Kuwa makini unapokwenda baharini kuogelea na mke/mpenzi wako

Kuwa makini unapokwenda baharini kuogelea na mke/mpenzi wako

Mkuu kamwe usiamini pwani.swimming pool na Machaka ya Tanga.

kuna majike dume .na majike chambo utatafunwa tigo mpaka ukome. Na hauta simulia popote utapiga kimya ndo sheria yao.

Hivi utamwambia Mkeo/ best wako kuwa nililiwa Tanga beach? Tuanzie hapo....

Kama ukisema tu utakuwa bwabwa milele na watakuoa kabisaa.

Mwana/ke kwa Tanga beach hicho ni kivutio tu! Cha kukuvutia pembeni ili ukakamatwe uliwe uzuri. Na mke utaempata unaweza kula kabisaa kwa raha zako lkn utaliwa kwa kisingizio cha ugoni.

Huyu mleta mada ni wazi kuwa ni agent wao!! Na alishaliwa kitambo hataki awe peke yake.jiulize Kwa nini anafanya hivi.,?,??...

Lengo anawavutia wanaume wa kware wa penda vya bure! Ma-Dume bikra!!ambalo halijaguswa nyaa! Wamejaa Dar! Kutokea mikoani.

Cha kuwakamatia wanaume bikra wanadai wana bahati sana kwa kazi za wavuvi.wanapata kismart cha hela na samaki wengi.

Tena wanakuwaga wapole mno. Kukirimiwa dume zima aibu...Usicheke nao wale.ukiona dume pole kwa Tanga ni mtihani.

Usikubali kukirimiwa na mtu usiye mjua Tanga utaliwa kimasihara. Na mkaka hutasimulia popote!! Mko ivo.

Wengine ni wadada kabisaa warembo lkn wana mishedede si kawaida. Midume jike imejaaa Tanga.

Ninge wawekea hapa picha muone ila sababu za maadili tu.sinto fanya hivo. Wengi wa hivi walikimbilia Tanga mpaka leo sababu kuna soko!!

Usioe mke usiye mjua ukoo wake Na historia yake Tanga.onja kwanza uone km kweli ni mdada wa kweli ana maku.

Wanasingiziaga eti toa mahari kwanza mie sijawahu!mweee usithubutu. Hayaaaa!! Yangu ni hayo!!
Nimetoa kama tahadhari kwa watu wanaoenda na wapenzi wao baharini wawe makini nao kwa sababu kuna vijana wanatabia za kuwafanyia wanawaks huo ushenzi, sasa hapo nimevutia nini??

Pamoja na hayo, tanga kama ilivyo miji mingine ina maeneo na kumbi za starehe, hayo mengine ya watu kuwekewa mitego ya ugoni, sidhani kama ni tanga tu, naamini hata maeneneo mengine yapo na yanatokea. Mawazo yako lakini hayo
 
Wenyewe wanasema virus kwenye maji ya chumvi havipiti sababu chumvi inakausha damu. Hivyo ni migegedo kwa kwenda mbele 😄
 
Nimetoa kama tahadhari kwa watu wanaoenda na wapenzi wao baharini wawe makini nao kwa sababu kuna vijana wanatabia za kuwafanyia wanawaks huo ushenzi, sasa hapo nimevutia nini??

Pamoja na hayo, tanga kama ilivyo miji mingine ina maeneo na kumbi za starehe, hayo mengine ya watu kuwekewa mitego ya ugoni, sidhani kama ni tanga tu, naamini hata maeneneo mengine yapo na yanatokea. Mawazo yako lakini hayo
unavutia nini??..... Wakware.vijana madomo zege.

Kwingine yapo??... Tanga kumezidi. Ukaribu na mombasa sifa za mombasa tunazijua. Na vituo vya wa italy na hotel zao za kitalii ni nyingi Mombasa!

Na hao wa italy wanajulikana Duniani kote kwa kuoa wanaume.kwao ni sunna hata jemedari wao mkuu aliye wakomboa maarufu alikuwa shoga.hayo tu babu.
 
unavutia nini??..... Wakware.vijana madomo zege.

Kwingine yapo??... Tanga kumezidi. Ukaribu na mombasa sifa za mombasa tunazijua. Na vituo vya wa italy na hotel zao za kitalii ni nyingi Mombasa!

