Kuwa maskini Tanzania ni chaguo la mtu mwenyewe. You can choose to die poor


Ili ufanikiwe Tanzania unaitaji either:

1. Uwe mtu wa Mungu sana
2. Uwe mshirikina sana

Kuhusu Bidii:

Bidii na mipango inaletwa na Imani kwamba utafanikiwa, na hiyo imani inaletwa na Kuwa mcha Mungu an mshirikina!

Muhimu:

Vitu vyote unavyoona kwa macho, vimeanzia kutokea katika ulimwengu wa roho usioonekana!

Huo ujasiri jamaa aliokuwa nao una Siri, na Siri yake nakueleza Hakuna anayeijua maana ni katika ulimwengu usioonekana!

Mimi nimeona watu wenye bidii mno wanakufa maskini huku Hawana hata chakula, bidii haijawahi kuwasaidia!

Wanadamu ni washirikina Sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…