Gautten Potten
JF-Expert Member
- Aug 22, 2022
- 1,642
- 3,426
Eeh kumbe yapo mengi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23]Mimi nina miss "Komwe" lake tu.
Pamoja mkuu.Nimepokea ushauri- ngoja niendelee kutafakari , japo pana Giza jingi sana.
Ila shukrani
Loh mbaya sana weweAlikuwa anakusikitikia baada ya kukuachia ngoma
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Uaminifu kwenye mapenzi- aliyepo ni kicheche mpaka anatia kichefuchefu yaani hata mchepuko wake nao anaucheat [emoji28][emoji28][emoji28]
Toka azaliwe hajawahi kuwa loyal and faithful kwa Mwanaume yoyote.
Mimi sitakuja kuruhusu dini inaharibie furaha yanguMkuu, tulikuwa imani tofauti, Mimi nipo RC na Yeye ni msabato, na mzee wake alikaza Mimi na mwanaye kufunga ndoa kwa sababu hakutana mwanaye kuwa Mtu wa RC, nikajiengua. Kwa hiyo hatukuachana kwa ubaya lakini tulikuwa perfect match mpaka kesho mzee. Na kama kupendana mpaka leo tunapendana, ingawa tumeamua tukubaliane na ukweli, tupo karibu tunamlea Promise tu.
Pole kaka angu[emoji17]Ishu yako ni almost copy and paste ya ishu yangu na mama watoto.
Physical description ya Mama promise ni almost sawa na ya mama watoto wangu.
Also nina historia ya rejection ,lkn Mimi baada ya first born msimamo ukaisha-Tupo pamoja mpaka leo Sema ,naona tunaelekea kushindwana Sasa [emoji24][emoji24][emoji24]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Siwez mkumbuka ana bichwa kama dume la nyani, mwanaume gani mwembamba kama msumari.....x kafie Ukraine huko.
Hata sisi huwa tunaambiana "Laiti tungejua!"Mimi sitakuja kuruhusu dini inaharibie furaha yangu
Kinachowazuia msiendelee ni nini mkuu? Kama hamna aliemove on achaneni na maswala ya dini. Kama suala ni ndoa hata serikalini wanafungisha.Hata sisi huwa tunaambiana "Laiti tungejua!"
Kumbe na wewe huwa unaandika mada laini, nimezoea kukuona siasani ukipigania ccmNipo tayari sasa Kusoma Maoni yenu.
Mkuu kwa sasa hivi kuendelea inakuwa na kaugumu fulani, kwa sababu miaka 2 imepita tangu tumetengana, ingawa na yeye anadai hajamove on lakini miaka miwili ni mingi kwa mwanamke, kuna uwezekano alishafall kwa mtu mwingine, atleast sisi wanaume tutafanya mapenzi na mwanamke lakini still ukabaki kumpenda mwanamke yule mliyependana haswa.Kinachowazuia msiendelee ni nini mkuu? Kama hamna aliemove on achaneni na maswala ya dini. Kama suala ni ndoa hata serikalini wanafungisha.
Ni ubinafsi mkubwa mzazi kumchagua mtoto mwenza wake
Naendelea kupoa mdogo wangu- I will be fine.Pole kaka angu[emoji17]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Siwez mkumbuka ana bichwa kama dume la nyani, mwanaume gani mwembamba kama msumari.....x kafie Ukraine huko.