Na hao wa italy wanajulikana Duniani kote kwa kuoa wanaume.kwao ni sunna hata jemedari wao mkuu aliye wakomboa maarufu alikuwa shoga.hayo tu babu.
Sawa mkuu[emoji23][emoji23]
 
Mbona kawaida karibia beach zote ambazo hazijastaarabika kuna Hiyo situation..Yaaani yale maji ya bahari sijui kuna ibilisi gani..
Tusisingizie bahati. Hazina hata akili so haiwezi kufanya reasoning.

Shida ipo kwetu sisi binaadamu.

Mambo tunayofanya hata viumbe wengine wanashangaa.
 
Niwasalimu ndugu zangu kila mmoja kwa nafasi yake, leo niwape kwa ufupi mambo yanayofanyika pale swimming club-Rskazone Tanga

Siku za wikiendi, hasa jumamosi na jumapili utakuta nyomi la watu wamekuja kuogelea, kiingilio sio kikubwa nadhani ndio sababu ya watu kuvutika kiasi hicho, ni shilingi elfu mbili tu kwa wateja wa kawaida wanaokuja siku moja moja, ila sijajua wale members wanaolipa kwa mwezi huwa wanalipa bei gani

Basi ndugu zangu, kwenye wengi kuna mengi, suala kubwa hapa ni kwamba kama una demu wako au mkeo, cjui mchepuko wako usikubali afundishwe na mtu utakayemkuta pale, si wote wabaya, ila huwezi kumjua mzuri yupi na mbaya ni yupi, kuna tabia zinaendelea pale si nzuri.

Kuna vijana wapo pale kwa tabia za kupiga mademu tu, utawakuta wanajichesha tu pale, mara watoke waje wanywe juisi, wafanye hivi na vile, wakimuona mwanamke kaingia baharini, watajifanya kutaka kuogelea naye, tena kama ndo anajifunza kuogelea, watajifanya kumsaidia kumfundisha, watamsogeza mbali kidogo na pale walipo, huko anaenda kutafunwa wakuu, akipelekwa mbali tuu, ujue tuu anaenda kuliwa.

Kuna mzee mmoja alikuja na familia yake, mkewe si mkubwa sana, ni umri kati ya miaka 35-40, ila anaonekana bado mrembo, alikua na mabinti zake wawili, nao kama hawajapishana sana umri, watakua na utofauti wa mwaka au miaka miwili, maza akajitosa majini na binti zake, mzee yupo huku juu anajipigia zake moja moto moja baridi, wakatokea vijana wakiwa na tube za gari ndogo, wakawa wanawaambia njooni huku ndo mtajifunza vizuri kuogelea. Wakakubali, wakawavuta kimya kimya kusogea mbali kidogo, amini Mungu yule mama na mabinti zake walitafunwa na wale jamaa bila mzee kujua.

Kikubwa wanachokifanya ni kwamba ukipelekwa mbali kidogo na walipo watu, huwezi kupata msaada wowote, ila pia kama huwezi kuogelea wanatishia kukuacha kule, kwaiyo lazima utafunwe kisha unarudishwa pale walipokutoa.

Kuwa makini ukiwa swimming club na demu wako au mkeo.
Hivi kuna familia zina muda wa kwenda kuogelea ?wagongwe tu asee
 
ACHA UONGO...SWIMMING INA UMBALI GANI HADI WATU WASIONE...HII STORY ILIKUWA PALE COCO BEACH ENZI ZILE WADADA WANAPELEKWA KINA KIREFU KULE WEWE UNAUNGANISHIA VI-STORY VYAKO UCHWARA VYA TANGA..[emoji35]

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Mshamba wa Dar huyu
 
Niwasalimu ndugu zangu kila mmoja kwa nafasi yake, leo niwape kwa ufupi mambo yanayofanyika pale swimming club-Rskazone Tanga

Siku za wikiendi, hasa jumamosi na jumapili utakuta nyomi la watu wamekuja kuogelea, kiingilio sio kikubwa nadhani ndio sababu ya watu kuvutika kiasi hicho, ni shilingi elfu mbili tu kwa wateja wa kawaida wanaokuja siku moja moja, ila sijajua wale members wanaolipa kwa mwezi huwa wanalipa bei gani

Basi ndugu zangu, kwenye wengi kuna mengi, suala kubwa hapa ni kwamba kama una demu wako au mkeo, cjui mchepuko wako usikubali afundishwe na mtu utakayemkuta pale, si wote wabaya, ila huwezi kumjua mzuri yupi na mbaya ni yupi, kuna tabia zinaendelea pale si nzuri.

