Kuvunjika kwa uchumba

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Jamaa hana huruma kabisa.

Darmian ni kweli kuwa wachaga hamna huruma?
 
Hahahahahaha lakini nilipo jaribu zaidi kufwatilia hili swala pia nikagundua dada zake wote walisha achika na waume zao na wapo wapo tu .
Ndo Mana wazee was wazamani walikua wanachunguza familia au ukoo kabla ya kuoa kwa Sababu kama hizi.

Hata Mimi nime experience hip kitu kwa mke wangu
 
Haa ha ha eti loser [emoji16][emoji16]
 
Ahaa haaa haaaaha....Wyatt[emoji101][emoji101][emoji101]

Eti piga chini hiyo maiti[emoji16][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
This is deep asee[emoji101][emoji101][emoji101][emoji122][emoji122]
 
[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16]

Ha ha ha ha


Aseee leo Wyatt umepuliza cha wapi... Oklahoma?[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji16][emoji16]
 
Kuhusu mioyo ni full haki dada yangu

Hakuna moyo wa mtu unaonewa mapenzi

Umenyimwa mapenzi ni kwamba hupendwi,huna pa kwenda kushitaki popote duniani

Jishitaki wewe mwenyewe kwenye moyo wako binafsi
[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16] ujishtaki?[emoji1787][emoji1787]
 
Ndio maana nikasema sio wote wabaya my dada Saint, wako vilevile wenye roho nzuli tena wengi mbona. Lakinii mshikaji wangu Wyatt Mathewson ucnifikirie vibaya babaa [emoji1] jokes tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kumbe basi si tatizo la wachagga,ila ni tatizo la mtu mmoja mmoja.
Hata makabila mengine tu ,Kuna wenye roho nzuri,na wenye mbaya.
 
Laana za ma ex [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…