Kuwa makini na mzigo wako unapofika Stendi ya Magufuli, unaweza kujikuta unaozea Segerea

Mkuu Ile stand imejengwa vizuri sana ila customer care,wizi na vitisho mshenzi Kwa abiria vimezidi!

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sawa, hilo la customer care ndo ugonjwa wetu mwingine after hisabati lakini ganja ilikutwa kwenye mzigo wake! Do you really believe hiyo ganja jachomekewa hapo hapo kituoni wakati bila shaka mzigo ulifungwa?
 
watu baada ya kutoka polisi huwa wanakuja na stori nyingi sana za kishujaa[emoji28][emoji28][emoji28],kazi kwako sasa kuzichambua.

mtu anaweza kukwambia,niliingia pale nikachimba mkwara mapokezi yote wakaingia chini ya meza,na kuanza kunitetemekea wananiomba msamaha.

huyo jamaa yako anauza bangi,asikupange kisa kaona una kichwa kikubwa.
 
Kwa hiyo unashauri turudi ubungo?
 
Hapo unabambikiziwa tu
 
Ndiyo maana unaambiwa Abiria chunga mzigowako
 
michezo hii hipo sana kwa watu wanaosafiri au kurudi toka nje ya nchi kupitia airport.

kwa mfano unakwenda china kama kuna mtu hana kufahamu unaweza kushangaa kakupa mzigo kumbe kakushikisha alafu ufahamu kilichoingizwa.
 
Tatizo jina mkuu,lile jina sio kabisa,wiite tu stendi ya mbezi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…