Kuwa kwenye mahusiano na single mother yataka moyo

Kuwa kwenye mahusiano na single mother yataka moyo

Hahahaha alikuja kuleta mtoto town tukapasha kipolo kama wik mbil hivi ujumbe alioniambia kwamba yule mtoto sio wa Mme wake ni wangu nimemjarb kumtafuta usiku huu kaniambia Mme wake hayupo nimemuambia aje tulelee watoto kakubali hahahaha single mother shikamon kauli mbiu ya JF "mpaka mtuonyeshe kaburi la baba mtoto wako "
Wacha bhana
 
Hahaaa umenikumbusha mmoja huyo nilikutana nae kazin kama new employeee....


Mpole mpole hivi nikasema ngoja nioshe rungu nipite, wee yule dada sijui alinifanyoa nini, nikaja kukuta nimempenda vile isivyo kawaida, nikipiga simu jion asipopatikana mwili wote unajaa joto unalegea nahisi kufa.

Maisha yakasonga kaja nambia ana mtoto wa kike kazaa na ex wake tena wakiwa chuon 2nd year, eheee nambie mamii huyo mtoto yuko wapi?

Yupo kwa bibi yake mzaa baba yake, hahaa vitimbwi umekaa nae seblen unataka kumega utamu simu inapigwa na mama yake mkwe huyo anae kaa na mtoto.


Mama: Binti habari?
Binti: Nzuri mama shikamoo,
Mama: Marahaba, vipi huyu mwanao hujapiga simu kuulizia maendeleo yake ya shule, ila kanajitahidi sana na baba yake alimtumia hela za nguo hapa nimemnunulia kapendeza sana.

Binti: ooh vizuri sana mama, ajitahidi katika masomo


Mama: Kuna wifi yako anataka kukusalimu


Binti: haya mpe simu.
Binti: Wifi za huko jaman, nilikuona profile umenawiri na kupendeza.

Wifi: Asante wifi, ile picha nilipiga ile sehem aliyotupeleka kaka siku ya siku kuu mlipokuwa huku kipindi kile cha siku kuu

Binti: Aaah usinikumbushe ile sehem nzuri jaman na ile siku nilienjoy sana.

Wifi: lini unakuja wifi yangu, uje bwana mwanao anakuwa mkiwa sana wengine mama zao wanakuja wanafurahia mapenzi ya mama yao wa kwako anakuwa mkiwa.


Binti: nitakuja wifi ngoja nishugulikie likizo.

Unapata picha ya wewe umekaa kwenye sofa hapo pemben unasubiria mtu amalize story za upuuz za hivyo,

Basi akikata simu anawaponda kidogo, yan hawa kila mara wanadai uniform, viatu vya mtoto sijui nguo za siku kuu bora nije nichukue mwanangu.

Mimi: Eeeh chukua mtoto huyo haya mawasiliano yenu hayanivutii

Binti: baby punguza wivu ww nae, yule ana mpenz wake na mm nina wewe ni bahat mbaya tu mimba iliingia tukapata huyu mtoto.


Mara siku nyingine, simu ya huyo baba watoto wake, anavunga kupokea, jamaa anatuma msg hebu punguza jazba mtoto apate malezo yetu sote, juzi nimeongea nae kasema msalimie mama.
Utaona binti analegea, anavizia ukiondoka waongee.


Nikasema huu ni utumwa ndani ya nchi huru yenye wanawake wengi kuliko wanaume.


Nilisikia habr za fununu walivishana pete baadae tena.



Avoid mwanamke mwenye mtoto, waigizaji sana ila ipo siku atakuumiza balaa had ustashangaa na kujifanya unajua kukamatia walojazwa watoto
Sijui ulipataje ujasiri wa kuendelea na mazungumzo nae baada ya kukata simu.

Mimi hapo hapo wakati anaongea kitendo cha kusema wifi mambo, nimeshampigia simu bodaboda aje amchukue na sitaki mazungumzo bodaboda akishafika namwambia unasubiriwa nje.....


Upuuzi mwingine ukiendekeza utakuja bambikiwa watoto wasio wako. Mapenzi kitu gani hadi uanze rukiana na mtu ambaye tayari ameshapata mtoto na mwanaume mwingine?!

Huo ni ufala pro max.
 
Dogo huna hela sijaona tatizo katika maombi ya huyo bibie.. kaomba vitu vya kawaida Sana ambavyo mwanaume mchakarikaji havimsumbui kufungua thread.
Nikusisitizie tu , tafuta hela.
Nakazia hapa.
 
Hahaaa umenikumbusha mmoja huyo nilikutana nae kazin kama new employeee....


Mpole mpole hivi nikasema ngoja nioshe rungu nipite, wee yule dada sijui alinifanyoa nini, nikaja kukuta nimempenda vile isivyo kawaida, nikipiga simu jion asipopatikana mwili wote unajaa joto unalegea nahisi kufa.

Maisha yakasonga kaja nambia ana mtoto wa kike kazaa na ex wake tena wakiwa chuon 2nd year, eheee nambie mamii huyo mtoto yuko wapi?

Yupo kwa bibi yake mzaa baba yake, hahaa vitimbwi umekaa nae seblen unataka kumega utamu simu inapigwa na mama yake mkwe huyo anae kaa na mtoto.


