Kuwa makini unapokwenda baharini kuogelea na mke/mpenzi wako

Kuwa makini unapokwenda baharini kuogelea na mke/mpenzi wako

Mambo ya kawaida sana hayo kwenye maneno ya kuogelea...
 
Hiyo beach ya raskazone naipata vizuri kuna siku nikiwa na staffmates tulikwenda hapo wanawake 6 na sie wanaume 2. Tukapiga vyombo wee mwishowe wadada wakataka wakaogelee. Nikawasanua wasiende mbali wala kukubali kuogelea na beach boy .mmoja akajifanya kichwa kigumu wakampeleka mbali akapigwa mtungo. Karudi hoi. Kaenda hosp kuanza PEP ili kuzuia maambukizi
 
ACHA UONGO...SWIMMING INA UMBALI GANI HADI WATU WASIONE...HII STORY ILIKUWA PALE COCO BEACH ENZI ZILE WADADA WANAPELEKWA KINA KIREFU KULE WEWE UNAUNGANISHIA VI-STORY VYAKO UCHWARA VYA TANGA..[emoji35]

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
!! lazima kucomment km hujui kitu
 
Tanga mjini bibie karibu sahare mrembo
Nije huko mnifanye jini? .....mji wa Tanga haueleweki bana ni kama wooote wachawi !! wachawi ivi!! tangu lini panya kaongea na mtu?? mweee hasa Ngamiani pale? Loool! sina hamu!!! vichaka vya Tanga Hotel vile vimejaa majini mwitu!
 
Mada yako haina ukweli pale raskazone beach walikataza jinsia tofauti kufundishana kuogelea nadhani ilikuwa mwaka 2015 au 2014 ndio walikatazaga


Na ukionekana unafundishana utajuta kuzaliwa

Hizi story labda iwe za zamani kama ni hivi karibuni acha kupiga watu kamba
Ila jinsia 1 ndo wafundishane? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hiyo beach ya raskazone naipata vizuri kuna siku nikiwa na staffmates tulikwenda hapo wanawake 6 na sie wanaume 2. Tukapiga vyombo wee mwishowe wadada wakataka wakaogelee. Nikawasanua wasiende mbali wala kukubali kuogelea na beach boy .mmoja akajifanya kichwa kigumu wakampeleka mbali akapigwa mtungo. Karudi hoi. Kaenda hosp kuanza PEP ili kuzuia maambukizi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaah
 
Back
Top Bottom