Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nauza samaki wa mapambo
aina tofauti kama zifuatavyo
black more
shiling 10000 kwa pea serfin
more
shiling 10000 kwa pea orange more shiling 10000
kwa pea gapi wekundu
shiling 10000 kwa pea gold fish
shilingi10000 kwa pea na aina
nyingine nyingi kwa
picha zaidi tembelea facebook page
appolinary william utaona picha
ya samaki
kwa picha na mawasiliano
whats app number 0712505049
huduma hadi nyumbani kwako
Ona huyu na zee
Wanaacha wazi ili kuwarahisishia kujua kwa wepesi lipo limeshawiva kunyonywa na lipi bado.
Nyonyo zina soketi break sindilia inayoyabana ikikatika tu unaona wanavyoangaika kupandisha huku wakiwa na wasiwasi sana.Mi kwangu hiyo si sawa. Yale ambayo hayajavaa sidiria na akavaa blauzi nyepesi yanaleta passion zaidi hata kama hayaonekani. Na akivaa hivo na ikiwa ni saa sita hiyo ni funga kazi.
ni ujinga tu na kutojielewa
nimekumbuka story ya mai frend with benefit , mpenda michepuko huyooo , alinipaga story aliwahi tokea bint kwa kupenda hizo nyonyo za hiyo style, kufika mda wa kula , si akaona kitu kimelalaaaaa hamu yote ikaisha akajitia yupo kwenye dozi akatoa hela tu na mawasiliano , anadai hakumtafuta tena
Kitetei we balaaa; si ungemdakia hata moja ona sasa hadi kachafua salawili yaani nimecheka mpaka basi.Hii nimekutana nayo dakika chache...napita mikumi nikaona nipate supu white house, bi dada aliyeniletea maji ya kunawa naye kayapiga jeki manyonyo karibia yanagusa kidevu!! Wakati wa kunawa bahati mbaya yameporomoka karibia yaingie kwenye beseni la kunawia!! Yaani hapa nilipo suruali haijakauka kwani aliachilia maji yakanimwagikia akiwa anawahi kuyadaka ili kuyarudisha kwenye hifadhi yake!!
itakua ni ULEMBO huo, mambo ya MITEGO ni porini huko kwenye tembo na swala.
Mtindi