chuma cha mjerumani
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 11,541
- 23,999
Simu inaweza kuzima charge.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hapo kwenye red siku hizi tunasema TIME is LIFETIME is MONEY
Tumwelimishe mtoa mada,ametoa mawazo yake yanayofanana na kichwa chake.this is Folish age,akikua atajua umuhimu wa kuvaa saa.
SanaMimi napenda xana kuvaa saa ata ikitokea betri imeisha gafla navaa hivyohvyo ni mazoea tu ya mtu anaejali muda
Hivi ni kwa jinsi uonavyo wewe,kwa mimi saa navaa kwakuwa inanipendeza na ninakuwa huru zaidi,kuangalia saa kwa simu na wakati mwingine kwa saa ya mkononi yote naona poa na inanifanya najiamini zaidi.View attachment 189231
Mimi nashindwa kuelewa kabisa watu (hasa wanaume) wanaovaa saa enzi hizi za dijitali kama wanafanya hivyo kwa makusudi au ni mbwembwe tu. Kwanini nasema hivyo? Siku hizi yapata 98% ya watanzania wote wanamiliki simu na kwenye simu kuna saa.
Utamkuta mwanamume sharobaro anamiliki simu 3 kwa mpigo na wakati huo huo katupia bonge ya saa kiganjani mwake. Kuvaa saa kwa wanawake inaleta maana kidogo kwa kuwa inachukua nafsi ya bangili &[HASHTAG]#8211[/HASHTAG]; ni pambo la kike.
Sikumbuki mara ya mwisho kuvaa saa na sitegemei kuivaa tena labda nikiwa kwenye chumba cha mtihani nitaibeba na kwenda nayo na baada ya kumaliza kupiga paper nitampa demu wangu avae kama bangili. Uvaaji wa saa enzi hizi unawafaa zaidi wanafunzi wa shule za msingi kwa kuwa wengi wao hawamiliki simu. Tujifunze kuishi kulingana na wakati.
:israel:
Jamaa mpuuzi sana huyu....hapa nilipo nimevaa saa ya 1.2 mkaka saa its more of addiction kwa baadhi ya watu. People pay up to millions of $ kwa ajili ya saa tu, afu we unasema bangili.
Tofauti Bangili haionyeshi muda/time na saa inaonyesha muda,usilazimishe kitu usichokipenda wewe basi kisipendwe na watu wote!mkuu tofautisha kati ya UTANASHATI na UREMBO. Kuvaa saa kuna tofauti gani na kuvaa bangili?
Asante. Hata mafundi saa waliokuwa wanakodelea misaa macho siku hizi hawapo. Kama unabisha mpeleke mwanao chuo veta akasomee ufundi saa uone kama hata wakufunzi wapo.Pamoja sana mkuu Ighombe, I appreciate your support and positive thinking towards wrist watches (ornaments). Ngoja wale wanaonipinga waje tusikie wanasemaje kwa wazo lako hili.
Neno "washamba" kwa akili yako unalitafsiri vipi?Washamba sana wanaovaa saa. Wengi wao saa zao hata majira hazina. Ukitaka kuamini msimamishe muulize tu muda. Utasikia anajichekesha halafu anakujibu eti hili ni kopo nimevaa tu. Ulimbukeni.