Kuvunjika kwa ndoa siyo sawa, Jamii inapaswa kubadilika

Me naona point inayotaka kusemwa ni kuwa kama shida zipo kokote kwanini usiwe mtu wa kutafuta suluhu ya mambo badala ya kukimbia kila unapokuta shida. Utakimbia mangap na yote yanashida zake
Kwa nini nioe ? Faida ya mimi kuoa ni ipi ? Je kama nilishajaribu kuoa nikaachana na nikapima kukaa mwenyewe ni bora kuliko kuishi na mtu , mimi naona kuoa ni uamuzi tu unaweza kuacha tu wala hakuna tatizo.
 
Just a season.itapita. kama ni mtu wa imani, jitahid kujiweka karibu na mwenyezi Mungu seasons kama hizi for guidance. It wont last
 
Sijakasirika unataka kuntuhumu na kunlisha maneno
Sipo hivyo mkuu, ila kwa nini huwa mnawachukia sana kataa ndoa??[emoji16][emoji16]

Mbona kuoa nakuto kuoa ni maamuzi tu mkuu? Kwan kama wewe umeoa au utakuja kuoa kataa ndoa wanakuathiri vip mkuu?
 
Kwa nini nioe ? Faida ya mimi kuoa ni ipi ? Je kama nilishajaribu kuoa nikaachana na nikapima kukaa mwenyewe ni bora kuliko kuishi na mtu , mimi naona kuoa ni uamuzi tu unaweza kuacha tu wala hakuna tatizo.
Sema mambo kwa sasa yamekua complicated sana aisee. Rengo la ndoa haswa linapotea kabisa.
 
Sema mambo kwa sasa yamekua complicated sana aisee. Rengo la ndoa haswa linapotea kabisa.
Mimi ndio maana huwa nashauri kama nikuoa oa ukiwa huna chochote ,ukisema ujipate ndio uoe lazima uangukie pua , ukiwa na uchumi mzuri macho hayawezi kuona mke ila ukiwa hauna kitu macho yanaona wife material wakutosha.
 
Mkuu umemaliza kila kitu
 
Ulishawahi sikia malalamiko ya waliopo single kuhusu ndoa humu jukwaani?
Ndugu nimesikia unasema "kwanini utafute shida kwenye ndoa"


Lakini sisi tunaongelea uhalisia wa maisha ya binadamu kwamba kuna raha alafu kuna shida na hakuna anaye penda majanga au kama unavyosema kwamba huwenda "ametafuta huyu shida" hapana ila ni sehemu tu ya mzunguko wa maisha



Siamini kama kuna mtu mwenye IQ kubwa anaweza kupoteza mda wake kujitengenezea shida kwa makusudi ila wale wenye uelewa mdogo na IQ hufanya hivyo


Lakini mtu anayejitambua anajua kwambaanahitaji ndoa anaitaji mke anaitaji mtoto na anaitaji pesa wala hatazamii kutafuta shida kwenye ndoa ila kama ilivyo kawaida mtu hawezi kukosa upele au hata kidonda cha bahati mbaya basi ndivyo maisha yalivyo
 
Hatna ndoa lakni tmezaa watoto wawili
My big brother,

Kumbe bado ujaowa basi hakuna sehemu nyeti unayotakiwa kuiangalia kwa kina kama kumjua yule unayemuowa je, anaendana na wewe aijalishi labda umezaa naye lakini nakushauri hakikisha unaye oana naye mnaendana vizuri

Usipo zingatia kigezo hiki basi utapitia shida za juu sana na mateso kwa mda mrefu kwahiyo nakushauri mchunguze huyo mwanamke kama unaendana naye siumesema sijui hamuelewani basi jaribu kutafuta solution ukiona aeleweki wala habadiriki sijui hakueshimu huyo kwa hakika aendani na wewe siyo nyota yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…