Kuna vijana wapo pale kwa tabia za kupiga mademu tu, utawakuta wanajichesha tu pale, mara watoke waje wanywe juisi, wafanye hivi na vile, wakimuona mwanamke kaingia baharini, watajifanya kutaka kuogelea naye, tena kama ndo anajifunza kuogelea, watajifanya kumsaidia kumfundisha, watamsogeza mbali kidogo na pale walipo, huko anaenda kutafunwa wakuu, akipelekwa mbali tuu, ujue tuu anaenda kuliwa.

Kuna mzee mmoja alikuja na familia yake, mkewe si mkubwa sana, ni umri kati ya miaka 35-40, ila anaonekana bado mrembo, alikua na mabinti zake wawili, nao kama hawajapishana sana umri, watakua na utofauti wa mwaka au miaka miwili, maza akajitosa majini na binti zake, mzee yupo huku juu anajipigia zake moja moto moja baridi, wakatokea vijana wakiwa na tube za gari ndogo, wakawa wanawaambia njooni huku ndo mtajifunza vizuri kuogelea. Wakakubali, wakawavuta kimya kimya kusogea mbali kidogo, amini Mungu yule mama na mabinti zake walitafunwa na wale jamaa bila mzee kujua.

Kikubwa wanachokifanya ni kwamba ukipelekwa mbali kidogo na walipo watu, huwezi kupata msaada wowote, ila pia kama huwezi kuogelea wanatishia kukuacha kule, kwaiyo lazima utafunwe kisha unarudishwa pale walipokutoa.

Kuwa makini ukiwa swimming club na demu wako au mkeo.

Nawe ulikuwa wapi wakati wanatafunwa au na wewe ndio beach boys 😀😁😀
 
Mkuu kamwe usiamini pwani.swimming pool na Machaka ya Tanga.

kuna majike dume .na majike chambo utatafunwa tigo mpaka ukome. Na hauta simulia popote utapiga kimya ndo sheria yao.

Hivi utamwambia Mkeo/ best wako kuwa nililiwa Tanga beach? Tuanzie hapo....

Kama ukisema tu utakuwa bwabwa milele na watakuoa kabisaa.

Mwana/ke kwa Tanga beach hicho ni kivutio tu! Cha kukuvutia pembeni ili ukakamatwe uliwe uzuri. Na mke utaempata unaweza kula kabisaa kwa raha zako lkn utaliwa kwa kisingizio cha ugoni.

Huyu mleta mada ni wazi kuwa ni agent wao!! Na alishaliwa kitambo hataki awe peke yake.jiulize Kwa nini anafanya hivi.,?,??...

Lengo anawavutia wanaume wa kware wa penda vya bure! Ma-Dume bikra!!ambalo halijaguswa nyaa! Wamejaa Dar! Kutokea mikoani.

Cha kuwakamatia wanaume bikra wanadai wana bahati sana kwa kazi za wavuvi.wanapata kismart cha hela na samaki wengi.

Tena wanakuwaga wapole mno. Kukirimiwa dume zima aibu...Usicheke nao wale.ukiona dume pole kwa Tanga ni mtihani.

Usikubali kukirimiwa na mtu usiye mjua Tanga utaliwa kimasihara. Na mkaka hutasimulia popote!! Mko ivo.

Wengine ni wadada kabisaa warembo lkn wana mishedede si kawaida. Midume jike imejaaa Tanga.

Ninge wawekea hapa picha muone ila sababu za maadili tu.sinto fanya hivo. Wengi wa hivi walikimbilia Tanga mpaka leo sababu kuna soko!!

Usioe mke usiye mjua ukoo wake Na historia yake Tanga.onja kwanza uone km kweli ni mdada wa kweli ana maku.

Wanasingiziaga eti toa mahari kwanza mie sijawahu!mweee usithubutu. Hayaaaa!! Yangu ni hayo!!
Naishi tanga mjini mkuu haya unayoongea umesimuliwa kijiwe cha kahawa nini ?
 
Mada yako haina ukweli pale raskazone beach walikataza jinsia tofauti kufundishana kuogelea nadhani ilikuwa mwaka 2015 au 2014 ndio walikatazaga


Na ukionekana unafundishana utajuta kuzaliwa

Hizi story labda iwe za zamani kama ni hivi karibuni acha kupiga watu kamba
 
Back
Top Bottom