min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Tuna toa maoni tu mkuu , mbona umekasirika?Ishi unavyojua hakuna sehemu nimekulazimisha kuoa mimi nimetoa maoni yangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuna toa maoni tu mkuu , mbona umekasirika?Ishi unavyojua hakuna sehemu nimekulazimisha kuoa mimi nimetoa maoni yangu
Sijakasirika unataka kuntuhumu na kunlisha manenoTuna toa maoni tu mkuu , mbona umekasirika?
Kwa nini nioe ? Faida ya mimi kuoa ni ipi ? Je kama nilishajaribu kuoa nikaachana na nikapima kukaa mwenyewe ni bora kuliko kuishi na mtu , mimi naona kuoa ni uamuzi tu unaweza kuacha tu wala hakuna tatizo.Me naona point inayotaka kusemwa ni kuwa kama shida zipo kokote kwanini usiwe mtu wa kutafuta suluhu ya mambo badala ya kukimbia kila unapokuta shida. Utakimbia mangap na yote yanashida zake
Just a season.itapita. kama ni mtu wa imani, jitahid kujiweka karibu na mwenyezi Mungu seasons kama hizi for guidance. It wont lastMkuuu sjui umejuaje me nipo kwenye wakati mgumu muda wote nawaza hata nipate kibarua .hata nje ya mkoa nikae hata mwaka mzima nimechoka .mwanamke hapendi kabisaa tuwe na amani .Kwa mwezi mzima tnaweza ongea labda siku2 .tunawasikiana Kwa sms tu .hapo natakiwa nifanyeje ?
Sipo hivyo mkuu, ila kwa nini huwa mnawachukia sana kataa ndoa??[emoji16][emoji16]Sijakasirika unataka kuntuhumu na kunlisha maneno
Usishuke mzima mzima man, shuka kwa akil na machale kidogoAsante mkuu nitajitahidi maana Kila mtu ananambia nijishushe kwake
Sema mambo kwa sasa yamekua complicated sana aisee. Rengo la ndoa haswa linapotea kabisa.Kwa nini nioe ? Faida ya mimi kuoa ni ipi ? Je kama nilishajaribu kuoa nikaachana na nikapima kukaa mwenyewe ni bora kuliko kuishi na mtu , mimi naona kuoa ni uamuzi tu unaweza kuacha tu wala hakuna tatizo.
Mimi ndio maana huwa nashauri kama nikuoa oa ukiwa huna chochote ,ukisema ujipate ndio uoe lazima uangukie pua , ukiwa na uchumi mzuri macho hayawezi kuona mke ila ukiwa hauna kitu macho yanaona wife material wakutosha.Sema mambo kwa sasa yamekua complicated sana aisee. Rengo la ndoa haswa linapotea kabisa.
Naunga mkono hoja dah hata mimi nimeachana na mke wangu ila sasa hv wote tumepoteza
Mkuu umemaliza kila kituKukimbia tatizo sio njia ya kupata suluhu.
Muhimu ni kuangalia namna gani unasolve tatizo.
USHAURI
Kumbuka mwanaume akiudhiwa hutafuta mahali atulie atafakari tatizo ni nini ndio arudi kulitatua. Ila kwa mwanamke sio hivyo, mwanamke akiudhiwa hutaka lawama zake zote zisikiwe na mtu mwingine awe ni rafiki yake, mume wake, mzazi wake ndugu yake yoyote yule, akishazisema tuu ndio hasira hupungua.
1. Mchunguze mke/mchumba wako anataka nini hasa, kisha jaribu kumtimizia kadili ya uwezo wako, najua katika hayo malalamiko kuna vitu anasema vitimizwe na wew hautimizi ndio mana anaishia kununa kwa sababu hajatimiziwa, kama wewe unapokua na mahitaji labda anakutimizia jaribu na wew kumtimizia kadili ya uwezo wako.
2. Kutokana na utalam ulioandikwa kwenye vitabu vya watalam ni kwamba mwanamke ni mtu ambae ana tabia ya kupenda kusikilizwa anapokua anatoa tatizo, pale unapoacha kumsikiliza yeye anatafsiri kuwa humpendi. Hivyo jitahidi anapokuwa anatoa malalamiko kaa tulia msikilize na msapoti kabisa katika point anazosema
ANGALIZO
Anapokua anatoa malalamiko usianze kujitetea kwa kuonyesha anachosema sio kweli, mfano analaumu kwamba kwanini haumsikilizi wewe unamkatisha unasema "hunioni nimekaa apa nakusikiliza".
Wew tulia msikilize akimaliza jaribu kutatua shida zote alizokwambia kadili ya uwezo wako, kama ni shida kubwa kukuzidi mwambie kwa hilo hutaweza kwa muda huo labda mpaka siku nyingine.
3. Kuna mahala pengine mwanamke anaweza akawa amekerekwa na mtu mwingine kabisa tofauti na wew kabisa, ila akiwa mbele yako anataka kukutolea hasira wewe, na hapo sio kwamba atasema alivoudhiwa huko alikotoka ila atasema ambayo yanakuhusu wewe. Ikifikia hapa kazi yako mwanume inakuwa moja tuu. KUSIKILIZA. Mpe nafasi ya kutoa hasira zake akimaliza utaona anatulia, akirudi katika hali yake ya kawaida hata sho unapata fresh tuu.
Ndugu nimesikia unasema "kwanini utafute shida kwenye ndoa"Ulishawahi sikia malalamiko ya waliopo single kuhusu ndoa humu jukwaani?
Big IQMe naona point inayotaka kusemwa ni kuwa kama shida zipo kokote kwanini usiwe mtu wa kutafuta suluhu ya mambo badala ya kukimbia kila unapokuta shida. Utakimbia mangap na yote yanashida zake
My big brother,Hatna ndoa lakni tmezaa watoto wawili