Kuvimbisha nyonyo na kuyanyanyua ni urembo au mitego?

Kuvimbisha nyonyo na kuyanyanyua ni urembo au mitego?

Wakina mama na wakina Dada wameanzisha mipango mipya ya kuvimbisha maziwa , wengine wakiyapiga sindano yawe magumu, imefikia hata wenye haki yaani watoto wao unyimwa na kupewa chupa huku wakiwalaghai wame eti maziwa hayatoki.

Tabia hii imeshika kasi mpaka wanawapa tabu mafundi nguo , wakishona bila kuweka mbeleko ya kuyabeba.

Wasichana wamefikia.hatua ya kujikaba kifua huku wakieemea juu juu kisa yatune. wengine masikini yashakuwa sokis lakini ngozi hiyo itakabwa wee mpaka itune.

Je kuyakaba na kuyatunisha ni ulembo au mitego

Nawakilisha

itakuwa urembo tu, Mitego anajua Ney wa manzese!
 
itakuwa urembo tu, Mitego anajua Ney wa manzese!

Jana nilikuwa manzese karibu na password , kuna wadada watatu walikuwa wahudumu Rombo view wamefungua kipub manzese, wamebust nyonyo yaani si dodo tena ni papa I kabisa. Ukiudumiwa ukanunua bia kama utasikikia nikumiminie , ukisema poa atakubana hayo kwa mbwembe na baby za kumwaga
 
Wakina mama na wakina Dada wameanzisha mipango mipya ya kuvimbisha maziwa , wengine wakiyapiga sindano yawe magumu, imefikia hata wenye haki yaani watoto wao unyimwa na kupewa chupa huku wakiwalaghai wame eti maziwa hayatoki.

Tabia hii imeshika kasi mpaka wanawapa tabu mafundi nguo , wakishona bila kuweka mbeleko ya kuyabeba.

Wasichana wamefikia.hatua ya kujikaba kifua huku wakieemea juu juu kisa yatune. wengine masikini yashakuwa sokis lakini ngozi hiyo itakabwa wee mpaka itune.

Je kuyakaba na kuyatunisha ni ulembo au mitego

Nawakilisha

= Urembo
 
Jana nilikuwa manzese karibu na password , kuna wadada watatu walikuwa wahudumu Rombo view wamefungua kipub manzese, wamebust nyonyo yaani si dodo tena ni papa I kabisa. Ukiudumiwa ukanunua bia kama utasikikia nikumiminie , ukisema poa atakubana hayo kwa mbwembe na baby za kumwaga
Hah ha ha
 
Wakina mama na wakina Dada wameanzisha mipango mipya ya kuvimbisha maziwa , wengine wakiyapiga sindano yawe magumu, imefikia hata wenye haki yaani watoto wao unyimwa na kupewa chupa huku wakiwalaghai wame eti maziwa hayatoki.

Tabia hii imeshika kasi mpaka wanawapa tabu mafundi nguo , wakishona bila kuweka mbeleko ya kuyabeba.

Wasichana wamefikia.hatua ya kujikaba kifua huku wakieemea juu juu kisa yatune. wengine masikini yashakuwa sokis lakini ngozi hiyo itakabwa wee mpaka itune.

Je kuyakaba na kuyatunisha ni ulembo au mitego

Nawakilisha

weka picha mkuu ili nikupate vyema na niweze kuchangia kwa uhakika.
 
ushaur wa bure kwa wanaogopa kunyonyesha kwa madai ya kuogopa kuharibu maziwa kuna kansa jaman!for all women! Unavyonyonyesha mara kwa mara unapunguza uwezekano wa kupata kanza ya mazima! Take in considaration for your benefit.
 
Last edited by a moderator:
lafiki yangu huo ni ulembo tu unafikili wanaume tunapenda kilahisi lahisi thubutuuu
 
Unamfanya BiG G unamtafuna utamu ukiisha unaitema
 
Wengine hayo ma nyonyo hawana lakini wanalazimisha mpaka inachefua roho..........
 
Wakina mama na wakina Dada wameanzisha mipango mipya ya kuvimbisha maziwa , wengine wakiyapiga sindano yawe magumu, imefikia hata wenye haki yaani watoto wao unyimwa na kupewa chupa huku wakiwalaghai wame eti maziwa hayatoki.

Tabia hii imeshika kasi mpaka wanawapa tabu mafundi nguo , wakishona bila kuweka mbeleko ya kuyabeba.

Wasichana wamefikia.hatua ya kujikaba kifua huku wakieemea juu juu kisa yatune. wengine masikini yashakuwa sokis lakini ngozi hiyo itakabwa wee mpaka itune.

Je kuyakaba na kuyatunisha ni ulembo au mitego

Nawakilisha

wenyewe wanaita eti KUPIGA JEKI! hii ni mitego ya waziwazi!!!
 
Back
Top Bottom