Dr Restart
JF-Expert Member
- Jul 15, 2021
- 4,949
- 24,046
kura zilienda vizuri hii ni ushaidi mzuri kua watu hawakupendezwa na tabia yake chafuHata mimi nimefurahi sana ole wake mods yoyote yule amwachie huru hawatopenda kabisa umesikia ww Moderator msikae mumuachie huyo choko yangu ni hayo
💯✊🤜kura zilienda vizuri hii ni ushaidi mzuri kua watu hawakupendezwa na tabia yake chafu
Check na Rebeca 83 kitambo sijui miezi mingapi huyu.Hamnaga ban ya miezi 7 wazee ikizidi ni two weeks. Im experienced ban addict
JF inaweza kufa kifo cha mende kama hatua za dhararu kama hizi za ban na nyinginezo hazitachukuliwa. Hawa wote uliowaorodhesha ni members wanaaongoza kwa kupost vitu vya hovyo. Mimi ningependa sana moderators kama wangekuwa wakali na waondoe kabaisa members wa aina hiyo na pia zile threads zinazozungumzia mambo ya kijinga. Nyie mliojiunga JF miaka ya sasa hamuwezi kujua jinsi miaka ya nyuma tulivyokuwa na members wa maana hapa na wengi wamekimbia baada ya ''watoto'' wengi kulivamia jukwaa na threads zao za kijinga.Watu wamekosa uvumilivu kabisa
......kuna wengine wanapenda kujulikana kwa ID moja, na multiple IDs ni dalili za addiction na mitandao, mi nadhani kwamba cha kufanya ni 1.watu kuwa na staha na uvulivu 2. kuwa tayari kupokea maoni tofauti ikiwemo matusi hata kama kitu ulichozungumza unadhani ni positive 3.ukishapigwa ban kuwa mvumilivu, ingia kama guest, ID mpya anzisha kama umepigwa life ban or at least miezi mitatu........Suluhisho ni kuwa na altenative ID
Nakazia...JF inaweza kufa kifo cha mende kama hatua za dhararu kama hizi za ban na nyinginezo hazitachukuliwa. Hawa wote uliowaorodhesha ni members wanaaongoza kwa kupost vitu vya hovyo. Mimi ningependa sana moderators kama wangekuwa wakali na waondoe kabaisa members wa aina hiyo na pia zile threads zinazozungumzia mambo ya kijinga. Nyie mliojiunga JF miaka ya sasa hamuwezi kujua jinsi miaka ya nyuma tulivyokuwa na members wa maana hapa na wengi wamekimbia baada ya ''watoto'' wengi kulivamia jukwaa na threads zao za kijinga.
Umesema vyema sana mkuu, upo sahihi sikupingi......kuna wengine wanapenda kujulikana kwa ID moja, na multiple IDs ni dalili za addiction na mitandao, mi nadhani kwamba cha kufanya ni 1.watu kuwa na staha na uvulivu 2. kuwa tayari kupokea maoni tofauti ikiwemo matusi hata kama kitu ulichozungumza unadhani ni positive 3.ukishapigwa ban kuwa mvumilivu, ingia kama guest, ID mpya anzisha kama umepigwa life ban or at least miezi mitatu........
nb:watu waliomo humu ni watu tulionao mtaani, unaweza katiza mtaani mtu akakutukana, akakutupia mawe, kumbe ni kichaa, so usishangae humu mtu kaamka na kuanza kukushambulia ndo hao machizi, wengine wamevurugwa majumbani, stress wanazipunguzia humu, tena kwa memba yeyote yule.......ni kuwa makini tu......
Mapapai ndio nini tena😂Hahahahah sahizi inaonekana Modereta wanaenda na Sera za Mseveni. Nikiangalia naona mafeministi na mapapai yote yametiwa selo 😀😀😀
......hongera Sana kama unaweza kujicontrol, kwenye ugomvi silaha namba moja ya mwanamke ni matusi na maneno makali, akishindwa ndo anang'ata na badae kabisa mawe......Yule mod kweli akija umchinjie jogoo aliyenona,ni mstaarabu sana🥰
😂😂😂 af wale watu muda wote wamekaa kishari as if hawana maisha nje ya JF.
Ni uswahili tu umewajaa + kutokujiamini.
Mimi kwenye matusi hapo hawatanikamata kamwe, labda tuukorofi twa hapa na pale🤣 ila ban ya kuhusu matusi hiyo hapana.
Matusi ndio kitu siwezi sio tu kuandika, hata kutamka kwa bahati mbaya siwezi.
Mapapai si matunda laini 🤣 hayavumiliagi kidole yakiiva lazma kizame na kutoka na unjano unjanoMapapai ndio nini tena😂
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hamna mkuuu mods ni wanangu sana hawa au sio
Maxence Melo tena ww unipe verification badge yangu kila siku nawaambia mnanigomea ntawafuata hapo mikocheni mi nipo kwa Warioba hapa we haya pasaka ikiisha we dogo Maxence Melo unipe badge yangu la sivyo utanitambua mi ni nani
I'm kidding but I'm serious [emoji12][emoji12][emoji12]
😂😂😂😂😂 Daaah nimecheka kama fala aseee utoto raha sana mkuuuJF inaweza kufa kifo cha mende kama hatua za dhararu kama hizi za ban na nyinginezo hazitachukuliwa. Hawa wote uliowaorodhesha ni members wanaaongoza kwa kupost vitu vya hovyo. Mimi ningependa sana moderators kama wangekuwa wakali na waondoe kabaisa members wa aina hiyo na pia zile threads zinazozungumzia mambo ya kijinga. Nyie mliojiunga JF miaka ya sasa hamuwezi kujua jinsi miaka ya nyuma tulivyokuwa na members wa maana hapa na wengi wamekimbia baada ya ''watoto'' wengi kulivamia jukwaa na threads zao za kijinga.
Ila nimecheka🤣una utamu wa moyo we dada 🥰😍
Ngoja nami nifanye the same cause I'm the bestMtu Kama dume kipara mie nilishamuignore,sioni content zake,nashangaa yeye ananiona Hadi kulike comment yangu,🤔hii imekaaje wadau?
🤣🤣🤣🤣 AiseeMapapai si matunda laini 🤣 hayavumiliagi kidole yakiiva lazma kizame na kutoka na unjano unjano