Nichumu Nibebike
JF-Expert Member
- Aug 28, 2016
- 8,658
- 15,793
Jana nimemuona kijana mmoja ninayemuheshimu akiwa amevaa suruali iliyochanika chanika kwenye magoti nikasikitika sana.
Nikajikuta najisemea kuwa huyu naye kafirisika kimtazamo?
Sasa nimejua ni kwanini ni rahisi ku control minds za Mbongo. Wabongo ni watu wa 'wengi wape'. Yani kile kinachofanywa na wengi ndio kinaonekana kuwa sawa. Sasa jamani, mtu na heshima zako unaanzaje kuvaa suruali zilizotoboka toboka kwenye magoti? Hii ni akili au matope?
Nikajikuta najisemea kuwa huyu naye kafirisika kimtazamo?
Sasa nimejua ni kwanini ni rahisi ku control minds za Mbongo. Wabongo ni watu wa 'wengi wape'. Yani kile kinachofanywa na wengi ndio kinaonekana kuwa sawa. Sasa jamani, mtu na heshima zako unaanzaje kuvaa suruali zilizotoboka toboka kwenye magoti? Hii ni akili au matope?