Raphael gadau
JF-Expert Member
- Jan 17, 2017
- 1,006
- 306
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli swagarUkisha vaa hivyo unakuwa na swagar kama hizo...
Pole sana mkuu naona uzee unakunyima mengi...
Chenge anavaa suti na anapiga mabilioni, je hiyo ni nidhamu?!Moja ya vitu vinavonishangaza na kunisikitisha kabisa ni kuvaa nguo zilizo chanika. Kwangu mimi hiyo ni ishara ya ukosefu wa nidhamu, na kutokuelimika (sio kusoma) na kwakiwango kikubwa ni aina flani pia ya uhuni.
walivaa pekos wakuda haoMaisha ni mapito....huyo Mzee Wa leo anayeona kuvaa jeans ya kuchanika ni UHUNI....kasahau yeye mwenyewe wakati wake alivaa nguo aina hizo au zaidi ya hizo....kumbukeni kila jambo na wakati wake....muda wako ukipita usiwalaumu wengine wafanyacho kwa wakati wao...
Bichikoma..kaboka..pekosi..dont touch..buga...zote walivaa cha ajabu tukijilipuwa na VIMODO wanaanza kelelewalivaa pekos wakuda hao
Amini yani wanayumba sana waduanzi hao.Bichikoma..kaboka..pekosi..dont touch..buga...zote walivaa cha ajabu tukijilipuwa na VIMODO wanaanza kelele
Kweli mkuuAmini yani wanayumba sana waduanzi hao.
Jali ya kwako hii nchi huruJana nimemuona kijana mmoja ninayemuheshimu akiwa amevaa suruali iliyochanika chanika kwenye magoti nikasikitika sana.
Nikajikuta najisemea kuwa huyu naye kafirisika kimtazamo?
Sasa nimejua ni kwanini ni rahisi ku control minds za Mbongo. Wabongo ni watu wa 'wengi wape'. Yani kile kinachofanywa na wengi ndio kinaonekana kuwa sawa. Sasa jamani, mtu na heshima zako unaanzaje kuvaa suruali zilizotoboka toboka kwenye magoti? Hii ni akili au matope?
![]()
Jali yako. Hii nchi huruJana nimemuona kijana mmoja ninayemuheshimu akiwa amevaa suruali iliyochanika chanika kwenye magoti nikasikitika sana.
Nikajikuta najisemea kuwa huyu naye kafirisika kimtazamo?
Sasa nimejua ni kwanini ni rahisi ku control minds za Mbongo. Wabongo ni watu wa 'wengi wape'. Yani kile kinachofanywa na wengi ndio kinaonekana kuwa sawa. Sasa jamani, mtu na heshima zako unaanzaje kuvaa suruali zilizotoboka toboka kwenye magoti? Hii ni akili au matope?
![]()
Jana nimemuona kijana mmoja ninayemuheshimu akiwa amevaa suruali iliyochanika chanika kwenye magoti nikasikitika sana.
Nikajikuta najisemea kuwa huyu naye kafirisika kimtazamo?
Sasa nimejua ni kwanini ni rahisi ku control minds za Mbongo. Wabongo ni watu wa 'wengi wape'. Yani kile kinachofanywa na wengi ndio kinaonekana kuwa sawa. Sasa jamani, mtu na heshima zako unaanzaje kuvaa suruali zilizotoboka toboka kwenye magoti? Hii ni akili au matope?
![]()
Jana nimemuona kijana mmoja ninayemuheshimu akiwa amevaa suruali iliyochanika chanika kwenye magoti nikasikitika sana.
Nikajikuta najisemea kuwa huyu naye kafirisika kimtazamo?
Sasa nimejua ni kwanini ni rahisi ku control minds za Mbongo. Wabongo ni watu wa 'wengi wape'. Yani kile kinachofanywa na wengi ndio kinaonekana kuwa sawa. Sasa jamani, mtu na heshima zako unaanzaje kuvaa suruali zilizotoboka toboka kwenye magoti? Hii ni akili au matope?
![]()