Kuvaa suruali zilizochanika chanika (masempele) ni kufilisika kifikra na kimtazamo

Kuvaa suruali zilizochanika chanika (masempele) ni kufilisika kifikra na kimtazamo

Moja ya vitu vinavonishangaza na kunisikitisha kabisa ni kuvaa nguo zilizo chanika. Kwangu mimi hiyo ni ishara ya ukosefu wa nidhamu, na kutokuelimika (sio kusoma) na kwakiwango kikubwa ni aina flani pia ya uhuni.
 
Maisha ni mapito....huyo Mzee Wa leo anayeona kuvaa jeans ya kuchanika ni UHUNI....kasahau yeye mwenyewe wakati wake alivaa nguo aina hizo au zaidi ya hizo....kumbukeni kila jambo na wakati wake....muda wako ukipita usiwalaumu wengine wafanyacho kwa wakati wao...
 
Moja ya vitu vinavonishangaza na kunisikitisha kabisa ni kuvaa nguo zilizo chanika. Kwangu mimi hiyo ni ishara ya ukosefu wa nidhamu, na kutokuelimika (sio kusoma) na kwakiwango kikubwa ni aina flani pia ya uhuni.
Chenge anavaa suti na anapiga mabilioni, je hiyo ni nidhamu?!
 
Maisha ni mapito....huyo Mzee Wa leo anayeona kuvaa jeans ya kuchanika ni UHUNI....kasahau yeye mwenyewe wakati wake alivaa nguo aina hizo au zaidi ya hizo....kumbukeni kila jambo na wakati wake....muda wako ukipita usiwalaumu wengine wafanyacho kwa wakati wao...
walivaa pekos wakuda hao
 
Ivi jamani wapi nitapata duka linalouza zile tshirt zenye mabaka ya kijeshi kwa dar, nazipenda sana
 
Jana nimemuona kijana mmoja ninayemuheshimu akiwa amevaa suruali iliyochanika chanika kwenye magoti nikasikitika sana.

Nikajikuta najisemea kuwa huyu naye kafirisika kimtazamo?

Sasa nimejua ni kwanini ni rahisi ku control minds za Mbongo. Wabongo ni watu wa 'wengi wape'. Yani kile kinachofanywa na wengi ndio kinaonekana kuwa sawa. Sasa jamani, mtu na heshima zako unaanzaje kuvaa suruali zilizotoboka toboka kwenye magoti? Hii ni akili au matope?

05422a4d404715316873acfdfe96d537--ripped-jeans-men-mens-jeans.jpg
Jali ya kwako hii nchi huru
 
Jana nimemuona kijana mmoja ninayemuheshimu akiwa amevaa suruali iliyochanika chanika kwenye magoti nikasikitika sana.

Nikajikuta najisemea kuwa huyu naye kafirisika kimtazamo?

Sasa nimejua ni kwanini ni rahisi ku control minds za Mbongo. Wabongo ni watu wa 'wengi wape'. Yani kile kinachofanywa na wengi ndio kinaonekana kuwa sawa. Sasa jamani, mtu na heshima zako unaanzaje kuvaa suruali zilizotoboka toboka kwenye magoti? Hii ni akili au matope?

05422a4d404715316873acfdfe96d537--ripped-jeans-men-mens-jeans.jpg
Jali yako. Hii nchi huru
 
Jana nimemuona kijana mmoja ninayemuheshimu akiwa amevaa suruali iliyochanika chanika kwenye magoti nikasikitika sana.

Nikajikuta najisemea kuwa huyu naye kafirisika kimtazamo?

Sasa nimejua ni kwanini ni rahisi ku control minds za Mbongo. Wabongo ni watu wa 'wengi wape'. Yani kile kinachofanywa na wengi ndio kinaonekana kuwa sawa. Sasa jamani, mtu na heshima zako unaanzaje kuvaa suruali zilizotoboka toboka kwenye magoti? Hii ni akili au matope?

05422a4d404715316873acfdfe96d537--ripped-jeans-men-mens-jeans.jpg
 
Jana nimemuona kijana mmoja ninayemuheshimu akiwa amevaa suruali iliyochanika chanika kwenye magoti nikasikitika sana.

Nikajikuta najisemea kuwa huyu naye kafirisika kimtazamo?

Sasa nimejua ni kwanini ni rahisi ku control minds za Mbongo. Wabongo ni watu wa 'wengi wape'. Yani kile kinachofanywa na wengi ndio kinaonekana kuwa sawa. Sasa jamani, mtu na heshima zako unaanzaje kuvaa suruali zilizotoboka toboka kwenye magoti? Hii ni akili au matope?

05422a4d404715316873acfdfe96d537--ripped-jeans-men-mens-jeans.jpg
 
Back
Top Bottom