Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
1998 nikiwa na miaka 12 kijijini kwetu alikuja kijana mmoja kutoka mkoa mwingine, alikuja kutafuta maisha.
Alisema baada ya miaka 10 atawapa watu vibarua. Alifika hana kitu, kibarua chake cha Kwanza alilimishwa na Doni mmoja pale kijijini kwa makubaliano ya kupewa baiskeli used phoenix.
Alipewa baada ya kumaliza kazi. Mda huu naongea watoto aliowazaa akiwa pale kijijini mmoja ni daktari, mwingine lieutenant wa TPDF, yule bro ana nyumba kali kijijini na Wilayani ana nyumba kama 4 mpaka sasa.
Ana gari mbili za kutembelea.
Ushuhuda huu ukupe nguvu unapoamua kuinuka na kutafuta
Tanzania ina kanda kuu takribani 5, hali ya hewa inatofautiana kutoka Kanda moja mpaka kanda nyingine.
Ni zao gani duniani ambalo unatamani kulima likutoe kimaisha lakini Tanzania halistawi? Km² 950000 kwa watu 60ml ni nyingi sana.
Kama wito wako ni Uvuvi au kuwekeza kwenye usafiri wa majini tuna km za mraba 61000.
Kuna mahali unaamua tu kujimilikisha hata hekta 1000 bila kuulizwa na mtu ndani ya Tanzania.
Madini nayo usiguse, yapo mengi. Nenda kaishi porini huko ujigundulie dhahabu uchimbe taratibu.
Sijasema lazima uwe tajiri.
Sizungumzii utajiri nazungumzia umaskini.
Unakuwaje maskini katika nchi hii huku una exposure?
Mababu, mabibi na wazazi wetu waliridhika na hali zao hivyo wao hawakuwa maskini.
Wewe unayelalamika daily kuwa Maisha magumu ndiye mhusika mkuu wa Uzi huu.
Inuka nenda kokote kajitafutie.
Alisema baada ya miaka 10 atawapa watu vibarua. Alifika hana kitu, kibarua chake cha Kwanza alilimishwa na Doni mmoja pale kijijini kwa makubaliano ya kupewa baiskeli used phoenix.
Alipewa baada ya kumaliza kazi. Mda huu naongea watoto aliowazaa akiwa pale kijijini mmoja ni daktari, mwingine lieutenant wa TPDF, yule bro ana nyumba kali kijijini na Wilayani ana nyumba kama 4 mpaka sasa.
Ana gari mbili za kutembelea.
Ushuhuda huu ukupe nguvu unapoamua kuinuka na kutafuta
Tanzania ina kanda kuu takribani 5, hali ya hewa inatofautiana kutoka Kanda moja mpaka kanda nyingine.
Ni zao gani duniani ambalo unatamani kulima likutoe kimaisha lakini Tanzania halistawi? Km² 950000 kwa watu 60ml ni nyingi sana.
Kama wito wako ni Uvuvi au kuwekeza kwenye usafiri wa majini tuna km za mraba 61000.
Kuna mahali unaamua tu kujimilikisha hata hekta 1000 bila kuulizwa na mtu ndani ya Tanzania.
Madini nayo usiguse, yapo mengi. Nenda kaishi porini huko ujigundulie dhahabu uchimbe taratibu.
Sijasema lazima uwe tajiri.
Sizungumzii utajiri nazungumzia umaskini.
Unakuwaje maskini katika nchi hii huku una exposure?
Mababu, mabibi na wazazi wetu waliridhika na hali zao hivyo wao hawakuwa maskini.
Wewe unayelalamika daily kuwa Maisha magumu ndiye mhusika mkuu wa Uzi huu.
Inuka nenda kokote kajitafutie.