MANSA MUSSA
JF-Expert Member
- Feb 11, 2017
- 373
- 1,487
Nakubaliana na wewe
Asilimia mia
Asilimia mia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani haya mambo wanafanya wabongo tu?
Nakumbuka miaka ya tisini mwanzoni Komandoo Salmin Amour alipokuwa rais wa Zanzibar alisema sana hili TVZ.
Ujinga ni kum judge mtu kwa mavazi.
Ndipo hapo jambazi atakapokuja na suti ya Savile Row na utamuita "huyu mwanamme kweli" atakusainisha mikataba mibovu na kukuibia mamilioni ya dola.
Wakati wewe unafukuzana na waliovaa Jeans za kuchanika.
Unavyowasakama kwa jambo lisilo la msingi ndivyo unawapa umuhimu.
Kama hutaki mtu mwenye jeans hizi aje kwako kavaa hivyo weka bango.
Lakini kuanza kupangiana nguo za kuvaa ni ujinga.
Na mini naandika hivi si mshabiki wa jeans hizi na sijawahi kuvaa hata siku moja.
Ila natetea haki zao kuvaa wanavyotaka bila kubughudhiwa kama mimi nisivyotaka kubughudhiwa nikipiga golden French cuffs zangu on Brunello Cuccinelli.
Sent from my Kimulimuli
Endelea kuvaa, ukikua utaacha...Mimi navaa na nitaendelea kuvaa atakaenishangaa atajijua mwenyewe....cha muhimu navaa sehemu husika
Sent using Jamii Forums mobile app
Endelea kupangia watu maisha yao ukikua utaachaEndelea kuvaa, ukikua utaacha...
Kajifunze kuandika kwanza kabla hujaivaaSijawahi kujutia kupigilia misumari ya ton jeans![]()
Ukisha vaa hivyo unakuwa na swagar kama hizo...Kajifunze kuandika kwanza kabla hujaivaa
Sent from my iPhone6 using JamiiForums mobile app
Tofautisha mistari au draft na fashion ya kutobokaMbona we unavaa shati lina mistari mistari, ...hizo ni fashion tu ndugu
[emoji57]Watu wenye matumizi hafifu ya akili zao wanahitaji msaada,mtoa mada na wachangiaji wa awali wametoa msaada unaohitajika.Inawezekana wewe pia unavaa nguo zinazoonyesha hadharani unayotakiwa kuoyesha sirini.Unahitaji msaada,mchango unathibitisha hivyo.