Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oh okSmart
Na account moja na sijawahi kula ban toka nimejiunga .Kwann uwe na account moja jf huo ni ushamba 😁😁😁😁😁
Ww ni mstaarabu sana mkuuuNa account moja na sijawahi kula ban toka nimejiunga .
😂😂😂😂Mademu wote hawa wazuri kama Amehlo nikahangaike na shangazi yule kashajizeekea hapana. Kwanza ana watoto wanne😃
Gily ngoja nilale shemeji yako hapo kashituka kanikuta sijalala Niko nachart kanikata jicho matata,ngoja nilinde ndoa yangu Aina ata pasaka nyingi hapa mjini😂😂😂😂😂😂
Cocastic anaweza akawa ke kweri Ila swaga zake ananikubari kinoma 😂Mbn huo uzi ulinipita maana mimi napenda ugomvi mbaya halafu simkubaligi kabisa huyo sjui coca......, baada ya kumfatilia sana anaonyesha ni mwanaume ila ambaye sji kazidiwa na ukike yaani sielewi........,
Antonia japo hatuna mazoea ila majukwaa mengi ambayo nipo na yeye huwa namuona...., ni c* flan hivi yuko simple (japo hajawahi kucomment chochote ambacho kilinivuta hisia ya kumfatilia sana) sema tuu kampani yake hiyo na coca huwa siimaindishi wala....,
Mimi Namshukuru Mungu hata kama simkubali mtu vip huwezi ona nimemquote mahali kuanza kuchafua na wala sjui kuzama kwenye post zake kuleta vurugu huwezi niona na hizo mambo ...... Kusema ukweli hapa Jf kuna watu wawili tuuu ambao siwakubali kutoka rohoni mmoja anajifanya anapenda chini sana ila ukimfatila kwa karibu anasupport mambo flan hivi ya kipuuzi sana ( Comment zipo kwenye uzi wa Rik Boy).... wa pili ndo huyo dume jike ambapo kila jukwaa yupo na anacomment emoji mda wote sjui ndo kuvuta attention au vip
Mkuu Coca wakati anaingia jf 2019 kama sikosei alipost kuomba ushauri na akajitambulisha kama mwanaume[emoji848] kama kichwa hakijapoteza mafile nadhani alikuwa hatumii hata jina la Coca......, Wakati naanza kuona anatuhumiwa na hayo mambo niliporudi kwenye dp yake kumuangalia nikaikuta ile post ya 2019 hapo nahisi gari lilikuwa halijawaka au alikuwa hata huo upuuzi hajaanza kuufanya........., Mkuu sijawaji muhukumu mtu kwa kubahatisha sababu mwenyewe naogopa kumsingizia mtu kitu......Cocastic anaweza akawa ke kweri Ila swaga zake ananikubari kinoma [emoji23]
Uyo mwamba usiyemkubali wa Uzi Rik boy namjua kweri ana sifa za kijinga
Umeongea ukweri mkuu
Watu wa Jf ata kunibembeleza hakuna[emoji16] kila reply nenda salama daah familia mmeniangusha
😁😁😁😁😁😆Mnafanya nini mpk mnafungiwa miye 2012 mpk leo sijawahi kula bani aisee.
Hahahah kuimba kupokezana 😀1. mpwayungu village yuko banned
2. Ummughaka na story yake akinyi must die yuko banned
3. Cocastic yuko banned
Nimeona wengi kweli 🤣 Tujifunze kuwa na uvumilivu humu ndani Pamoja na kuwa hatufahamiani ila bado sisi ni wamoja JF ni yetu sote. .
Duuuh aseeeView attachment 2579010