Kuvimbisha nyonyo na kuyanyanyua ni urembo au mitego?

Kuvimbisha nyonyo na kuyanyanyua ni urembo au mitego?

ushaur wa bure kwa wanaogopa kunyonyesha kwa madai ya kuogopa kuharibu maziwa kuna kansa jaman!for all women! Unavyonyonyesha mara kwa mara unapunguza uwezekano wa kupata kanza ya mazima! Take in considaration for your benefit.

Etieh! Uko vizuri, nakukubali!
 
Last edited by a moderator:
Walimu mtakoma

Hapa mwalimu atafundisha kweli, si ndio mitego hiyo. Kanisani kwetu Bunju tumenunua dela kumi kukabiliana na ili. Padre aliwahi kuuliza kuwa wakati wa kukomunika bahati mbaya hostia ikadondokea nyonyo utaitoaje umrishe tena? Tukaona ni kweli.
 
View attachment 166887


Sent from my iPhone using JamiiForums mobile app


Huyu hajabust....anamaziwa tuu makubwa lazima ukivaa braa yagusane...Sema tuu kosa ni kuacha vifungo bila kufunga...Ila akifunga hapo lipo la kawaida.....Wenyekubust ni wale wenyekuvaa bra ndogo inayobanaaa maziwa wakati hawana maziwa makubwa...Au ziwa limekuwa soksi then analibana lijae jae..

Tatizo wanaume wengi hawajui kutofautisha aliyebust na ambaye hajabust...
 
Huyu hajabust....anamaziwa tuu makubwa lazima ukivaa braa yagusane...Sema tuu kosa ni kuacha vifungo bila kufunga...Ila akifunga hapo lipo la kawaida.....Wenyekubust ni wale wenyekuvaa bra ndogo inayobanaaa maziwa wakati hawana maziwa makubwa...Au ziwa limekuwa soksi then analibana lijae jae..

Tatizo wanaume wengi hawajui kutofautisha aliyebust na ambaye hajabust...

Bra ndio imeyabust yakakaa hivyo bila hiyo bra yangekuwa yamelala, ila kinachoongelewa kwenye hii thread ni kwanini wadada wanapenda kuyaacha maziwa yao wazi?


Sent from my iPhone using JamiiForums mobile app
 
hahahaha hizi staili siku hizi jamani ni shiiiidaaaaaaa...........na wanavaa hivyo kwa ajilii yenu WANAUME kuwatega......hahahahaaa si ndio MNAVYOPENDA? au?
 
Stail ibibadilika itabidi wayakamue hadi yawe bapa..
 
Bra ndio imeyabust yakakaa hivyo bila hiyo bra yangekuwa yamelala, ila kinachoongelewa kwenye hii thread ni kwanini wadada wanapenda kuyaacha maziwa yao wazi?


Sent from my iPhone using JamiiForums mobile app


Wanaacha wazi ili kuwarahisishia kujua kwa wepesi lipo limeshawiva kunyonywa na lipi bado.
 
hahahaha hizi staili siku hizi jamani ni shiiiidaaaaaaa...........na wanavaa hivyo kwa ajilii yenu WANAUME kuwatega......hahahahaaa si ndio MNAVYOPENDA? au?



Wanapenda hao wanaume wanaongea tuu hapa usoni kufurahisha jukwaa...Laiti km wangelikuwa hawapendi kila mmoja angemwambia GF wake jinsi ya kuvaa vizuri na kusitiri maziwa yake asiyaone mwingine..Na wangeanza kuacha mmoja hadi mwingine...
 
Wanaacha wazi ili kuwarahisishia kujua kwa wepesi lipo limeshawiva kunyonywa na lipi bado.

Hahahahahaha now ur talking


Sent from my iPhone using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom