Kuvuja Kwa Siri za Israel Kwa Iran; aje Aroane Tabatabai anahusika?


Career ndio imeishia hivyo. Myahudi ana mambo mengi sana
 
 

Attachments

  • Screenshot_2024-10-23-12-29-39-901.jpg
    394.9 KB · Views: 2
Paid actor , eti wengine wanalazimisha kusema israel wanawapenda wakiwa uchi kabisa , huku wameua watoto 20k
 
Kwanza nenda MEMKWA kajifunze kuandika kwa mkato na nukta. Wakufundishe na tofauti ya "l" na "r"
 
Waisrael wanapenda sifa wangeshaokoa chap na apo sasa ndio wangesawazisha iyo gaza kubaki mateka gaza kunalisumbua sana jesh la Israel ayo mengine polojo zenu zakujifichia.
Hakuna neno "polojo" kwenye Kiswahili bali kuna "porojo". Huna uwezo wa kiandika, je unaweza ukawa na uwezo wa kutoa point?
 
Wao sio mimi na wala mimi sio wao kwanini tuwe namaoni sawa
Kwa vile upo kivule huwez kua na maoni sawa walio mstari wa mbele by the way vita sio kitu ya kuletea ushabiki ni watu wasio na hatia ndio wanaoumia
 
Kwa vile upo kivule huwez kua na maoni sawa walio mstari wa mbele by the way vita sio kitu ya kuletea ushabiki ni watu wasio na hatia ndio wanaoumia
Wewe jamaa unakurupuka sana naungana na wewe wasio na hatia wanaumia vitani ila mimi sio nilioanzisha vita pia waloanzisha vita bado wanaendeleza kupigania haki zao na lazima tuwasapoti kwakupambania haqqi zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…