Lovelovie
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 12,582
- 26,053
😊😊😊Namchukia Mungu anisameheLakini inaonekana unamchukia kwa sababu unammisi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😊😊😊Namchukia Mungu anisameheLakini inaonekana unamchukia kwa sababu unammisi.
Ukishamchukia mtu ndio unaziona kasoro zake mamaWakati unamkubalia hukuona kama ni mwembamba asiyenenepa kirahisi?
Kabla hata sijathubutu kuja Kukunusa kwa haya Maelezo yako tu hapa ya Dharau, Nyodo na Jeuri inaonyesha Mbunye yako inatema mno na Dampo Kuu la Pugu linasubiri.😂😂😂😂😂Njoo uninuse karanga ww
Una hatari 🤣Ukishamchukia mtu ndio unaziona kasoro zake mama
Hapana, sina Ex
Hauoni kwamba chuki ni mzigo mzito?😊😊😊Namchukia Mungu anisamehe
Ndio inatema mno Dampo likasome kwani inakuchoma......em tuliza hizo kengere ka za mtoto mdg chini......au we ndo x wangu tena ukwendreeeee kafie huko kwa wa RundiKabla hata sijathubutu kuja Kukunusa kwa haya Maelezo yako tu hapa ya Dharau, Nyodo na Jeuri inaonyesha Mbunye yako inatema mno na Dampo Kuu la Pugu linasubiri.
Binadamu tuko tofauti sana mkuu me nkimpenda mtu nampenda kweli nkimchukia Namchukia kweliHauoni kwamba chuki ni mzigo mzito?
Kwa Mbunye ipi hiyo uliyonayo? Imechacha!!Ndio inatema mno Dampo likasome kwani inakuchoma......em tuliza hizo kengere ka za mtoto mdg chini......au we ndo x wangu tena ukwendreeeee kafie huko kwa wa Rundi
Hapana mkuu, nakushauri usijipe mzigo mzito, ukimchukia mtu unayeumia zaidi ni wewe na si yeye. Na kumchukia mtu kwa sababu unammisi siyo vema, jifunze tu kutua mzigo wa chuki, safari ya maisha bado ndefu kwa hiyo usibebe mizigo mizito kama chuki ikaja kukuchosha mbele ya safari (life is a long journey, so you have to travel light).Binadamu tuko tofauti sana mkuu me nkimpenda mtu nampenda kweli nkimchukia Namchukia kweli
Imechacha kweli kweli we mwenyewe si unaelewa ipo kama ya huyo emolo mwenzio nilidhani mwanafunzi mwenzio kumbe mtu mzima mwenzio😂😂😂😂😂 eeeh Mungu naomba unisamehe 😂😂😂😂 Dhambi zingine tunajitakiaKwa Mbunye ipi hiyo uliyonayo? Imechacha!!
Stop wasting your time advising a Nut.Hapana mkuu, nakushauri usijipe mzigo mzito, ukimchukia mtu unayeumia zaidi ni wewe na si yeye. Na kumchukia mtu kwa sababu unammisi siyo vema, jifunze tu kutua mzigo wa chuki, safari ya maisha bado ndefu kwa hiyo usibebe mizigo mizito kama chuki ikaja kukuchosha mbele ya safari (life is a long journey, so you have to travel light).
Mkuu mim sibebi mzigo.....me Niko SawA kabisa nashukuru Mungu kwa hilo kuna watu wa kuwamis...Kuna mahusiano ukiingia unajiuliza kwa nn Mungu akunipa haya nlonayo akaenda kunikutanisha na yule chizi karogwa tenaHapana mkuu, nakushauri usijipe mzigo mzito, ukimchukia mtu unayeumia zaidi ni wewe na si yeye. Na kumchukia mtu kwa sababu unammisi siyo vema, jifunze tu kutua mzigo wa chuki, safari ya maisha bado ndefu kwa hiyo usibebe mizigo mizito kama chuki ikaja kukuchosha mbele ya safari (life is a long journey, so you have to travel light).
Umeshaiosha ( Ikogesha ) asubuhi hii?Imechacha kweli kweli we mwenyewe si unaelewa ipo kama ya huyo emolo mwenzio nilidhani mwanafunzi mwenzio kumbe mtu mzima mwenzio😂😂😂😂😂 eeeh Mungu naomba unisamehe 😂😂😂😂 Dhambi zingine tunajitakia
Hua naiosha jumapil tu mkuu....na ww je umejiosha huko nyuma nasikia ety ulipitiwa hadi mdomoni huna lock.....🙆🙆🙆Umeshaiosha ( Ikogesha ) asubuhi hii?
Mkuu angalia usirudi kifungoni, maana unatema nyongo, siyo poa. 😃😃Stop wasting your time advising a Nut.
Ndiyo maana kuna mchana na usiku, kuna giza na mwanga, kuna masika na kiangazi, kuna furaha na huzuni. Yote hayo ni kuleta balance kwenye ulimwengu. Ukikutana na wrong person, utamthamini right person ukija kukutana naye.Mkuu mim sibebi mzigo.....me Niko SawA kabisa nashukuru Mungu kwa hilo kuna watu wa kuwamis...Kuna mahusiano ukiingia unajiuliza kwa nn Mungu akunipa haya nlonayo akaenda kunikutanisha na yule chizi karogwa tena
Haya Sawa mkuuuNdiyo maana kuna mchana na usiku, kuna giza na mwanga, kuna masika na kiangazi, kuna furaha na huzuni. Yote hayo ni kuleta balance kwenye ulimwengu. Ukikutana na wrong person, utamthamini right person ukija kukutana naye.
Ok mkuu, ukawe na siku njema mdogo wangu.Haya Sawa mkuuu
SawA asante sanaOk mkuu, ukawe na siku njema mdogo wangu.