Kuvimbisha nyonyo na kuyanyanyua ni urembo au mitego?

Kuvimbisha nyonyo na kuyanyanyua ni urembo au mitego?

Wanarudisha nyuma muda wa manyonyo yao kutoka saa kumi hadi saa sita....
 
nauza samaki wa mapambo
aina tofauti kama zifuatavyo
black more
shiling 10000 kwa pea serfin
more
shiling 10000 kwa pea orange more shiling 10000
kwa pea gapi wekundu
shiling 10000 kwa pea gold fish
shilingi10000 kwa pea na aina
nyingine nyingi kwa
picha zaidi tembelea facebook page
appolinary william utaona picha
ya samaki
kwa picha na mawasiliano
whats app number 0712505049
huduma hadi nyumbani kwako

Peleka forum ya matangazo ebooo!???
 

Attachments

  • IMG_20140627_000720.jpg
    IMG_20140627_000720.jpg
    17.3 KB · Views: 317
  • IMG-20140619-WA0001.jpg
    IMG-20140619-WA0001.jpg
    26.8 KB · Views: 302
Wanaacha wazi ili kuwarahisishia kujua kwa wepesi lipo limeshawiva kunyonywa na lipi bado.

Mi kwangu hiyo si sawa. Yale ambayo hayajavaa sidiria na akavaa blauzi nyepesi yanaleta passion zaidi hata kama hayaonekani. Na akivaa hivo na ikiwa ni saa sita hiyo ni funga kazi.
 
Mi kwangu hiyo si sawa. Yale ambayo hayajavaa sidiria na akavaa blauzi nyepesi yanaleta passion zaidi hata kama hayaonekani. Na akivaa hivo na ikiwa ni saa sita hiyo ni funga kazi.
Nyonyo zina soketi break sindilia inayoyabana ikikatika tu unaona wanavyoangaika kupandisha huku wakiwa na wasiwasi sana.
 
mweeh!ukimkuta mtoto mweupeee au yule mweusi naturally beaut afu kayaBust(kama wenyewe wanavyoita) ni shidaaaa!!!si wengine huwa tunasogeza vituo kwenye daladala,inabid ukashuke mwisho wa gari kuepuka macho ya watu na uwe wa mwisho!!
 
nimekumbuka story ya mai frend with benefit , mpenda michepuko huyooo , alinipaga story aliwahi tokea bint kwa kupenda hizo nyonyo za hiyo style, kufika mda wa kula , si akaona kitu kimelalaaaaa hamu yote ikaisha akajitia yupo kwenye dozi akatoa hela tu na mawasiliano , anadai hakumtafuta tena
 
Uzuri wa mwanamke upo kifuani jamani.
 
nimekumbuka story ya mai frend with benefit , mpenda michepuko huyooo , alinipaga story aliwahi tokea bint kwa kupenda hizo nyonyo za hiyo style, kufika mda wa kula , si akaona kitu kimelalaaaaa hamu yote ikaisha akajitia yupo kwenye dozi akatoa hela tu na mawasiliano , anadai hakumtafuta tena

Hii imewakuta wengi kwa kweli MTU akibust yanampandisha mhitaji kuangaika sana , unaweza ukapitiliza kituo ukimfatilia njoo hapo sasa akikubali kuliwa alafu anatoa tu ngoma saa kumi na mbili ukikumbuka kuku mzima alokula na alivyojishaua kunywa Savannah za 15 na ushapigwa mzinga wa 20 ukatoa Nyumba za wenyeji wa dar 25 jumla kama 70 hivi ngoma inakuwa dolo.
 
Hii nimekutana nayo dakika chache...napita mikumi nikaona nipate supu white house, bi dada aliyeniletea maji ya kunawa naye kayapiga jeki manyonyo karibia yanagusa kidevu!! Wakati wa kunawa bahati mbaya yameporomoka karibia yaingie kwenye beseni la kunawia!! Yaani hapa nilipo suruali haijakauka kwani aliachilia maji yakanimwagikia akiwa anawahi kuyadaka ili kuyarudisha kwenye hifadhi yake!!
 
Hii nimekutana nayo dakika chache...napita mikumi nikaona nipate supu white house, bi dada aliyeniletea maji ya kunawa naye kayapiga jeki manyonyo karibia yanagusa kidevu!! Wakati wa kunawa bahati mbaya yameporomoka karibia yaingie kwenye beseni la kunawia!! Yaani hapa nilipo suruali haijakauka kwani aliachilia maji yakanimwagikia akiwa anawahi kuyadaka ili kuyarudisha kwenye hifadhi yake!!
Kitetei we balaaa; si ungemdakia hata moja ona sasa hadi kachafua salawili yaani nimecheka mpaka basi.
 
Umalaya tu huyooo (mwanamke kujistiriiii
 
Back
Top Bottom