Mama: Binti habari?
Binti: Nzuri mama shikamoo,
Mama: Marahaba, vipi huyu mwanao hujapiga simu kuulizia maendeleo yake ya shule, ila kanajitahidi sana na baba yake alimtumia hela za nguo hapa nimemnunulia kapendeza sana.

Binti: ooh vizuri sana mama, ajitahidi katika masomo


Mama: Kuna wifi yako anataka kukusalimu


Binti: haya mpe simu.
Binti: Wifi za huko jaman, nilikuona profile umenawiri na kupendeza.

Wifi: Asante wifi, ile picha nilipiga ile sehem aliyotupeleka kaka siku ya siku kuu mlipokuwa huku kipindi kile cha siku kuu

Binti: Aaah usinikumbushe ile sehem nzuri jaman na ile siku nilienjoy sana.

Wifi: lini unakuja wifi yangu, uje bwana mwanao anakuwa mkiwa sana wengine mama zao wanakuja wanafurahia mapenzi ya mama yao wa kwako anakuwa mkiwa.


Binti: nitakuja wifi ngoja nishugulikie likizo.

Unapata picha ya wewe umekaa kwenye sofa hapo pemben unasubiria mtu amalize story za upuuz za hivyo,

Basi akikata simu anawaponda kidogo, yan hawa kila mara wanadai uniform, viatu vya mtoto sijui nguo za siku kuu bora nije nichukue mwanangu.

Mimi: Eeeh chukua mtoto huyo haya mawasiliano yenu hayanivutii

Binti: baby punguza wivu ww nae, yule ana mpenz wake na mm nina wewe ni bahat mbaya tu mimba iliingia tukapata huyu mtoto.


Mara siku nyingine, simu ya huyo baba watoto wake, anavunga kupokea, jamaa anatuma msg hebu punguza jazba mtoto apate malezo yetu sote, juzi nimeongea nae kasema msalimie mama.
Utaona binti analegea, anavizia ukiondoka waongee.


Nikasema huu ni utumwa ndani ya nchi huru yenye wanawake wengi kuliko wanaume.


Nilisikia habr za fununu walivishana pete baadae tena.



Avoid mwanamke mwenye mtoto, waigizaji sana ila ipo siku atakuumiza balaa had ustashangaa na kujifanya unajua kukamatia walojazwa watoto

Mwanzoni anaweza akakupenda kama mwana mpaka ukajihisi umekuwa mwanamfalme
Ngoja ssa akuvulie pants upige kimoko cha ndomu utajua hujui
Utapiga simu kama ile namba ya voda huduma kwa wateja 09... hutaona ikipokelewa akija kupokea baadae utasikia niliacha simu ndani oooh ng’eng’e nyingi
Ukiongea nae kidogo mara ooh mtoto analia ngoja nimbembeleze ntakurudia ukikata ndio mazima
Kumbuka wakati analeta mada ya mtoto ukiipinga malalamishi yanafuata ooh kisa sio mtoto wako


Dah kwa kweli hawa viumbe sio wa kuwawekea imani kwa ujumla japo wapo waliodumu na wapo waliotokea kwenye uzao wa ndoa ya single mother.
Ila mimi hawa huwa ninawachukulia kama mbwa jike akipata joto na faru yuko mbali yeye huwa anapita na yeyote aliyeko karibu nae
 
Nime-imagine tu eti mume wangu ananiruhusu niende nyumbani kwa baby daddy na watoto tukacreate bond kwa few days, au mume naye akafikie kwa baby momma (analipa kodi yeye) waishi on the same roof in the name of kucreate bond na mtoto. Mmh hakunaga

Si unakumbuka kipindi kile Dai alisema Mama Tee alikuwa anaforce awalete watoto yeye, ilhali Dai alikuwa na Tanasha. So alivyokataa, na mama Tee na yeye akagoma watoto wasiletwe na mtu mwingine. Ngoja tusubiri huko mbeleni
Hapo kwenye kucreate bond hivi hawafanyi na "bonding" kweli?!
 
mimi nawatafuta lakini siwapati hasa mwenye mtoto mmoja nimwongeze mwingine!
hawana tabu we patana na mtoto wake kwa vizawadi na kulipa ada ya shule kwisha habari yake.
Sasa Kama anatumia jiti kuzuia mimba je? Utaweza kumpa ujauzito?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli inawezekana kwa asilimia zote ila lazima akuchemshe ubongo kidogo
Nikwel lakin wanawake wa kiswahil wanajua walipo toka na walipo, hawajui waendapo ndiyo maana akipata mpenz mpya lazma ampime na mpenzi wake wazam, kwaiyo akiona mpenz wake was zamani ana maksi nyingi kuliko aliye nae kwa wakati huo lazma ataka kujirudisha kwa mpenz wake wa zaman

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikwel lakin wanawake wa kiswahil wanajua walipo toka na walipo, hawajui waendapo ndiyo maana akipata mpenz mpya lazma ampime na mpenzi wake wazam, kwaiyo akiona mpenz wake was zamani ana maksi nyingi kuliko aliye nae kwa wakati huo lazma ataka kujirudisha kwa mpenz wake wa zaman

Sent using Jamii Forums mobile app

Ki ukweli maswala ya mahusiano yamesha nishinda kitambo nimeamua kufanya mambo mengine
 
Back
Top Bottom