Kuwa makini unapokwenda baharini kuogelea na mke/mpenzi wako

Kuwa makini unapokwenda baharini kuogelea na mke/mpenzi wako

Ujinga sana, unakuta lizee linagida bia tu halina hili wala lile mkewe anapigwa na mhuni kimasihara kabisa
Asee tanga nimekaa sana miaka ya 2013 mpaka 2015 so huko raskazoni napamanya ndio watu wa tanga lakini unaambiwa tanga waja leo waondoka leo. Lakini tanga raha sana weekend inaanza alhamisi mzee.
 
Asee tanga nimekaa sana miaka ya 2013 mpaka 2015 so huko raskazoni napamanya ndio watu wa tanga lakini unaambiwa tanga waja leo waondoka leo. Lakini tanga raha sana weekend inaanza alhamisi mzee.
Noma mwanangu, saiv kuna chimbo jipya hapo tanga city lounge, ngoreme, tanga pazuri pale sabasaba, ni kwerekweche baba angu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Noma mwanangu, saiv kuna chimbo jipya hapo tanga city lounge, ngoreme, tanga pazuri pale sabasaba, ni kwerekweche baba angu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aseee niliachaga tanga kukiwa na Chichi Club japo wale mademu wa ndani ndio wakali sio wale makahaba wa pale njee kilomita zimesoma aseee, pia kuna club ilifungwaga iliitwa lakassa club.

nilirudigi one time nikaenda usiku mmoja pale Tanga City aseee watoto wa pale wana balaa kina Minah na Habiba kuanzia wahudumu wamefunga nyuma kama wote, kuliwahi kuwa na live band moja matata kipindi icho.
 
Wanawake wenyewe nao bwana muda mwingine wanataka mimi sio beach boy ila kuna siku yule Mama alkua anaitwa mama jovin Mungu atusamehe tu
 
Niwasalimu ndugu zangu kila mmoja kwa nafasi yake, leo niwape kwa ufupi mambo yanayofanyika pale swimming club-Rskazone Tanga

nadhani ndio sababu ya watu kuvutika kiasi hicho, ni shilingi elfu mbili tu kwa wateja wa kawaida wanaokuja siku moja moja, ila sijajua wale members wanaolipa kwa mwezi huwa wanalipa bei gani
HII IPO KITAMBO SANA HASA BEACH ZA TANGA
 
Aseee niliachaga tanga kukiwa na Chichi Club japo wale mademu wa ndani ndio wakali sio wale makahaba wa pale njee kilomita zimesoma aseee, pia kuna club ilifungwaga iliitwa lakassa club.

nilirudigi one time nikaenda usiku mmoja pale Tanga City aseee watoto wa pale wana balaa kina Minah na Habiba kuanzia wahudumu wamefunga nyuma kama wote, kuliwahi kuwa na live band moja matata kipindi icho.
Pale pale lacasa chica kuna hotel inaitwa nyumbani, ipo hadi leo, balaa lipo pale pale, watoto wanawaka kama sio wauswazi, huko nyuma mbwimbwiliko wa haja, mtoto kafungasha hadi wakati mwingine unawaza hivi akienda kukata gogo huu mzigo si unagusa sinki kweli??? Alafu wanawaka mbaya, si unajua watoto wa kimanga, rangi ya mtume OG mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ulionaje Kama Wameliwa au Ndio naww muhusika katika kuwala familia ya mwanaume mwenzenu
Kama asilimia 80 ya wachangiaji wanakubali kwa kutoa shuhuda tofauti mkuu, wewe ukibisha kuna shida gani sasa?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom