahohitaji saa ungeelewa umuhimu wa saa sio ututolee kitechno chako wakati kila mtu ana simu yake...!!! Umetokea Bunda nn ww

Mkuu sisi wa bunda tukoje?
 
Hahahahahaaa.... Rutashobolwa....usiwaze mbaba...Not personal bana....kaniboa tu huyu jamaa...ni km wanavyotania kwamba umetoka Uru Kishumundu...usiwaze ila mtoa mada kweli kibakuli...!!!
 
Last edited by a moderator:
kwangu mimi ni bora ninunue saa ya laki na nusu ,kuiliko sim ya gharama kubwa
 
Back
Top Bottom