Mohammed wa 5
JF-Expert Member
- Jun 20, 2022
- 1,215
- 3,035
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila wewe una vurugu Sana😆😁Eeh wanaume wa humu wanaonea wivu hadi makalio ya wanawake nilishangaa sana mim😔
Atajisajili kwa id nyingineNasikia mpwayungu bye bye hawez rudishw tena Kala life ban
Mpwayungu village yupo na id nyingine Riyan sema Haina mzuka sanaAtajisajili kwa id nyingine
😁😁😁 Bado sijakabidhi simu mkuu jf for life,Kama niliona unaaga JF. Kuna uzi unatuaga wana JF. Ila naona umeshindw ouondoka au unasubiri ban🤣
Hutanii kuhusu Nini??, Yaani mwanaume amuonee wivu mwanamke 😂🤣Kweli tena sitanii
Watu wa Jf ata kunibembeleza hakuna😁 kila reply nenda salama daah familia mmeniangushaSass ulivyoandika uzi ulitegemea tukuombe ubaki🤣 kwa sababu tunapenda story zako kule entertainment?
Jf ni arosto kuiacha mazima ni ujasiri,😁😁Nilisikitika sana familia bado inakukubal
Mwaka juzi niliaga uvumiliv ukanishinda nikarudi😃
😆😆😆😆😆 Wahuni si watu we haya usije ukalogwa huko au ukapakwa oil 🛢️ lotion 🛢️🛢️Dah kweli nimepitwa ngoja nifungue account mpya kesho. Naweka picha ID ya dada mzuri san nasajili na line kabisa mwaka huu lazima nijenge😃